magnifico
JF-Expert Member
- Jan 14, 2013
- 11,075
- 24,634
Wewe ni mmoja wa waathirika wa mfumo mbovu wa elimu hapa Bongo.Walinzi wa wafungwa wanajiita wanajeshi duu í ¾í´£ í ¾í´£
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe ni mmoja wa waathirika wa mfumo mbovu wa elimu hapa Bongo.Walinzi wa wafungwa wanajiita wanajeshi duu í ¾í´£ í ¾í´£
Magereza wana kambi yao ya maafisa wa daraja la kwanza ipo Kiwira, Tukuyu mkoani Mbeya!
Mafunzo yao ni ya hatari kuliko unavyoweza kuhisi.
Magereza inatumia silaha za aina zote kwa ajili ya ulinzi wa jela (hapa ndipo nitakapopima uelewa wako!)
Magereza ina special force kwa ajili ya kutuliza ghasia inayo-share vitu vingi zaidi na Askari jeshi Military Soldiers inayofahamika kama KM hawa ni sawa na FFU.
Nisijichoshe
Sijaelewa unamaanisha nini...lakini point yangu ni kwamba hao hukamia mechi kubwa tu ndo mana hata nafasi kwenye ligi utaiona tu,hufungwa na timu vibonde sana hao.Mechi ya kwanza prison1-0 simba
Mechi ya pili simba 1-1 prison
Msimu ulioisha
Simba 0-0 prison
Prison 0-0 simba
Wamesuluhu na yanga na azam pia
Sio wafungwa ni manyaparaEti uto na nyie mnajiona timu bora kisa Simba imetoa draw na wale wafungwa. Yaani mnajitekenya wenyewe halafu mnacheka.