Freyzem
JF-Expert Member
- Jun 29, 2013
- 10,120
- 24,667
Achana naye huyo kichwani hamna kitu
Kabisa mkuu, akili zake zimekaa kushoto kidogo!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Achana naye huyo kichwani hamna kitu
Usome vzr. Rudi kwenye mada...ninaposema unauwezo mdogo wa kung'amua mambo bila shaka ni sahihi kabisa!
Liwe limekamatwa au halijakamatwa kwa uzi huu ulioletwa humu, wenye utimamu wa akili watakuwa washapata ujumbe!
Sasa wewe kazania kusema humu si sehemu sahihi!
...unavyoleta vitusi vyako uchwara ndio unazidi kujidhalilisha bwana mdogo!
Hivi huu uzi ulioleta hapa ni kwa nini usiende kwa mabosi wa hao polisi ukapeleka maoni yako badala yake ukayaleta humu?
View attachment 1565497
wakati huu ukitaka kufanikisha jambo lako tembelea nyota ya ccm,kuna jamaa gangu juzi kasafirisha chakula cha maras toka Mtwara hadi Dar,gari yake aliweka bendera za ccm nyuma na mbele na picha ya ndugu yetu na mwenza wake hakuna askar aliyempiga mkono hadi anaingia mbagala.....kujiongeza muhimu
Wewe kama hukuwa muuza madawa ya kulevya basi unauza bhangi na ndio nyie tunaowakataa na wapiga dili wengine.Ukiambiwa CHAMA CHA MAJAMBAZI UELEWE!
uskute ni STK au PTSasa si bora kufanya hata hivyo kuweka mabendera na picha kuliko kufunika number plate aisee...
Ila hayo yana mwisho wake tu!!
uskute ni STK au PT
unakautani nao ama na wewe umo humoWasukuma, wanyakyusa, wachaga na wahaya haya makabila siyo ya kuwapa uongozi ,,ulimbukeni mwingi sana
ni kweli kabisaHawatumii lexus hao nadra sana!
Siku zote CCM Ni majangili katika nchi hiiKatika hali ya kushangaza na isiyotarajika, kuna picha ya gari iliyonaswa ikipita mitaani huku number plate yake ikiwa imefunikwa na bendera ya CCM! Pengine wahusika watoe ufafanuzi hili linawezekana vipi kufanyika? Askari wa usalama barabarani Je wamechukua hatua yoyote kwa mhusika aliyefanya hivyo?
Vipi pengine je aliyefunika hizo number plate kwa bendera kuna kibali alipata cha kufanya hivyo!? Na je huwa mamlaka husika zinatoa vibali vya namna hiyo!? What if kama chama kingine cha upinzani kikafanya hivyo...!?
Kwa kweli hilo la gari kufunikwa number plate kwa bendera tena ya CCM inaleta ukakasi, hasa kipindi hiki cha kampeni kwa kuwa wahalifu wanaweza kutumia wigo huo kusafiri au kusafirisha vitu ambavyo ni hatari kwa kufunika number plate za magari kwa bendera za CCM ili wasipate vizuizi endapo hili lililojitokeza halitatolewa ufafanuzi na hatua stahili kuchukuliwa!
View attachment 1565484
Bro sisi tunasoma kujibu sio kuelewa. Na ndio mfumo wa elimu yetuWapi nimesema polisi wa usalama walete mrejesho? Bila shaka uwezo wako wa kung'amua mambo ni mdogo sana!
Rudia kusoma nilichoandika vizuri uelewe!
🤣🤣🤣Chama Cha wanyonge
Katika hali ya kushangaza na isiyotarajika, kuna picha ya gari iliyonaswa ikipita mitaani huku number plate yake ikiwa imefunikwa na bendera ya CCM! Pengine wahusika watoe ufafanuzi hili linawezekana vipi kufanyika? Askari wa usalama barabarani Je wamechukua hatua yoyote kwa mhusika aliyefanya hivyo?
