Benjamin Fernandes Ni nani?

Benjamin Fernandes Ni nani?

[emoji336][emoji336][emoji336][emoji336]
wakati umefika Sasa watanzania kutumia vitu Bora vya kitanzania. Na hatunabudi kusupport kazi za watanzania wenzetu

Je, unaijua application ya #NALAmoney

Kwa wale wote ambao tunaotumia
M-PESA, tiGO PESA, Airtel money, nk
1. Kutuma pesa
2. Kutoa pesa kwa wakala
3. Kulipia ving'aamuzi
4. Kununua luku
5. Na miamala mingine

NALA ni njia mpya rahisi, ya haraka na salama ya kufanya miamala yako kwa spidi Kali zaidi
Download hapa. http://bit.ly/2wrfZgU
http://bit.ly/2wrfZgU
http://bit.ly/2wrfZgU
Kisha anza kutumia App ya NALA

1.Huhitaji Tena kupiga
*150*01#
*150*00#
*150*60#
*150*88#
Ili kufanya miamala
2. Huhitaji internet kufanya miamala yako ni app inayofaya kazi bila internet
3. Huhitaji kukumbuka namba yako ya luku, ving'aamuzi Wala dawasco mara baada ya kufanya miamala kwamba mara ya Kwanza
4. Tumia laini zako mbili kwenye app moja
5. Tapa taarifa ya miamala yako yote iliyopangiliwa vizuri ukiwa na Nala
Na mengineyo mengi tuu
Download hapa
http://bit.ly/2wrfZgU
http://bit.ly/2wrfZgU
http://bit.ly/2wrfZgU

Usisahau kushare na rafiki yako

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mimi sioni tatizo kwake labda sisi watanzania ambao tunamuona hana msaada kwetu, unajua problem yetu wengi wetu hatufikirii nje ya box ndio maana tunamuona jamaa anazingua, labda kwa ufupi tu nikuonyeshe ni jinsi gani huyu kijana ni trillionare wa baadae kwa mfano mdogo tu, kwenye biashara yoyote ile marketing ndio msingi wa mafanikio, huyu dogo katoka kwenye family ya kitajiri,,na kwa mtazamo wa karibu tu family yake inaweza ku invest hata billion 100 kwenye biashara yoyote ile, sasa huyu kukataa milioni 400 sio uzembe, kwa short run na short view ya watu wa kawaida kibiashara huyu ataonekana kawacha bingo, lakini kwa long run hao watu wake ndio wanachokiangalia zaidi, na huyo inawezekana hakutaka mwenyewe kiacha hiyo kazi ila watu wenye upeo wa mbali ambao wanampa backup ndio waliomzuia asichukue hiyo kazi, hebu fikiria hizo semina ishirini tu alizofanya kwa muda mfupi amepata participation ya members wasiopungua 20,000, km unafikiria mbali unaweza kuona ni kwa kiasi gani hiyo kijana anavyotengeneza marketing ya ajabu sana in a few years to come, lets think out of the box.
 
Tatizo tunakuwa na akili za wachumia tumbo , dogo ana vision , na amini usiamini hiyo milioni 400 kwa mwaka ni nothing ukilinganisha na target alizonazo , na familia yake wanampa support .

Hebu fikiria ni mzazi gani unaweza kumwambia kuwa umekataa kazi ya millioni 400 kwa mwaka ?

Hebu tubadilike ajira ni utumwa saa nyingine , akili inakuwa finyu unapokuwa mganga njaa tu , weka targets zako na pambana kuzifikia .

Sasa tulia uone dogo atakavyotengeneza mabilioni ya shilingi huku mkitoa mimacho tu .

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wajasiliamali wengi hawafundish ujasiliamali ila wanao fundisha sio wajasiliamali wabongo tuna roho ngumu anajua akikufundisha siku moja utamzidi kumbuka darasan

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tatizo tunakuwa na akili za wachumia tumbo , dogo ana vision , na amini usiamini hiyo milioni 400 kwa mwaka ni nothing ukilinganisha na target alizonazo , na familia yake wanampa support .

Hebu fikiria ni mzazi gani unaweza kumwambia kuwa umekataa kazi ya millioni 400 kwa mwaka ?

