Benjamin Mkapa stadium kuwa Olympic Stadium badala ya Football stadium ni kuwadhulumu mashabiki wa soka Tanzania

Benjamin Mkapa stadium kuwa Olympic Stadium badala ya Football stadium ni kuwadhulumu mashabiki wa soka Tanzania

MwananchiOG

JF-Expert Member
Joined
Apr 4, 2023
Posts
1,970
Reaction score
4,037
images.jpg

Sikumbuki mara ya mwisho kuona mashindano yoyote makubwa ya riadha au matumizi yoyote ya zile running tracks zilizopo katika dimba la Mkapa.

Sanasana imekuwa sehemu ya viongozi kuzunguka kupungia mkono wananchi pindi wanapoapishwa.

Ukiingia uwanja wa Mkapa kutazama mechi kama haukai walau VIP A itakulazimu kutumia darubini kuweza kuwaona vyema wachezaji na movement za mpira, Hata timu pinzani zinapokuja kucheza kwa Mkapa wananufaika sana na umbali uliopo kati ya pitch na mashabiki.

Katika ulimwengu wa sasa ambapo mchezo wa soka unakuwa sana, nchi zilizoendelea katika soka hawatumii olympic stadiums, ni mara chache sana kukuta timu kubwa zikicheza katika viwanja vyenye running tracks.

Tanzania inahitaji walau uwanja mmoja mkubwa mahsusi kwa ajili ya football. Mambo ya Olympic stadiums yameshapitwa na wakati.

Ndiyo maana mashabiki wanalazimika kubeba mavuvuzela ili walau sauti za kushangilia zifike mbali kwa sababu distance ya siti zilipo mpaka pitch ilipo ni mbali.

Mashabiki hawawezi kuimba kwa hamasa na umoja kama tunavyoona mashabiki wa timu zingine za huko ulaya au nchi za North Africa kwa sababu ya umbali kati yao, hakuna umoja na ukaribu uwanjani, wanaishia kupuliza mavuvuzela. Jambo ambalo kiujumla ni faida kwa timu za upinzani zinapokuja kucheza Tanzania.
bubu.jpg
 
Uwanja ni wa Taifa.....
Si wa TFF wala Taifa stars, wala wa Team yoyote ya mpira.
Taifa lina michezo mingi si soka pekee.
Ni ubinafsi kudhani soka ndio mchezo pekee
Umesema vyema sana. Taifa lina michezo mingi sana sio mpira tu.

Hao wenye hizo team zao wajenge viwanja vyao mahususi kwa mpira tu mashabiki wakae golini kabisa.
 
Uwanja ni wa Taifa.....
Si wa TFF wala Taifa stars, wala wa Team yoyote ya mpira.
Taifa lina michezo mingi si soka pekee.
Ni ubinafsi kudhani soka ndio mchezo pekee
Uwanja wa Taifa wa Football
Ni wa TFF
Ni uwanja wa nyumbani wa Taifa stars
Kuna ubaya tukiwa na uwanja wa aina hiyo kama ilivyo Wembley?

Hiyo michezo mingine ikiwa na viwanja vyao pia sio mbaya. By the way, mchezo gani mwingine mkubwa na wa maana unaoweza kufanyika kwa Mkapa ukiacha riadha ambayo tangu uwanja ujengwe hakuna major event iliyowahi kuujaza uwanja?
 
Umesema vyema sana. Taifa lina michezo mingi sana sio mpira tu.

Hao wenye hizo team zao wajenge viwanja vyao mahususi kwa mpira tu mashabiki wakae golini kabisa.
Mchezo gani mwingine umewahi kufanyika pale tofauti na football? hata hiyo riadha lini imewahi kujaza hata nusu ya uwanja?
 
Uwanja wa Taifa wa Football
Ni wa TFF
Ni uwanja wa nyumbani wa Taifa stars
Kuna ubaya tukiwa na uwanja wa aina hiyo kama ilivyo Wembley?

Hiyo michezo mingine ikiwa na viwanja vyao pia sio mbaya. By the way, mchezo gani mwingine mkubwa na wa maana unaoweza kufanyika kwa Mkapa ukiacha riadha ambayo tangu uwanja ujengwe hakuna major event iliyowahi kuujaza uwanja?
Uwanja ule ni wa Taifa ni mali Ya Watanzania wote.
Ndio maana unaona mpaka kina Mwamposa wanautumia, mpaka watu wa Quran pia.
Si uwanja wa TFF.
Hii ni nchi masikini hatuna uwezo wa kuwa na Viwanja special vya kila mchezo.
 
