MwananchiOG
JF-Expert Member
- Apr 4, 2023
- 1,970
- 4,037
- Thread starter
- #41
Mjinga ni wewe unayejibu kwa mihemko badala ya kujibu kwa hojaWe mnmjinga kasome hata Wembly hautumiki kwa mpira wa miguu pekee, sijui kama mnazo akili
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mjinga ni wewe unayejibu kwa mihemko badala ya kujibu kwa hojaWe mnmjinga kasome hata Wembly hautumiki kwa mpira wa miguu pekee, sijui kama mnazo akili
Kwa hiyo kama wakenya wanatengeneza pesa kupitia riadha, kuacha running tracks bila matumizi ndiyo solution? Inaonekana lishe duni, elimu au maradhi imekuwa changamoto iliyoathiri moja kwa moja uwezo wako wa kufikiri.Unajua wanariadha wa Kenya wana make kaisi gani kwa mwaka kupitia riadha? Hii nchi imejaaa majinga majibga tupu, akili huna ila una force uonekane unazo.
UMITASHUTA ichezwe national Stadium!Haya tuambie huo mchezo wowote wa riadha uliofanyika hapo na kuhusisha hata mashabiki 10, hata UMITASHUMTA sidhani kama wanatumia huo uwanja
Kwa kifupi hakuna riadha yoyote ya maana imefanyika hapoUMITASHUTA ichezwe national Stadium!
Ila Jf ina watu kweli kweli
Uko sahihi.Kwa kifupi hakuna riadha yoyote ya maana imefanyika hapo