Vipi pengine je aliyefunika hizo number plate kwa bendera kuna kibali alipata cha kufanya hivyo!? Na je huwa mamlaka husika zinatoa vibali vya namna hiyo!? What if kama chama kingine cha upinzani kikafanya hivyo...!?
Kwa kweli hilo la gari kufunikwa number plate kwa bendera tena ya CCM inaleta ukakasi, hasa kipindi hiki cha kampeni kwa kuwa wahalifu wanaweza kutumia wigo huo kusafiri au kusafirisha vitu ambavyo ni hatari kwa kufunika number plate za magari kwa bendera za CCM ili wasipate vizuizi endapo hili lililojitokeza halitatolewa ufafanuzi na hatua stahili kuchukuliwa!
View attachment 1565484
HoboboHii ni Tanzania ndugu yangu.
Angalia maisha ya watoto wako tu bila shaka bado wadogo, hakikisha wanasoma shule nzuri wapate chakula kizuri n.k
Muulize mpiga picha.
Katika hali ya kushangaza na isiyotarajika, kuna picha ya gari iliyonaswa ikipita mitaani huku number plate yake ikiwa imefunikwa na bendera ya CCM! Pengine wahusika watoe ufafanuzi hili linawezekana vipi kufanyika? Askari wa usalama barabarani Je wamechukua hatua yoyote kwa mhusika aliyefanya hivyo?
Vipi pengine je aliyefunika hizo number plate kwa bendera kuna kibali alipata cha kufanya hivyo!? Na je huwa mamlaka husika zinatoa vibali vya namna hiyo!? What if kama chama kingine cha upinzani kikafanya hivyo...!?
Kwa kweli hilo la gari kufunikwa number plate kwa bendera tena ya CCM inaleta ukakasi, hasa kipindi hiki cha kampeni kwa kuwa wahalifu wanaweza kutumia wigo huo kusafiri au kusafirisha vitu ambavyo ni hatari kwa kufunika number plate za magari kwa bendera za CCM ili wasipate vizuizi endapo hili lililojitokeza halitatolewa ufafanuzi na hatua stahili kuchukuliwa!
View attachment 1565484
Hapo sijui.What if kama ni mimi?
hujui kwamba gari ya Hpole na poleKatika hali ya kushangaza na isiyotarajika, kuna picha ya gari iliyonaswa ikipita mitaani huku number plate yake ikiwa imefunikwa na bendera ya CCM! Pengine wahusika watoe ufafanuzi hili linawezekana vipi kufanyika? Askari wa usalama barabarani Je wamechukua hatua yoyote kwa mhusika aliyefanya hivyo?
Vipi pengine je aliyefunika hizo number plate kwa bendera kuna kibali alipata cha kufanya hivyo!? Na je huwa mamlaka husika zinatoa vibali vya namna hiyo!? What if kama chama kingine cha upinzani kikafanya hivyo...!?
Kwa kweli hilo la gari kufunikwa number plate kwa bendera tena ya CCM inaleta ukakasi, hasa kipindi hiki cha kampeni kwa kuwa wahalifu wanaweza kutumia wigo huo kusafiri au kusafirisha vitu ambavyo ni hatari kwa kufunika number plate za magari kwa bendera za CCM ili wasipate vizuizi endapo hili lililojitokeza halitatolewa ufafanuzi na hatua stahili kuchukuliwa!
View attachment 1565484
Anafuatilia mambo yasio na tija kwa ustawi wa familia yakeHii ni Tanzania ndugu yangu.
Angalia maisha ya watoto wako tu bila shaka bado wadogo, hakikisha wanasoma shule nzuri wapate chakula kizuri n.k
Kwa hiyo huoni hiyo ni hatari??? Je huoni wahalifu wanaweza tumia fursa kufanya uhalifu kwa kuficha plate Namba!??Hii ni Tanzania ndugu yangu.
Angalia maisha ya watoto wako tu bila shaka bado wadogo, hakikisha wanasoma shule nzuri wapate chakula kizuri n.k