Benjamin Fernandes Ni nani?

Benjamin Fernandes Ni nani?

Spelling and grammatical errors and typos kibao. Au ndiyo English ya "Princenton? Hakuna kitu kama "patrioticness". Ni "patriotism". Mzee, hiyo "Princenton" unayodai umeenda seminar itakuwa Online University out of Kosovo. Degree mill, so to speak.
me nimesoma kayumba tu...hata princenton nilienda tu kutembea kule kuingia kutembea na kusafisha macho hata kingereza sio prerequisite. Ila si umeeelewa endiwo?
 
me nimesoma kayumba tu...hata princenton nilienda tu kutembea kule kuingia kutembea na kusafisha macho hata kingereza sio prerequisite. Ila si umeeelewa endiwo?
"kingereza sio prerequisite" Why are writing in your broken English then? Wewe siyo level ya Benjamin. Tafuta size yako bro. Arthurtz amejibu hoja zako zote na ushahidi juu. Hakuna mantiki katika majibu yako, unajikanyagakanyaga tu na kuishia kuimba taarabu. Aibuu! Mzee wa "patrioticness" na "prerequisite" umeumbuka. Wivu mbaya!
 
"kingereza sio prerequisite" Why are writing in your broken English then? Wewe siyo level ya Benjamin. Tafuta size yako bro. Arthurtz amejibu hoja zako zote na ushahidi juu. Hakuna mantiki katika majibu yako, unajikanyagakanyaga tu na kuishia kuimba taarabu. Aibuu! Umeumbuka. Wivu mbaya!
hapo najua hujaelewa prerequisite maana yake nini mkuuu...alafu kajibu mawazo gani? ya kwamba alikua intern? na yeye ni presenter katika tv ya babake? lol...kuna wata tukionana mtaaani hapa mtatupa shkamo humu jificheni tu na id zenu. unadhani tunaomwambia aache kujikweza hizi data tunatoa wapi? heeheheheeheha labda sio level zangu kweli siwezi fananishwa na kijana entrepreneur asie na product yeyote na anaeringia kusoma Harvard na stanford kwa scholarship kama mie tu hehehehe na wewe pia ni mwanaume jiheshimu acha kulipwa kutetea hoja za kijinga we mwanaume ujue hehehehe
 
kajibu mawazo gani? ya kwamba alikua intern? na yeye ni presenter katika tv ya babake? lol...kuna wata tukionana mtaaani hapa mtatupa shkamo humu jificheni tu na id zenu. unadhani tunaomwambia aache kujikweza hizi data tunatoa wapi? heeheheheeheha labda sio level zangu kweli siwezi fananishwa na kijana entrepreneur asie na product yeyote na anaeringia kusoma Harvard na stanford kwa scholarship kama mie tu hehehehe na weww pia ni mwanaume acha kulipwa kutetea hoja za kijinga we mwanaume ujue hehehehe
Broken English yako ni next level. Hebu kwanza tafsiri hiyo post yako kwa kiingereza sanifu bila "ur" na upuuzi mwingine. Ndiyo tatizo la ku-cram aka rote memorization. Naona huko "Princenton" unakodai ulienda seminar ulisoma "kiingereza sio prerequisite" ukaamua ku cram hiyo phrase uje kutokosha humu kwa ung'eng'e wako.
 
Kwa elim yake ya biashara mbona ameshindwa kuikuzuza king'amuzi cha baba ake?
Naona TING inakufa hvhv
 
Broken English yako ni next level. Hebu kwanza tafsiri hiyo post yako kwa kiingereza sanifu bila "ur" na upuuzi mwingine. Ndiyo tatizo la ku-cram aka rote memorization. Naona huko "Princenton" unakodai ulienda seminar ulisoma "kiingereza sio prerequisite" ukaamua ku cram hiyo phrase uje kutokosha humu kwa ung'eng'e wako.
Mkuu hii sio vita wala ubishani wa taarabu... kingereza sio kila kitu ila tunakijua vizuri tu na nje tumekaa sana tu heheehhe ni ushauri tu kaka ako anaweza kuchukua au kubakisha ila kataa kutumika kama mwanaume ni aibu sana
Kwanza Benja nimemuelezea vizuri wala sijamuattack unaone eeehh nimemwambia kile watu wanafikiria live bila chenga, kama ana akili nzuri atafuata na kama ataendela ni vema pia akili za kuambiwa changanya na za kwako anyway....wewe unaesifia sababu ya kingereza ni kingereza hiko hiko kinachomuumbua ..walikuepo akina Patrick ngowi waliandikwa weeeee mpaka forbes na zawadi wakapewa kede kede yetu macho watanzania na vingereza vyote leo kiko wapi? kuweni realistic mtakwea aibu.
 
