Sio vema kuwasahau watu waliotufanyia mema. Mungu kupitia damu zao Kuna kitu atafanya kitakachotuongezea ajira na kupata uchumi wa kujengea miundo mbinu yetu.Hiyo rangi nyekundu itaongeza ajira,kuboresha miundombinu,kukuza kilimo n.k?
Ndiyo maana timu zenye jezi nyekundu ama alama nyekundu huwa zinapata mafanikio Sana, fanya utafiti. Mchezo wa mpira Ni wa kuvuja jasho na damu uwanjani. Wako wanaovunjika, wanaokwaruzana, wanaokufa viwanjani. Rangi nyekundu kwenye jezi Ni kuunga mkono kazi za wachezaji hata wanapopata majeraha na kuvuja jasho zaoSimba walimwaga damu wapi mbona wana rangi nyekundu kwenye bendera yao
Si ndo maana kuna siku ya mashujaa! Watakumbukwa hapaSio vema kuwasahau watu waliotufanyia mema. Mungu kupitia damu zao Kuna kitu atafanya kitakachotuongezea ajira na kupata uchumi wa kujengea miundo mbinu yetu.
Ogopa Sana damu ya mtu iliyomwagika kwaajili yako kisha ukamsahau mtu huyo. Kuacha kuweka alama nyekundu kwenye bendera yetu Ni jitihada za kuwakana waliokufa kwaajili ya kulipigania taifa na maisha yetu.
Hahaha!; hao waliohai tuko nao pamoja, tunafaidi wote kupita kwenye flyovers, shida Ni wale waliopoteza uhai. Angalau Basi kuwe na kitu kinachowafanya wakumbukwe kila inayoitwa leo. Mtu anaposema nchi yetu imepata Uhuru bila kumwaga damu anatudanganya pakubwa. Uhuru wa taifa hili ulianza tangu siku ya kwanza wakoloni na wageni wengine walipowasili nchini. Wako watu waliopinga kutawaliwa na kuishia kuuawa, kufungwa na kuteswa vibaya.Rangi ya bendera haisaidii kama hata waliopigania nchi ambao bado wapo hai hamuwajali.
Mpaka wafe ndio sifa zinatoka kibao .
Zinawekwa hats nyotร tano za rang nykundu upande wa blue kulia๐น๐ฟ ๐น๐ฟ ๐น
Chagua katika eneo gani la hizo bendera rangi nyekundu iwekwe??
Zinawekwa hats nyotร tano za rang nykundu upande wa blue kulia
Wako watu kama akina Mkwawa, Kinjekitile, Isike na wengine ambao waliomwaga damu zao wakati wa kuitetea nchi hii. Kupinga dhuluma na fedheha za kutawaliwa. Lakini wapo Watanzania hadi leo ambao wanamwaga damu zao kuilinda nchi hii na kupinga dhuluma na kutetea misingi ya kidemokrasia na utawala bora.
Kuna ubaya gani kama bendera yetu ikiwatambua mashujaa hao kwa kuongeza rangi nyekundu japo kwenye kamba ya kupandisha na kushushia bendera au Basi hata kwenye mlingoti wa bendera?