View attachment 3166465
Sikumbuki mara ya mwisho kuona mashindano yoyote makubwa ya riadha au matumizi yoyote ya zile running tracks zilizopo katika dimba la Mkapa. Sanasana imekuwa sehemu ya viongozi kuzunguka kupungia mkono wananchi pindi wanapoapishwa. Ukiingia uwanja wa Mkapa kutazama mechi kama haukai walau VIP A itakulazimu kutumia darubini kuweza kuwaona vyema wachezaji na movement za mpira, Hata timu pinzani zinapokuja kucheza kwa Mkapa wananufaika sana na umbali uliopo kati ya pitch na mashabiki.

Katika ulimwengu wa sasa ambapo mchezo wa soka unakuwa sana, nchi zilizoendelea katika soka hawatumii olympic stadiums, ni mara chache sana kukuta timu kubwa zikicheza katika viwanja vyenye running tracks.
Tanzania inahitaji walau uwanja mmoja mkubwa mahsusi kwa ajili ya football. Mambo ya Olympic stadiums yameshapitwa na wakati. Ndiyo maana mashabiki wanalazimika kubeba mavuvuzela ili walau sauti za kushangilia zifike mbali kwa sababu distance ya siti zilipo mpaka pitch ilipo ni mbali. Mashabiki hawawezi kuimba kwa hamasa na umoja kama tunavyoona mashabiki wa timu zingine za huko ulaya au nchi za North Africa kwa sababu ya umbali kati yao, hakuna umoja na ukaribu uwanjani, wanaishia kupuliza mavuvuzela. Jambo ambalo kiujumla ni faida kwa timu za upinzani zinapokuja kucheza Tanzania.
View attachment 3166474
Ngoja nimalizie soda yangu ntarudi...
 
Uwanja wa Taifa wa Football
Ni wa TFF
Ni uwanja wa nyumbani wa Taifa stars
Kuna ubaya tukiwa na uwanja wa aina hiyo kama ilivyo Wembley?

Hiyo michezo mingine ikiwa na viwanja vyao pia sio mbaya. By the way, mchezo gani mwingine mkubwa na wa maana unaoweza kufanyika kwa Mkapa ukiacha riadha ambayo tangu uwanja ujengwe hakuna major event iliyowahi kuujaza uwanja?

Acha udwanzi, uwanja sio wa TFF, waambie TFF wajenge wa kwao kwa hela za fifa unavotaka wewe
 
View attachment 3166465
Sikumbuki mara ya mwisho kuona mashindano yoyote makubwa ya riadha au matumizi yoyote ya zile running tracks zilizopo katika dimba la Mkapa. Sanasana imekuwa sehemu ya viongozi kuzunguka kupungia mkono wananchi pindi wanapoapishwa. Ukiingia uwanja wa Mkapa kutazama mechi kama haukai walau VIP A itakulazimu kutumia darubini kuweza kuwaona vyema wachezaji na movement za mpira, Hata timu pinzani zinapokuja kucheza kwa Mkapa wananufaika sana na umbali uliopo kati ya pitch na mashabiki.

Katika ulimwengu wa sasa ambapo mchezo wa soka unakuwa sana, nchi zilizoendelea katika soka hawatumii olympic stadiums, ni mara chache sana kukuta timu kubwa zikicheza katika viwanja vyenye running tracks.
Tanzania inahitaji walau uwanja mmoja mkubwa mahsusi kwa ajili ya football. Mambo ya Olympic stadiums yameshapitwa na wakati. Ndiyo maana mashabiki wanalazimika kubeba mavuvuzela ili walau sauti za kushangilia zifike mbali kwa sababu distance ya siti zilipo mpaka pitch ilipo ni mbali. Mashabiki hawawezi kuimba kwa hamasa na umoja kama tunavyoona mashabiki wa timu zingine za huko ulaya au nchi za North Africa kwa sababu ya umbali kati yao, hakuna umoja na ukaribu uwanjani, wanaishia kupuliza mavuvuzela. Jambo ambalo kiujumla ni faida kwa timu za upinzani zinapokuja kucheza Tanzania.
View attachment 3166474
Baada ya afcon2027 TZ itakua na viwanja bora zaidi ingawa nashindwa elewa kwanini viwanja vya CCM Kirumba,Tabora Ali Hassan Mwinyi,Sokoine,Songea,sheikh Amri Abeid hawatunzi playing pitch iwe km B.Mkapa,sikwamba viwanja hakuna ila havitunzwi ktk standard inayotakiwa ndio changamoto iliopo tu
 