Fernandes with Tyra Banks!
Fernandes with Tyra Banks - May 2018.JPG.jpg
 
Kuna seminar moja nimeattend hapa mjini nikamkuta huyu kijana kaalikwa akaongea kwa kiasi chake tena kwa confidence ikabidi nimsearch gooogle ndo nikakutana na haya..

alivooongea tu nkaona kitu kimoja Kwanini vijana wa Kitanzania tunapenda ujiko kuliko kazi, ni shida sana kwetu. Huyu jamaa aliongea kidogo nikanote hicho, Sidhani kabisa kama ni Mtanzania wa kwanza kusoma Harvard maana mtoto wa karamagi anasoma Harvard na kuna watanzania kibao hapo...Harvard, Princenton na Standford kuna mwaka nilikaribishwa na waTanzanzania wa Princeton nilivoenda kuattend seminar flani kikazi.. na ukisoma hizo shule unapewa internship kwenye kampuni za alumni ambae Gates ni Alumni... Pia ukipewa scholarship yeyote ya marekani na state lazima urudi Tanzania miaka miwili kuimplement ulichojifunza...ila maujiko ya huyu kaka sio ya dunia hiii sio kitu cha kutamba kwamba umemaliza harvard stanford...SO what? Mimi kama mtanzania nanufaika nini na hilo? wapo watu wamesoma no. 1 engineering college in the world na kazi mpaka leo hawana.
Sasa na kama Benja na entrepreneurship skills training anafanya..sasa unamtrain nani na wewe entrepreneurship bado hujaingia?
Vijana wa kitanzania mliofika mbali inabidi muwe makini sana na matendo yenu msitumie kupotosha watu au kuuza sura. Taifa linawategemea. Kama Benja yuko very smart am sure anaweza anzisha kitu kuajiri vijana na kuwamotivate au kusolve tatizo la ajira. Hampewi scholarship au hampelekwi kusoma ili mrudi kusema mlisoma, mnapelekwa mrudi mlete mambo mapya mfungue biashara msaidie jamii zinazowazunguka, leteni maendeleo jamani fungueni dunia kwa vijana wenzenu. Muwe mifano.. haitoshi kwamba mlisoma..tumieni elimu yenu... hata kwenye ajira.

Benjamin Fernandes

Benjamin Fernandes speaking at Harvard Business School
Born 25 November 1992
Residence Dar es Salaam, Tanzania
Nationality Tanzanian
Alma mater University of Northwestern - St. Paul (B.A.) Stanford Graduate School of Business (M.B.A.) John F. Kennedy School of Government (Exec.)
Occupation The Bill and Melinda Gates Foundation
Awards Africa MBA Fellowship, MBA World Summit, Top 15 Most Influential Tanzanians
Benjamin Fernandes (born 25 November 1992) is a Tanzanian award-winning speaker and national television personality. He worked at The Bill and Melinda Gates Foundation in the United States in their Digital Team and Financial Services team. He is the first[1]Tanzanian to attend Stanford Graduate School of Business as an Africa MBA Fellow [2] and the youngest African to ever be accepted to Stanford Graduate School of Business. In 2017, Fernandes became the first Tanzanian in history to attend both Stanford Graduate School of Business and Harvard John F. Kennedy School of Government for an executive education program
In 2016, Fernandes worked at the Bill and Melinda Gates Foundation in Seattle, Washington before returning to his final year of business school at Stanford Graduate School of Business.[13]
On June 17, 2017, Fernandes graduated from Stanford Graduate School of Business and decided to return home to Tanzania. A decision that stunned many Tanzanians given his potential salary offerings in the United States. Stanford Graduate School of Business has the highest post MBA Salary than any other school in the world. In the year 2016, the lower average salary offering for a graduating student in 2016 was TSH 418 Million ($179,346).[16] This decision to return home was covered all over the press in Tanzania, initially through a viral interview video by MillardAyo,[17] mentioning his potential salary offerings he could've gotten in the United States which was shared across the country, then making the front page of national newspaper, Mwananchi.[18]

From the 7 Africa MBA Fellows of the Stanford MBA Class of 2017 class, Fernandes is the only African who has decided to return home to his home country immediately full-time.

