Benjamin Fernandes Ni nani?

Benjamin Fernandes Ni nani?

Hapana Mkuu baadhi ya makanisa au vituo vinavyochipua ni wapigaji tu. Ni biashara kwa kwenda mbele. Waumini wanachunwa to the skinny state. Ni matajiri na waumini wanachechemea. Benjamin na dada yake Benice (sorry if mispelled) walisoma shule ya matajiri Heaven of Peace na baadaye first degree nje na 2nd pia. Najiuliza hao waumini watoto wao wanasoma wapi? My Godness.
Eeebwanah!!hyo shule waliyosomaa!
 
aiseee aliikataaje hizo mil 400? alisema hataki au hazimtoshi?
 
Kuna seminar moja nimeattend hapa mjini nikamkuta huyu kijana kaalikwa akaongea kwa kiasi chake tena kwa confidence ikabidi nimsearch gooogle ndo nikakutana na haya..

alivooongea tu nkaona kitu kimoja Kwanini vijana wa Kitanzania tunapenda ujiko kuliko kazi, ni shida sana kwetu. Huyu jamaa aliongea kidogo nikanote hicho, Sidhani kabisa kama ni Mtanzania wa kwanza kusoma Harvard maana mtoto wa karamagi anasoma Harvard na kuna watanzania kibao hapo...Harvard, Princenton na Standford kuna mwaka nilikaribishwa na waTanzanzania wa Princeton nilivoenda kuattend seminar flani kikazi.. na ukisoma hizo shule unapewa internship kwenye kampuni za alumni ambae Gates ni Alumni... Pia ukipewa scholarship yeyote ya marekani na state lazima urudi Tanzania miaka miwili kuimplement ulichojifunza...ila maujiko ya huyu kaka sio ya dunia hiii sio kitu cha kutamba kwamba umemaliza harvard stanford...SO what? Mimi kama mtanzania nanufaika nini na hilo? wapo watu wamesoma no. 1 engineering college in the world na kazi mpaka leo hawana.
Sasa na kama Benja na entrepreneurship skills training anafanya..sasa unamtrain nani na wewe entrepreneurship bado hujaingia?
Vijana wa kitanzania mliofika mbali inabidi muwe makini sana na matendo yenu msitumie kupotosha watu au kuuza sura. Taifa linawategemea. Kama Benja yuko very smart am sure anaweza anzisha kitu kuajiri vijana na kuwamotivate au kusolve tatizo la ajira. Hampewi scholarship au hampelekwi kusoma ili mrudi kusema mlisoma, mnapelekwa mrudi mlete mambo mapya mfungue biashara msaidie jamii zinazowazunguka, leteni maendeleo jamani fungueni dunia kwa vijana wenzenu. Muwe mifano.. haitoshi kwamba mlisoma..tumieni elimu yenu... hata kwenye ajira.

Benjamin Fernandes

Benjamin Fernandes speaking at Harvard Business School
Born 25 November 1992
Residence Dar es Salaam, Tanzania
Nationality Tanzanian
Alma mater University of Northwestern - St. Paul (B.A.) Stanford Graduate School of Business (M.B.A.) John F. Kennedy School of Government (Exec.)
Occupation The Bill and Melinda Gates Foundation
Awards Africa MBA Fellowship, MBA World Summit, Top 15 Most Influential Tanzanians
Benjamin Fernandes (born 25 November 1992) is a Tanzanian award-winning speaker and national television personality. He worked at The Bill and Melinda Gates Foundation in the United States in their Digital Team and Financial Services team. He is the first[1]Tanzanian to attend Stanford Graduate School of Business as an Africa MBA Fellow [2] and the youngest African to ever be accepted to Stanford Graduate School of Business. In 2017, Fernandes became the first Tanzanian in history to attend both Stanford Graduate School of Business and Harvard John F. Kennedy School of Government for an executive education program
In 2016, Fernandes worked at the Bill and Melinda Gates Foundation in Seattle, Washington before returning to his final year of business school at Stanford Graduate School of Business.[13]
On June 17, 2017, Fernandes graduated from Stanford Graduate School of Business and decided to return home to Tanzania. A decision that stunned many Tanzanians given his potential salary offerings in the United States. Stanford Graduate School of Business has the highest post MBA Salary than any other school in the world. In the year 2016, the lower average salary offering for a graduating student in 2016 was TSH 418 Million ($179,346).[16] This decision to return home was covered all over the press in Tanzania, initially through a viral interview video by MillardAyo,[17] mentioning his potential salary offerings he could've gotten in the United States which was shared across the country, then making the front page of national newspaper, Mwananchi.[18]