View attachment 3166465
Sikumbuki mara ya mwisho kuona mashindano yoyote makubwa ya riadha au matumizi yoyote ya zile running tracks zilizopo katika dimba la Mkapa. Sanasana imekuwa sehemu ya viongozi kuzunguka kupungia mkono wananchi pindi wanapoapishwa. Ukiingia uwanja wa Mkapa kutazama mechi kama haukai walau VIP A itakulazimu kutumia darubini kuweza kuwaona vyema wachezaji na movement za mpira, Hata timu pinzani zinapokuja kucheza kwa Mkapa wananufaika sana na umbali uliopo kati ya pitch na mashabiki.

Katika ulimwengu wa sasa ambapo mchezo wa soka unakuwa sana, nchi zilizoendelea katika soka hawatumii olympic stadiums, ni mara chache sana kukuta timu kubwa zikicheza katika viwanja vyenye running tracks.
Tanzania inahitaji walau uwanja mmoja mkubwa mahsusi kwa ajili ya football. Mambo ya Olympic stadiums yameshapitwa na wakati. Ndiyo maana mashabiki wanalazimika kubeba mavuvuzela ili walau sauti za kushangilia zifike mbali kwa sababu distance ya siti zilipo mpaka pitch ilipo ni mbali. Mashabiki hawawezi kuimba kwa hamasa na umoja kama tunavyoona mashabiki wa timu zingine za huko ulaya au nchi za North Africa kwa sababu ya umbali kati yao, hakuna umoja na ukaribu uwanjani, wanaishia kupuliza mavuvuzela. Jambo ambalo kiujumla ni faida kwa timu za upinzani zinapokuja kucheza Tanzania.
View attachment 3166474
Mimi nashauri huo uwanja uendelee tu kubaki. Ila kama ningekuwa rais wa TFF ningeweka kanuni za kuhakikisha kila timu ya Ligi kuu (zikiwemo simba na Yanga) iwe na kiwanja chake kama ilivyo kwa Azam, KMC, nk.

Na natambua katika hili wale waporaji wa viwanja vyetu (ccm) watanuna na kunifanyia figisu za kuhakikisha naondolewa kwenye hicho cheo changu! Bado nitahakikisha napambana nao.
 
Mimi nashauri huo uwanja uendelee tu kubaki. Ila kama ningekuwa rais wa TFF ningeweka kanuni za kuhakikisha kila timu ya Ligi kuu (zikiwemo simba na Yanga) iwe na kiwanja chake kama ilivyo kwa Azam, KMC, nk.

Na natambua katika hili wale waporaji wa viwanja vyetu (ccm) watanuna na kunifanyia figisu za kuhakikisha naondolewa kwenye hicho cheo changu! Bado nitahakikisha napambana nao.
Kweli hizi timu ngumu kujenga uwanja maana Ccm ni shida,au ukiwa rahisi wa TFF unajenga uwanja wa TFF unakuwa unazikodisha Simba naYanga
 
Mimi nashauri huo uwanja uendelee tu kubaki. Ila kama ningekuwa rais wa TFF ningeweka kanuni za kuhakikisha kila timu ya Ligi kuu (zikiwemo simba na Yanga) iwe na kiwanja chake kama ilivyo kwa Azam, KMC, nk.

Na natambua katika hili wale waporaji wa viwanja vyetu (ccm) watanuna na kunifanyia figisu za kuhakikisha naondolewa kwenye hicho cheo changu! Bado nitahakikisha napambana nao.
Mungu akubariki safi sana
 
Huo ni uwanja wa michezo na si wa kandanda tu,tuliambiwa hivyo tangu ilijengwa,ndiyo maana nje pana viwanja vya kikapu na pete
Mchezo gani wa riadha umewahi kujaza hata robo ya uwanja? kama hakuna, zile running tracks ni za kazi gani? cricket? volleyball? mchezo gani umewahi kujaza uwanja hapo?
 
Back
Top Bottom