Fernandes has made a commitment to serving Tanzania with interest in financial services and supporting Tanzania’s young and youthful population.
Since returning home, within 200 days, Fernandes has held 26 seminars on entrepreneurship in 4 different regions across Tanzania, with over 22,000 people in cumulative attendance.[
ni mtoto wa mtume fernandes wa agape
 
Hivi kwa nini watanzania in wepesi kudanganywa? Huyu hakukataa mshahara WA $$1790000 au 418M. No way. Rather anatwambia kwamba kwa shule alizosoma..angeamua kubaki US Huo ndo mshahara angelipwa. Na wala hakupata hiyo offer ya Huo mshahara. Ukisoma huo wasifu wake utagundua kwamba kuna exaggeration ya kutosha. Kwa anayeelewa ameliona hili.

Dogo aache ujinga I have my friend (LLM McGill and PhD Harvard) yuko anapambana anatafuta ajira......

Eti first Tanzanian kusoma Harvard? Please get really bwana mdogo.

Anyway bado in bwana mdogo. Akikua reality will catch up with him.
 
Dogo anazingua... Kama mtoa mada ulivyo sema.. Alitakiwa atuonyesha kile alichonufaika nacho huko... Na zaidi akiweke mezani vijana wenzake nao walau wale makombo...
Huyu dogo bana alitutumia dodoso tujibu baadhi ya maswali kwa ajili ya utafiti wake ,lakini baada ya kuyajibu na kumtumia na kufanikisha utafiti wake,hata salamu au shukrani ameshindwa kuitoa kila siku yeye ni kujitafutia maujiko tu,utadhani yeye ndie Mtanzania wa kwanza kusoma hicho chuo,kumbe akina mzee wa vijisenti nao walisoma huko hata Zero wetu nae alienda kusoma chuo hicho.
 
Hivi kwa nini watanzania in wepesi kudanganywa? Huyu hakukataa mshahara WA $$1790000 au 418M. No way. Rather anatwambia kwamba kwa shule alizosoma..angeamua kubaki US Huo ndo mshahara angelipwa. Na wala hakupata hiyo offer ya Huo mshahara. Ukisoma huo wasifu wake utagundua kwamba kuna exaggeration ya kutosha. Kwa anayeelewa ameliona hili.

Dogo aache ujinga I have my friend (LLM McGill and PhD Harvard) yuko anapambana anatafuta ajira......

Eti first Tanzanian kusoma Harvard? Please get really bwana mdogo.

Anyway bado in bwana mdogo. Akikua reality will catch up with him.
Wakati mzee wa vijisenti alisoma Harvard miaka kibao iliyopita na hata Zero alienda kusoma Harvard,huyo Goa aache ujinga,akawaambie upuuzi huo waumini wa kanisa la baba yake.
 
3. BENJAMIN NA ENTREPRENEURSHIP.

Mkuu Selwa Benjamin ni entrepreneur mzuri tuu. Sio mtu wa kawaida kawaida Kama unavyomuelezea kwa kwenye Uzi wako. Tena Ni mtu ambae anafanya vitu kwa mipango na malengo. Unachotakiwa wewe Ni kumshauri sio kusema Kama vile unamshikia akili ama Benjamin hajui nini anafanya. Kabla ya kuandikisha huu Uzi ungemtafuta faragha na kumuuliza haya yote ungeelewa vizuri Sana na ungekuja hapa na aina nyingine ya Uzi kuhusu Benjamin sio huu. Tena mtu mwenyewe msikivu, mpole na mwenye kupokea maoni na ushauri Kutoka kwa watu Kama nyinyi. Sasa Basi ngoja nikukumbushe kitu anamo AUGUST 23, 2015 kabla ya kwenda Stanford Benjamin aliliambia gazette la Citizen hivi.