From the 7 Africa MBA Fellows of the Stanford MBA Class of 2017 class, Fernandes is the only African who has decided to return home to his home country immediately full-time.

Fernandes has made a commitment to serving Tanzania with interest in financial services and supporting Tanzania’s young and youthful population.
Since returning home, within 200 days, Fernandes has held 26 seminars on entrepreneurship in 4 different regions across Tanzania, with over 22,000 people in cumulative attendance.[
Na wewe umeishia kuutangazia ulimwengu eti umetembelea "Princenton" na "Standford" na kuwafagalia watoto wa watu kama Karamagi eti wanasoma Harvard. Sasa jiulize nani bora kati yako na Benjamin ambaye angalau ana bragging rights kwa vile amesoma kwa akili yake Stanford na Harvard universities. Ni dharau na wivu tu vinavyokusumbua. Nashauri na wewe ufanye semīna zako nchi nzima kuelezea uliyojifunza ulipotembelea "Princenton" na "Standford" na kukutana na watoto wa akina Karamagi kule Harvard. Ni rukhsa. Its a free world after all.
 
Me ndo kama ivoo mkuu sehemu zangu za kujitapa ndo apa tu....huwezi kunisikoa nikitamba nimesoma no 1 business university dunianI sababu haitamsaidia ntu seminar zangu ndo kama izi kuwashauri vijana wachape kazI waache maneno
Na wewe umeishia kuutangazia ulimwengu eti umetembelea "Princenton" na "Standford" na kuwafagalia watoto wa watu kama Karamagi eti wanasoma Harvard. Sasa jiulize nani bora kati yako na Benjamin ambaye angalau ana bragging rights kwa vile amesoma kwa akili yake Stanford na Harvard universities. Ni dharau na wivu tu vinavyokusumbua. Nashauri na wewe ufanye semīna zako nchi nzima kuelezea uliyojifunza ulipotembelea "Princenton" na "Standford" na kukutana na watoto wa akina Karamagi kule Harvard. Ni rukhsa. Its a free world after all.
 
Kwani huyu jamaa si amekuja na app yake inahusiana na kufanya mambo ya transaction ya pesa inaitwa nala tena nimeiona inatangazwa jukwaa la biashara
 
Me ndo kama ivoo mkuu sehemu zangu za kujitapa ndo apa tu....huwezi kunisikoa nikitamba nimesoma no 1 business university dunianI sababu haitamsaidia ntu seminar zangu ndo kama izi kuwashauri vijana wachape kazI waache maneno
You can hardly spell in neither English nor Kiswahili, halafu unadai "nimesoma no 1 business university dunianI"? Hebu kitaje hicho chuo ili tupate picha kamili.
 
