Bendera ya Mozambique (Msumbuji), Je ni Wakati wa kutoa hii AK 47

Bendera ya Mozambique (Msumbuji), Je ni Wakati wa kutoa hii AK 47

Logikos

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2014
Posts
15,460
Reaction score
24,233
1732191135260.png
Hapana haujakosea hio ni bendera ya nchi na hio ni AK 47 ikiwa na Jembe..., Ndio naelewa kwamba kuna kipindi walikuwa wanapigania Mapinduzi / Uhuru hio AK ilikuwa na kazi mahususi je wakati haujafika kubadilisha hio AK na kuweka angalau kalamu iendane na hicho kitabu ?

Clothes Make the Pirate.... Hii kama hujui uneweza kudhani ni bendera ya wauza ngada....
 
Hapana haujakosea hio ni bendera ya nchi na hio ni AK 47 ikiwa na Jembe..., Ndio naelewa kwamba kuna kipindi walikuwa wanapigania Mapinduzi / Uhuru hio AK ilikuwa na kazi mahususi je wakati haujafika kubadilisha hio AK na kuweka angalau kalamu iendane na hicho kitabu ?

Clothes Make the Pirate.... Hii kama hujui uneweza kudhani ni bendera ya wauza ngada....
Hahaha
 
Ukishajua kwann iliwekwa, huwezi kushauri iondolewe.
Iliwekwa kipindi cha mapambo ya independence na kwa sasa inaonyesha defense, ila karne hii kujilinda unajilinda na what is between your ears na sio kutumia mitutu..., and by the way ningeelewa wangeweka Upinde na Mshale na sio Avtomat Kalashnikova 47
 
Hapana haujakosea hio ni bendera ya nchi na hio ni AK 47 ikiwa na Jembe..., Ndio naelewa kwamba kuna kipindi walikuwa wanapigania Mapinduzi / Uhuru hio AK ilikuwa na kazi mahususi je wakati haujafika kubadilisha hio AK na kuweka angalau kalamu iendane na hicho kitabu ?

Clothes Make the Pirate.... Hii kama hujui uneweza kudhani ni bendera ya wauza ngada....
Only gun-politics is a suitable means of doing politics in Africa.
 
Mkuu, badala upiganie katiba ya nchi yako sambamba na mifumo mbalimbali ya kiuongozi na kiutawala ambayo haijakaa sawa, unavuka mipaka hadi kwenda kuwasahihisha wana msumbiji ambao wao wanajua kwa nn hiyo AK 47 iko hapo...
Myopic thinking kudhani kwamba ubora wa dunia na Afrika kwa ujumla unaishia kwenye mipaka yako..., Afya ya majirani zako ni Afya yako na wakimbizi wa mwenzako ni mzigo wako...

Sababu kizazi cha sasa hakuna Pan Africanist huwezi kunielewa...
 
Myopic thinking kudhani kwamba ubora wa dunia na Afrika kwa ujumla unaishia kwenye mipaka yako..., Afya ya majirani zako ni Afya yako na wakimbizi wa mwenzako ni mzigo wako...

Sababu kizazi cha sasa hakuna Pan Africanist huwezi kunielewa...
Pan africanism is useless ktk dunia ya leo..miaka ya 60 tumetumia rasilimali nyingi kupeleka ukombozi ktk mataifa ambayo leo yanafukuza na kuwapiga watu wetu kama mbweha!
 
Kwan shida iko wapi..?
Bendera ni Symbolism; Bendera ndio alama inayoonyesha nchi kwa ufupi (at a glance) sasa sisi watu tunaopenda solidarity na umoja symbolism ya ubabe (be it defense) inapunguza ile kasi ya sisi tunaopenda unity after all kilichopo hapo sio Bunduki Made in Msumbuji (bali AK 47 ya Russia) at best inaonyesha utegemezi hata katika defense yenu...
 
Pan africanism is useless ktk dunia ya leo..miaka ya 60 tumetumia rasilimali nyingi kupeleka ukombozi ktk mataifa ambayo leo yanafukuza na kuwapiga watu wetu kama mbweha!
Again Myopic thinking..., takupa two qoutes..., An Eye for an Eye will make the whole World go Blind; na Clans can not Defeat Empires... Nchi moja moja Africa will never be able to defeat Developed Countries...; na mpaka sasa Africa is being Marginalized na developed countries kwa kutumia mbinu ya divide and rule.., Yaani even Africa as a Continent hatuna Veto Power United Nations wakati as a Continent we have more countries than any other...
 
Imeathiri vipi uchumi au amani ya hilo Taifa?
CCM mmezoea habari zenu za kuunda kamati ya kubadili jina la katiba wakati Maudhui ni yale yale.
 
Again Myopic thinking..., takupa two qoutes..., An Eye for an Eye will make the whole World go Blind; na Clans can not Defeat Empires... Nchi moja moja Africa will never be able to defeat Developed Countries...; na mpaka sasa Africa is being Marginalized na developed countries kwa kutumia mbinu ya divide and rule.., Yaani even Africa as a Continent hatuna Veto Power United Nations wakati as a Continent we have more countries than any other...
Kinachowaangusha Waafrika (Watu Weusi) ni Akili mbovu.
 
Wenzao congo dr, rwanda, malawi na wengine walishabadilisha bendera zao. Hii bendera ya msumbiji ibadilishwe tu
 
Hapana haujakosea hio ni bendera ya nchi na hio ni AK 47 ikiwa na Jembe..., Ndio naelewa kwamba kuna kipindi walikuwa wanapigania Mapinduzi / Uhuru hio AK ilikuwa na kazi mahususi je wakati haujafika kubadilisha hio AK na kuweka angalau kalamu iendane na hicho kitabu ?

Clothes Make the Pirate.... Hii kama hujui uneweza kudhani ni bendera ya wauza ngada....
Ya kwenu isio kuwa na hio ak 47 inasaidia nini nchi?
 
Mkuu, badala upiganie katiba ya nchi yako sambamba na mifumo mbalimbali ya kiuongozi na kiutawala ambayo haijakaa sawa, unavuka mipaka hadi kwenda kuwasahihisha wana msumbiji ambao wao wanajua kwa nn hiyo AK 47 iko hapo...
Hahahah aise
 
Back
Top Bottom