Hebu tubadilike ajira ni utumwa saa nyingine , akili inakuwa finyu unapokuwa mganga njaa tu , weka targets zako na pambana kuzifikia .

Sasa tulia uone dogo atakavyotengeneza mabilioni ya shilingi huku mkitoa mimacho tu .

Sent using Jamii Forums mobile app
Mzee wa NALA anapiga pesa tu, kama ulijua mkuu.
 
Na hatuna uhakika kama ni kweli pia kuwa alikataa mshahara huo.

Alipaswa atuthibitishie kwa kuonesha job contract.
 
huyu dogo si ndo baba yake ndio mwenye stesheni ya ATN??
 
400m kwa mwaka. izo ni mil 30 na kitu, kwa nje sio nyingi kivile
Mkuu tuangalie data halafu tuongee maana tukibishana mwingine atasema yy kaishi huko kumbe fiksi tu. Yaani 400mil /365 sawa na 35mil/30 days ni ndogo kweli!
Screenshot_20181227-170026.jpg
Screenshot_20181227-170033.jpg
Screenshot_20181227-170012.jpg
Screenshot_20181227-170019.jpg
Screenshot_20181227-165954.jpg
Screenshot_20181227-170001.jpg
 
Tusidanganyane hata yeye anajua kuwa hiyo ni hela nyingi tu kwa muajiliwa wa U.S na hasa anaenza maisha na ndio maana anajitapa ingekuwa ndogo asingejitapa hapa bongo kwani watu wanaelewa cost za maisha ya u.s wengi tu! Hapo ni kusema kama anapiga fix kuacha huo mchongo ama anaongea ukweli lakini usiichezee hiyo pesa ukiwa U.S ni kubwa na hutaota kuishi maisha ya kitoto muda mfupi tu unaweza na wewe kufikiria kumiliki nyumba ya wastani kama sio mtu wa starehe.
 
Kuna seminar moja nimeattend hapa mjini nikamkuta huyu kijana kaalikwa akaongea kwa kiasi chake tena kwa confidence ikabidi nimsearch gooogle ndo nikakutana na haya..

alivooongea tu nkaona kitu kimoja Kwanini vijana wa Kitanzania tunapenda ujiko kuliko kazi, ni shida sana kwetu. Huyu jamaa aliongea kidogo nikanote hicho, Sidhani kabisa kama ni Mtanzania wa kwanza kusoma Harvard maana mtoto wa karamagi anasoma Harvard na kuna watanzania kibao hapo...Harvard, Princenton na Standford kuna mwaka nilikaribishwa na waTanzanzania wa Princeton nilivoenda kuattend seminar flani kikazi.. na ukisoma hizo shule unapewa internship kwenye kampuni za alumni ambae Gates ni Alumni... Pia ukipewa scholarship yeyote ya marekani na state lazima urudi Tanzania miaka miwili kuimplement ulichojifunza...ila maujiko ya huyu kaka sio ya dunia hiii sio kitu cha kutamba kwamba umemaliza harvard stanford...SO what? Mimi kama mtanzania nanufaika nini na hilo? wapo watu wamesoma no. 1 engineering college in the world na kazi mpaka leo hawana.
Sasa na kama Benja na entrepreneurship skills training anafanya..sasa unamtrain nani na wewe entrepreneurship bado hujaingia?
Vijana wa kitanzania mliofika mbali inabidi muwe makini sana na matendo yenu msitumie kupotosha watu au kuuza sura. Taifa linawategemea. Kama Benja yuko very smart am sure anaweza anzisha kitu kuajiri vijana na kuwamotivate au kusolve tatizo la ajira. Hampewi scholarship au hampelekwi kusoma ili mrudi kusema mlisoma, mnapelekwa mrudi mlete mambo mapya mfungue biashara msaidie jamii zinazowazunguka, leteni maendeleo jamani fungueni dunia kwa vijana wenzenu. Muwe mifano.. haitoshi kwamba mlisoma..tumieni elimu yenu... hata kwenye ajira.