Kwani huyu jamaa si amekuja na app yake inahusiana na kufanya mambo ya transaction ya pesa inaitwa nala tena nimeiona inatangazwa jukwaa la biashara
E heee Benjaa ivi ndivo vitu tunavotaka kusikia ukivitangaza na ukivipromote sio kwamba umesoma harvard sijui ulikua wa mwisho darasani ila ukaenda stanford. ..personally nimemwona dogo anaongea Mars nyingi sijawahi sikia kuhusu hio nala
 
You can hardly spell in neither English nor Kiswahili, halafu unadai "nimesoma no 1 business university dunianI"? Hebu kitaje hicho chuo ili tupate picha kamili.
Mkuu basi nkwambie chuo nilichosoma hakitakusaidia hata chembe maana nilikua lofa tu nikaambulia scholarship hata nikijitapa Mungu atanipiga makofi. But the main point is young people need to inspire other young people to do more and be a bit realistic. Selling American dreams does not get us out of poverty and it's no one's cup o tea
 
Kuna seminar moja nimeattend hapa mjini nikamkuta huyu kijana kaalikwa akaongea kwa kiasi chake tena kwa confidence ikabidi nimsearch gooogle ndo nikakutana na haya..

alivooongea tu nkaona kitu kimoja Kwanini vijana wa Kitanzania tunapenda ujiko kuliko kazi, ni shida sana kwetu. Huyu jamaa aliongea kidogo nikanote hicho, Sidhani kabisa kama ni Mtanzania wa kwanza kusoma Harvard maana mtoto wa karamagi anasoma Harvard na kuna watanzania kibao hapo...Harvard, Princenton na Standford kuna mwaka nilikaribishwa na waTanzanzania wa Princeton nilivoenda kuattend seminar flani kikazi.. na ukisoma hizo shule unapewa internship kwenye kampuni za alumni ambae Gates ni Alumni... Pia ukipewa scholarship yeyote ya marekani na state lazima urudi Tanzania miaka miwili kuimplement ulichojifunza...ila maujiko ya huyu kaka sio ya dunia hiii sio kitu cha kutamba kwamba umemaliza harvard stanford...SO what? Mimi kama mtanzania nanufaika nini na hilo? wapo watu wamesoma no. 1 engineering college in the world na kazi mpaka leo hawana.
Sasa na kama Benja na entrepreneurship skills training anafanya..sasa unamtrain nani na wewe entrepreneurship bado hujaingia?
Vijana wa kitanzania mliofika mbali inabidi muwe makini sana na matendo yenu msitumie kupotosha watu au kuuza sura. Taifa linawategemea. Kama Benja yuko very smart am sure anaweza anzisha kitu kuajiri vijana na kuwamotivate au kusolve tatizo la ajira. Hampewi scholarship au hampelekwi kusoma ili mrudi kusema mlisoma, mnapelekwa mrudi mlete mambo mapya mfungue biashara msaidie jamii zinazowazunguka, leteni maendeleo jamani fungueni dunia kwa vijana wenzenu. Muwe mifano.. haitoshi kwamba mlisoma..tumieni elimu yenu... hata kwenye ajira.

Benjamin Fernandes

Benjamin Fernandes speaking at Harvard Business School
Born 25 November 1992
Residence Dar es Salaam, Tanzania
Nationality Tanzanian
Alma mater University of Northwestern - St. Paul (B.A.) Stanford Graduate School of Business (M.B.A.) John F. Kennedy School of Government (Exec.)
Occupation The Bill and Melinda Gates Foundation
Awards Africa MBA Fellowship, MBA World Summit, Top 15 Most Influential Tanzanians
Benjamin Fernandes (born 25 November 1992) is a Tanzanian award-winning speaker and national television personality. He worked at The Bill and Melinda Gates Foundation in the United States in their Digital Team and Financial Services team. He is the first[1]Tanzanian to attend Stanford Graduate School of Business as an Africa MBA Fellow [2] and the youngest African to ever be accepted to Stanford Graduate School of Business. In 2017, Fernandes became the first Tanzanian in history to attend both Stanford Graduate School of Business and Harvard John F. Kennedy School of Government for an executive education program
In 2016, Fernandes worked at the Bill and Melinda Gates Foundation in Seattle, Washington before returning to his final year of business school at Stanford Graduate School of Business.[13]
On June 17, 2017, Fernandes graduated from Stanford Graduate School of Business and decided to return home to Tanzania. A decision that stunned many Tanzanians given his potential salary offerings in the United States. Stanford Graduate School of Business has the highest post MBA Salary than any other school in the world. In the year 2016, the lower average salary offering for a graduating student in 2016 was TSH 418 Million ($179,346).[16] This decision to return home was covered all over the press in Tanzania, initially through a viral interview video by MillardAyo,[17] mentioning his potential salary offerings he could've gotten in the United States which was shared across the country, then making the front page of national newspaper, Mwananchi.[18]

