Magereza wana kambi yao ya maafisa wa daraja la kwanza ipo Kiwira, Tukuyu mkoani Mbeya!
Mafunzo yao ni ya hatari kuliko unavyoweza kuhisi.
Magereza inatumia silaha za aina zote kwa ajili ya ulinzi wa jela (hapa ndipo nitakapopima uelewa wako!)
Magereza ina special force kwa ajili ya kutuliza ghasia inayo-share vitu vingi zaidi na Askari jeshi Military Soldiers inayofahamika kama KM hawa ni sawa na FFU.
Nisijichoshe