Benjamin Fernandes

Benjamin Fernandes speaking at Harvard Business School
Born 25 November 1992
Residence Dar es Salaam, Tanzania
Nationality Tanzanian
Alma mater University of Northwestern - St. Paul (B.A.) Stanford Graduate School of Business (M.B.A.) John F. Kennedy School of Government (Exec.)
Occupation The Bill and Melinda Gates Foundation
Awards Africa MBA Fellowship, MBA World Summit, Top 15 Most Influential Tanzanians
Benjamin Fernandes (born 25 November 1992) is a Tanzanian award-winning speaker and national television personality. He worked at The Bill and Melinda Gates Foundation in the United States in their Digital Team and Financial Services team. He is the first[1]Tanzanian to attend Stanford Graduate School of Business as an Africa MBA Fellow [2] and the youngest African to ever be accepted to Stanford Graduate School of Business. In 2017, Fernandes became the first Tanzanian in history to attend both Stanford Graduate School of Business and Harvard John F. Kennedy School of Government for an executive education program
In 2016, Fernandes worked at the Bill and Melinda Gates Foundation in Seattle, Washington before returning to his final year of business school at Stanford Graduate School of Business.[13]
On June 17, 2017, Fernandes graduated from Stanford Graduate School of Business and decided to return home to Tanzania. A decision that stunned many Tanzanians given his potential salary offerings in the United States. Stanford Graduate School of Business has the highest post MBA Salary than any other school in the world. In the year 2016, the lower average salary offering for a graduating student in 2016 was TSH 418 Million ($179,346).[16] This decision to return home was covered all over the press in Tanzania, initially through a viral interview video by MillardAyo,[17] mentioning his potential salary offerings he could've gotten in the United States which was shared across the country, then making the front page of national newspaper, Mwananchi.[18]

From the 7 Africa MBA Fellows of the Stanford MBA Class of 2017 class, Fernandes is the only African who has decided to return home to his home country immediately full-time.

Fernandes has made a commitment to serving Tanzania with interest in financial services and supporting Tanzania’s young and youthful population.
Since returning home, within 200 days, Fernandes has held 26 seminars on entrepreneurship in 4 different regions across Tanzania, with over 22,000 people in cumulative attendance.[

Kurudi Tanzania kumewashangaza wengi?hivi unafikiri Marekani ni rahisi rahisi tu kwa kuwa eti umegraduate Stanford na Harvard,mtu akifanya internship munaita kuajiriwa kazi.Watanzania hatuishi vituko.
 
Tusidanganyane hata yeye anajua kuwa hiyo ni hela nyingi tu kwa muajiliwa wa U.S na hasa anaenza maisha na ndio maana anajitapa ingekuwa ndogo asingejitapa hapa bongo kwani watu wanaelewa cost za maisha ya u.s wengi tu! Hapo ni kusema kama anapiga fix kuacha huo mchongo ama anaongea ukweli lakini usiichezee hiyo pesa ukiwa U.S ni kubwa na hutaota kuishi maisha ya kitoto muda mfupi tu unaweza na wewe kufikiria kumiliki nyumba ya wastani kama sio mtu wa starehe.
Huyo ni muongo hata baba yake alikuja USA na akaomba achangiwe,angekuwa nazo asingepitisha bakuli.yeye kaona fursa zipo Bongo.Ukiwa mtoto wa baba/mama maisha ya ughaibuni kuishi ni tabu ndio maana wengi wanaishia kuwa mateja au hukimbilia kurudi Bongo na baba. zao kuwafanyia dili ya kuajiriwa kwenye mabenki na kampuni za simu.
 
Ni mtoto wa mtume Venon Fernandes na pastor kiongozi Anne Fernandes. Kanisa Agape Life Church na walikuwa na TV ATN na kingamuzi cha TING. Kanisa na TV viko Mbezi Jogoo ambapo waliokuwa wanaabudu huko wengi walishakimbia baada ya kugundua waliyoyagundua. Wanasema eti kwao ni Tanga. They are good business people!!!!!!
waligundua nini
 
Kwenda Harvard sio ishu tuonyeshe umefanya nini huku mtaani
 
nimechukua mastrs ya macro economy london school of economy huwezi amini head of department ni mhaya walosoma hapo watamjua jamaa yupo sooo down to earth na mm nilivorudi bongo na masters yangu nauza duka kumanina elimu
 
Back
Top Bottom