From the 7 Africa MBA Fellows of the Stanford MBA Class of 2017 class, Fernandes is the only African who has decided to return home to his home country immediately full-time.

Fernandes has made a commitment to serving Tanzania with interest in financial services and supporting Tanzania’s young and youthful population.
Since returning home, within 200 days, Fernandes has held 26 seminars on entrepreneurship in 4 different regions across Tanzania, with over 22,000 people in cumulative attendance.[
Nala: Ijue benki ya kidijitali kutoka Tanzania

Hebu pitia hii [emoji115]naamini utaipenda
 
hii ndyo really typical ya wabongo chuki, majungu, roho mbaya , wivu
.

cc.@october man
Chuki ya kumwambia jamaa ana potential na apige kazi? hebu tuwe realistic. nani anaktaa mshahara wa million 400 ili arudi Tanzania? kwa mapenzi gani wa nchi yako? hizo story za abunuasi sio za watu wazima dogooo piga kazi piga kazii acha stori za niliacha kazi nzuri marekani hii ni 2018 watu wanapiga simu hadi uko marekani kuulizia data unazotoa kumbe za uongo ndo mana unaambiwa piga kazi acha longo longoo tunajua tunachokiongelea so usione kama tunahate ni ushauri tu anaweza kuuchukua au kuuacha..after all ukiishaamua kuwa public figure kubali kukosolewa unapokosea
 
Chuki ya kumwambia jamaa ana potential na apige kazi? hebu tuwe realistic. nani anaktaa mshahara wa million 400 ili arudi Tanzania? kwa mapenzi gani wa nchi yako? hizo story za abunuasi sio za watu wazima dogooo piga kazi piga kazii acha stori za niliacha kazi nzuri marekani hii ni 2018 watu wanapiga simu hadi uko marekani kuulizia data unazotoa kumbe za uongo ndo mana unaambiwa piga kazi acha longo longoo tunajua tunachokiongelea so usione kama tunahate ni ushauri tu anaweza kuuchukua au kuuacha..after all ukiishaamua kuwa public figure kubali kukosolewa unapokosea
Mkuu kwani data alizotoa za uongo Ni zipi
 
Mkuu kwani data alizotoa za uongo Ni zipi
google condition za scholarship department of state...na pia ni kazi gani aliiacha ya mamirion ya pesa ebu tuwe wakweli au msemaji wake unatulea mkataba tu-nyamaze maaana mambo ni moto naona nshaanza kuonekana hater kisa kusema kitu ambacho kila mtu anafikiria
 
Samahani mkuu Mimi sio msemaji wake ilihitaji kujua ndio maana nikauliza kuhusu hizo Taarifa za uongo.

Ila bado cjaelewa hapo kuwa data za uongo zinapatika kwa kugoogle condition za........ Sijaelewa

Halafu pia mimi sija kuona hater
Nimependa tu kujua kutoka kwako
 
400m kwa mwaka. izo ni mil 30 na kitu, kwa nje sio nyingi kivile
Hiyo ni kama USD 15K per month. Halafu unasema kwa nje siyo nyingi kivile?!? Kama minimum wage kwa nchi za dunia ya kwanza inacheza kati ya USD 3,000-4,000, sasa 15K kwa mwezi ni pesa ambayo ni kubwa kuliko hata kile University professors earn (kwa wastani prof. Marekani upata around USD 100,000 kwa mwaka.
 
Back
Top Bottom