Benjamin Netanyahu akataa maridhiano ya kusitisha vita Lebanon

Waw! Zimetoka hadharani sio? Tutarajie nini mkuu ilhali wakubwa wote wa Hezbollah 95% wameshalambwa vichwa? Hezbollah is almost crippled if not incapacitated and debilitated to a high degree.
Mzushi huyo .
Acha magaidi waendelee kuliwa vichwa
 
Kwa hiyo unataka kusema mazayuni hawasaidiwi na mabwana zao wa US, UK, na NATO nzima?

Jikoni ndiko palikulea wewe. Cha kushangaza sijui lilikua ni jiko la kujipikia mwenyewe au kupikiwa na baba'ko?
 
Waw! Zimetoka hadharani sio? Tutarajie nini mkuu ilhali wakubwa wote wa Hezbollah 95% wameshalambwa vichwa? Hezbollah is almost crippled if not incapacitated and debilitated to a high degree.
Kuusikiliza uongi wa mazqyuni ni kitu kimoja na kuuelewa kuwa huu ni uongo ni kitu kingine.

Labda u mtoto sana wa kuelewa mambo au huelewi maana ya neno propaganda.
 
Mkuu we jamaa ni mbishani aisee😂😂😂😂😂😂😂😂.
Kwahiyo kushinikizwa hutaji kusikia au siyo!?😂😂😂😂
Wawe wameshinikizwa ama laa hiyo wee hujui!??
Doooh
 
Kws hiyo unatsjankusema mazayuni hawasqidiqi na US, UK, na NATO nzima?

Jikoni ndiko palikukea wewe. Cha kyshangaza sijui lilikua ni jiko la kujipikia mwenyewe au kupikiwa na baba'ko?
Hakuna hoja atakupa huyo.
 
Unajua Netanyahu ameanza kuandamwa toka lini!?
Hivi unajua kuna kipindi ali step down akakaa Yair Lapid kama kiongozi wa mpito kupisha uchunguzi wa tuhuma za matumizi mabaya ya madaraka na rushwa!??
Raia wengi kiasi cha kufunga mitaa huwezi ukasema kikundi cha watu wachache.
Wanaoandamana ni raia zaidi ya 60% dhidi ya Netanyahu.
Unakumbuka mwaka huu mwanzoni bunge lilivunjika kati kwa kati wakipishana kuhusu vita ya Gaza!??
Wanaomuunga Netanyahu wakisema vita iendelee na wanaompinga wakisema vita inawagharimu.
Huyo huyo Netanyahu amshukuru Yair Lapid kuwaunganisha tena kwa kuwasisitiza kuwa kiongozi wa sasa ni Netanyahu na tusigawanyike kwasababu tupo kwenye vita.
 
Kwa vita ya aridhini yahudi anaenda kupigika
Vita ya Ardhini bila ya Air Support?Hezbola Airforce ilishateketezwa.

Hata huyo Ayatolah mwenyewe Airforce yake bado ni Primitive sana.
 
Mazayuni ni waongo wa ajabu.

Mabwana zao USA, Uingereza na Ufaransa ndiyo waliotaka ceasefire.

Nasrallah kawagomea, kawaambia sababu yetu inajulikana, nayo ni mazayuni waache kuua wanawake na watoto Ghaza.
Hezbollah wakae kambini waache kuwafanya wanawake na watoto ngao
 
Lebanon wamejitakia wenyewe. Wanakubali kutumika na Iran sasa watulie. Japo hatupendi vita.
 
Vita ya Ardhini bila ya Air Support?Hezbola Airforce ilishateketezwa.

Hata huyo Ayatolah mwenyewe Airforce yake bado ni Primitive sana.
Hivi hizbullah ana air force,au drone zinahesabika ni air force?
 
Ana weweseka marekani kamuumbua kumbe pendekezo la kusitisha mapigano kwa siku 21 Kali toa mwenyewe baadae anafika marekani ana geuka wamarekani wamechukia sana. Hezbollah haijawahi kuomba vita isimamishwe hata siku Moja.
 
Inafahamika mkuu Hamas ndio walianza kuingia.
Ila usisahau Israel 23 Agosti ndiye aliyeanza ukorofi kwa kuvamia Khani Younis.
Alichofanya Hamas Oktoba 7 ni retaliation.
UISLAM na uongo ni mapacha , Israel walipovamia waliua watu wangap ? Kwann hawakuwakabili huko huko Kan Yunisi ?
 
Yemen , Gaza , Lebanon , Qatar , Iran na Mnataka Israel apigane pekee yake
Qatar kafanyaje?.. unaandika tu, israel si ndiyo babe la ujasusi duniani,mgunduzi wa silaha hatari,jeshi imara kuliko yote,ilipiga waarabu wote,kumbe bila msaada hola
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…