Bendera ya Chama cha Mapinduzi ni kinga? | Bendera ya CCM ni mbadala wa "Plate Number"?

Bendera ya Chama cha Mapinduzi ni kinga? | Bendera ya CCM ni mbadala wa "Plate Number"?

...ninaposema unauwezo mdogo wa kung'amua mambo bila shaka ni sahihi kabisa!
Liwe limekamatwa au halijakamatwa kwa uzi huu ulioletwa humu, wenye utimamu wa akili watakuwa washapata ujumbe!
Sasa wewe kazania kusema humu si sehemu sahihi!
...unavyoleta vitusi vyako uchwara ndio unazidi kujidhalilisha bwana mdogo!
Hivi huu uzi ulioleta hapa ni kwa nini usiende kwa mabosi wa hao polisi ukapeleka maoni yako badala yake ukayaleta humu?
View attachment 1565497
Usome vzr. Rudi kwenye mada
 
wakati huu ukitaka kufanikisha jambo lako tembelea nyota ya ccm,kuna jamaa gangu juzi kasafirisha chakula cha maras toka Mtwara hadi Dar,gari yake aliweka bendera za ccm nyuma na mbele na picha ya ndugu yetu na mwenza wake hakuna askar aliyempiga mkono hadi anaingia mbagala.....kujiongeza muhimu

Sasa si bora kufanya hata hivyo kuweka mabendera na picha kuliko kufunika number plate aisee...
Ila hayo yana mwisho wake tu!!
 
Katika hali ya kushangaza na isiyotarajika, kuna picha ya gari iliyonaswa ikipita mitaani huku number plate yake ikiwa imefunikwa na bendera ya CCM! Pengine wahusika watoe ufafanuzi hili linawezekana vipi kufanyika? Askari wa usalama barabarani Je wamechukua hatua yoyote kwa mhusika aliyefanya hivyo?

Vipi pengine je aliyefunika hizo number plate kwa bendera kuna kibali alipata cha kufanya hivyo!? Na je huwa mamlaka husika zinatoa vibali vya namna hiyo!? What if kama chama kingine cha upinzani kikafanya hivyo...!?

Kwa kweli hilo la gari kufunikwa number plate kwa bendera tena ya CCM inaleta ukakasi, hasa kipindi hiki cha kampeni kwa kuwa wahalifu wanaweza kutumia wigo huo kusafiri au kusafirisha vitu ambavyo ni hatari kwa kufunika number plate za magari kwa bendera za CCM ili wasipate vizuizi endapo hili lililojitokeza halitatolewa ufafanuzi na hatua stahili kuchukuliwa!

View attachment 1565484
Siku zote CCM Ni majangili katika nchi hii
 
Wapi nimesema polisi wa usalama walete mrejesho? Bila shaka uwezo wako wa kung'amua mambo ni mdogo sana!
Rudia kusoma nilichoandika vizuri uelewe!
Bro sisi tunasoma kujibu sio kuelewa. Na ndio mfumo wa elimu yetu
 
Muulize mpiga picha.
Katika hali ya kushangaza na isiyotarajika, kuna picha ya gari iliyonaswa ikipita mitaani huku number plate yake ikiwa imefunikwa na bendera ya CCM! Pengine wahusika watoe ufafanuzi hili linawezekana vipi kufanyika? Askari wa usalama barabarani Je wamechukua hatua yoyote kwa mhusika aliyefanya hivyo?

Vipi pengine je aliyefunika hizo number plate kwa bendera kuna kibali alipata cha kufanya hivyo!? Na je huwa mamlaka husika zinatoa vibali vya namna hiyo!? What if kama chama kingine cha upinzani kikafanya hivyo...!?

Kwa kweli hilo la gari kufunikwa number plate kwa bendera tena ya CCM inaleta ukakasi, hasa kipindi hiki cha kampeni kwa kuwa wahalifu wanaweza kutumia wigo huo kusafiri au kusafirisha vitu ambavyo ni hatari kwa kufunika number plate za magari kwa bendera za CCM ili wasipate vizuizi endapo hili lililojitokeza halitatolewa ufafanuzi na hatua stahili kuchukuliwa!

View attachment 1565484
 
Muulize mpiga picha.
Katika hali ya kushangaza na isiyotarajika, kuna picha ya gari iliyonaswa ikipita mitaani huku number plate yake ikiwa imefunikwa na bendera ya CCM! Pengine wahusika watoe ufafanuzi hili linawezekana vipi kufanyika? Askari wa usalama barabarani Je wamechukua hatua yoyote kwa mhusika aliyefanya hivyo?

Vipi pengine je aliyefunika hizo number plate kwa bendera kuna kibali alipata cha kufanya hivyo!? Na je huwa mamlaka husika zinatoa vibali vya namna hiyo!? What if kama chama kingine cha upinzani kikafanya hivyo...!?

Kwa kweli hilo la gari kufunikwa number plate kwa bendera tena ya CCM inaleta ukakasi, hasa kipindi hiki cha kampeni kwa kuwa wahalifu wanaweza kutumia wigo huo kusafiri au kusafirisha vitu ambavyo ni hatari kwa kufunika number plate za magari kwa bendera za CCM ili wasipate vizuizi endapo hili lililojitokeza halitatolewa ufafanuzi na hatua stahili kuchukuliwa!

View attachment 1565484
What if kama ni mimi?
Hapo sijui.

Labda ungewauliza waliokuwamo kwa gari.
 
Katika hali ya kushangaza na isiyotarajika, kuna picha ya gari iliyonaswa ikipita mitaani huku number plate yake ikiwa imefunikwa na bendera ya CCM! Pengine wahusika watoe ufafanuzi hili linawezekana vipi kufanyika? Askari wa usalama barabarani Je wamechukua hatua yoyote kwa mhusika aliyefanya hivyo?

Vipi pengine je aliyefunika hizo number plate kwa bendera kuna kibali alipata cha kufanya hivyo!? Na je huwa mamlaka husika zinatoa vibali vya namna hiyo!? What if kama chama kingine cha upinzani kikafanya hivyo...!?

Kwa kweli hilo la gari kufunikwa number plate kwa bendera tena ya CCM inaleta ukakasi, hasa kipindi hiki cha kampeni kwa kuwa wahalifu wanaweza kutumia wigo huo kusafiri au kusafirisha vitu ambavyo ni hatari kwa kufunika number plate za magari kwa bendera za CCM ili wasipate vizuizi endapo hili lililojitokeza halitatolewa ufafanuzi na hatua stahili kuchukuliwa!

View attachment 1565484
hujui kwamba gari ya Hpole na pole
 
Hii ni Tanzania ndugu yangu.
Angalia maisha ya watoto wako tu bila shaka bado wadogo, hakikisha wanasoma shule nzuri wapate chakula kizuri n.k
Anafuatilia mambo yasio na tija kwa ustawi wa familia yake
 
Hii ni Tanzania ndugu yangu.
Angalia maisha ya watoto wako tu bila shaka bado wadogo, hakikisha wanasoma shule nzuri wapate chakula kizuri n.k
Kwa hiyo huoni hiyo ni hatari??? Je huoni wahalifu wanaweza tumia fursa kufanya uhalifu kwa kuficha plate Namba!??
Je akimgonga MTU akakimbia itakuaje??? Hivi unadhubutu kutetea kitu cha namna hii!??
 
Back
Top Bottom