De Opera
JF-Expert Member
- May 23, 2013
- 780
- 1,664
Tanzania(Taifa stars) kupambana tena na Benin kwa mara hii wakiwa ugenini Siku ya Jumapili Oktoba 10 kuanzia saa 10 za jioni, katika mechi za kuwania kufuzu kombe la dunia 2022 nchini Qatar.
Stars ilipoteza nyumbani dhidi ya Benin kwa kufungwa bao 1 kwa 0 katika mchezo uliopigwa dimba la Mkapa jijini Dar es salam.
Madagascar watakuwa wakiikaribisha Dr Congo siku hiyo hiyo kuanzia majira ya saa moja za usiku.
Stars ilipoteza nyumbani dhidi ya Benin kwa kufungwa bao 1 kwa 0 katika mchezo uliopigwa dimba la Mkapa jijini Dar es salam.
Madagascar watakuwa wakiikaribisha Dr Congo siku hiyo hiyo kuanzia majira ya saa moja za usiku.
MATOKEO YA MECHI ZILIZOPITA
Tanzania | 0 - 1 | Benin |
DR Congo | 2 - 0 | Madagascar |
MSIMAMO WA KUNDI J
| TEAM | MP | W | D | L | GF | GA | GD | Pts |
|---|---|---|---|---|---|---|---|---|
| Benin | 3 | 2 | 1 | 0 | 3 | 1 | 2 | 7 |
| DR Congo | 3 | 1 | 2 | 0 | 4 | 2 | 2 | 5 |
| Tanzania | 3 | 1 | 1 | 1 | 4 | 4 | 0 | 4 |
| Madagascar | 3 | 0 | 0 | 3 | 2 | 6 | -4 | 0 |
MECHI ZIJAZO
Benin | Vs | Tanzania |
| Jumapili Oktoba 10 2021, 16:00 EAT |
Madagascar | Vs | DR Congo |
| Jumapili Oktoba 10 2021, 19:00 EAT |