Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahiyo unaomba Polisi wa Usalama barabarani walete mrejesho wa hoja zako JF?
Umejaribu kwenda kuwaona hukupata msaada au kujua hatua walixochukua hadi sasa?
Madaraka ya kulevya ....Ujuaji wa kindezi kiwango cha PhDKatika hali ya kushangaza na isiyotarajika, kuna picha ya gari iliyonaswa ikipita mitaani huku number plate yake ikiwa imefunikwa na bendera ya CCM! Pengine wahusika watoe ufafanuzi hili linawezekana vipi kufanyika? Askari wa usalama barabarani Je wamechukua hatua yoyote kwa mhusika aliyefanya hivyo?
Vipi pengine je aliyefunika hizo number plate kwa bendera kuna kibali alipata cha kufanya hivyo!? Na je huwa mamlaka husika zinatoa vibali vya namna hiyo!? What if kama chama kingine cha upinzani kikafanya hivyo...!?
Kwa kweli hilo la gari kufunikwa number plate kwa bendera tena ya CCM inaleta ukakasi, hasa kipindi hiki cha kampeni kwa kuwa wahalifu wanaweza kutumia wigo huo kusafiri au kusafirisha vitu ambavyo ni hatari kwa kufunika number plate za magari kwa bendera za CCM ili wasipate vizuizi endapo hili lililojitokeza halitatolewa ufafanuzi na hatua stahili kuchukuliwa!
View attachment 1565484
🤣🤣🤣Chama Cha wanyongeUkiambiwa CHAMA CHA MAJAMBAZI UELEWE!
Umeandika kama unakimbia unaleta malalamiko sio sehemu sahihi. Unajuaje halijakamatwa au kuhojiwa.Wapi nimesema polisi wa usalama walete mrejesho? Bila shaka uwezo wako wa kung'amua mambo ni mdogo sana!
Rudia kusoma nilichoandika vizuri uelewe!
Wapi nimesema polisi wa usalama walete mrejesho? Bila shaka uwezo wako wa kung'amua mambo ni mdogo sana!
Rudia kusoma nilichoandika vizuri uelewe!
Wasukuma, wanyakyusa, wachaga na wahaya haya makabila siyo ya kuwapa uongozi ,,ulimbukeni mwingi sanaChini ya Jiwe yote yanawezekana
wakati huu ukitaka kufanikisha jambo lako tembelea nyota ya ccm....Katika hali ya kushangaza na isiyotarajika, kuna picha ya gari iliyonaswa ikipita mitaani huku number plate yake ikiwa imefunikwa na bendera ya CCM! Pengine wahusika watoe ufafanuzi hili linawezekana vipi kufanyika? Askari wa usalama barabarani Je wamechukua hatua yoyote kwa mhusika aliyefanya hivyo?
Vipi pengine je aliyefunika hizo number plate kwa bendera kuna kibali alipata cha kufanya hivyo!? Na je huwa mamlaka husika zinatoa vibali vya namna hiyo!? What if kama chama kingine cha upinzani kikafanya hivyo...!?
Kwa kweli hilo la gari kufunikwa number plate kwa bendera tena ya CCM inaleta ukakasi, hasa kipindi hiki cha kampeni kwa kuwa wahalifu wanaweza kutumia wigo huo kusafiri au kusafirisha vitu ambavyo ni hatari kwa kufunika number plate za magari kwa bendera za CCM ili wasipate vizuizi endapo hili lililojitokeza halitatolewa ufafanuzi na hatua stahili kuchukuliwa!
View attachment 1565484
Watu Kama hawa ndio hawa washamba waliokabidhiwa nchi mashamba Sana haya madukuma na Siku kukija kuwa na mabadiliko yatakuja kuimba Poo had vitukuuu vyao vitakuja kupata shida Sana kupata hata kibarua cha kufuagia Uwanja kwenye maeneo Au maofisi ya ummaKwahiyo unaomba Polisi wa Usalama barabarani walete mrejesho wa hoja zako JF?
Umejaribu kwenda kuwaona hukupata msaada au kujua hatua walixochukua hadi sasa?
MmmhWatu Kama hawa ndio hawa washamba waliokabidhiwa nchi mashamba Sana haya madukuma na Siku kukija kuwa na mabadiliko yatakuja kuimba Poo had vitukuuu vyao vitakuja kupata shida Sana kupata hata kibarua cha kufuagia Uwanja kwenye maeneo Au maofisi ya umma
Umeandika kama unakimbia unaleta malalamiko sio sehemu sahihi. Unajuaje halijakamatwa au kuhojiwa.
Tumia ubongo wako wote kujenga hoja. Acha kutumia Makalio
Usiongee hivyo, sio Ccm, hicho ni kikundi cha kigaidi kinachoendesha mambo yake ndani Ya serikali kikijiita Ccm Mpya, Ccm ya akina kinana haihusiki na huo ujambazi[emoji23][emoji23]🤣akili za CCM mda mwingine sijui wanawazaga nn
Madaraka ya kulevya ....Ujuaji wa kindezi kiwango cha PhD