“ …… I plan to move back home and apply the knowledge and skills I have learned in the US. There in the US there is everything one could want. However, I know that my purpose is to bring home a new hope to a people that desperately need it. Tanzania my love for you is never ending…..”

soma makala yote FEATURE : Young Tanzanian’s journey to the prestigious Stanford

Miezi Saba baadaye MARCH 22, 2016 baada ya kutunukiwa tuzo ya MBA world Summit aliliambia Tena gazette la Citizen


“..... Once he finishes school, Benjamin plans to launch a financial technology company in Tanzania. He wants to come up with solutions to our biggest socioeconomic problems and finding ways of distributing micro-finance loans to people in rural regions of Tanzania.

“I believe that financial inclusion and access defines the economic growth of a country. I want to work on ways to tackle this issue. After the company goes well and goals are achieved, I would like to get into educational technology to educate those who have access to less. Our country was founded on educational principles and I think this is the best way to empower the next generation…….”.

Usipate taabu hii utaikuta hapa
Award winning business student soars high abroad

Njoo Sasa miezi 10 baada ya kuhitimu (June, 2017) Stanford namno MAY 18, 2018 Benjamin apiga hatua yake ya kwanza katika kile alichataja mwanzoni

“FINANCIAL TECHNOLOGY COMPANY”

kwa kuanza kutuletea NALAmoney Kama bado hujajua kuhusu Nala hebu njoo hapa
Nala: Ijue benki ya kidijitali kutoka Tanzania

na huu Ni mwanzo tuu wa NALA. Hiyo NALA usidhani nayo nikitu Cha kawaida mkuu. Tayari ishampa tuzo ya
Frances and Arjay Miller Award in Social Innovation kwa kazi yake ya ku develop the financial services sector in Tanzania.
Hiyo utaipata hapa
Stanford GSB Recognizes Student Leaders Committed to Social Change

Haya ya NALA na mengineyo mengi ya entrepreneurship tumuachie mwenyewe Benjamin anajua Zaidi. Kwahiyo Kama ulikuwa hujui entrepreneurship ya Benjamin iko wapi kaa usubiri. Sio kusema sema vitu ambavyo huelewi.

Kumbuka pia Benjamin huyu huyu ndiye aliyefanya kazi sehemu hizi

A. Bill and merinda gates foundation
B. Brand director - Tanzania National Stadium
C. Operations manager - TING
D. National TV personality - AGAPE
Kutaja chache tui

4. BENJAMIN NA SEMINAR

Mkuu hili sikupenda kuligusia lakini ngoja Ni njooshe. Umeanza Uzi kwa kusema kuhusu seminar anazofanya Benjamin tena ukadhani kwamba Ni mgeni na macamera Hadi ukaanza kuuliza huko marekani sijui Sasa ngoja nikutoe tongo tongo kidogo
View attachment 784101
View attachment 784102
View attachment 784103
View attachment 784104
Naona hapa utakuwa umepata picha kidogo Benjamin ni Award-winning public speaker and Television Personality. Alianza kutangaza agape tangu Ana miaka 17 huko nyuma, mwaka 2012 alishakuwa presenter kwa TV ya taifa kwenye London olimpics. Usisahau pia FIFA WORLD CUP 2014 kwa TV ya taifa ndio huyu huyu Benjamin.

Kwahiyo fahamu kuwa kuongea kwake mbele za watu Ni passion na kipaji ndani yake. Usianze kupotosha umma kuwa baada ya Kutoka Stanford ndio kaanza kufanya seminar. Kama Ni seminar tu muda Sana na kashafanya nyingine tuu Kama Benjamin Ni mgeni kwako ungeuliza kwa ustaarabu mkuu sio kupalamia palamia tuu
View attachment 784105
View attachment 784106
View attachment 784107
Hizo zote seminar Tena sio bongo hapa.

Hebu fanya uende hapa LinkedIn
https://www.linkedin.com/in/benjaminf7/
Hadi kwenye recommendation utapata kuelewa kitu.
Kuhusu Benjamin ili kesho useme vizuri


Umekuja mwenyewe kujipamba mkuu
 
Back
Top Bottom