Benjamin Asukile: Jeshini hakuna urembo wala Biriani, asema mazoezini hucheza kwa nguvu sana kuliko hata kwenye mechi. Awataka Simba waache kulia

Unajichosha tu,jeshi ni JWTZ,kama hujapitia huko sikuelewi hata unasema nini.

Kuna wanamgambo wanatumia silaha zote pia hiyo si ajabu.

Kwanza sisi tunazungumzia soka,tukija upande wa watabe huwezi kusikia eti askari magereza anazungumziwa kabisa.Yaani uache kuzungumzia JWTZ uanze kusifu jeshi la magereza?
 
Mechi ya kwanza prison1-0 simba
Mechi ya pili simba 1-1 prison

Msimu ulioisha

Simba 0-0 prison
Prison 0-0 simba

Wamesuluhu na yanga na azam pia
Sijaelewa unamaanisha nini...lakini point yangu ni kwamba hao hukamia mechi kubwa tu ndo mana hata nafasi kwenye ligi utaiona tu,hufungwa na timu vibonde sana hao.
 
Eti uto na nyie mnajiona timu bora kisa Simba imetoa draw na wale wafungwa. Yaani mnajitekenya wenyewe halafu mnacheka.
Sio wafungwa ni manyapara
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…