- Thread starter
- #81
Netanyahu ndio jeuri sio Israel.Myahudi ni jeuri sana asee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Netanyahu ndio jeuri sio Israel.Myahudi ni jeuri sana asee
Yes exactly. Na kwa sasa Israeli AMEAPA hataki ceasefire, cjui negotiations, cjui nini wala nn; kazi ni moja tuu; kuifuta Hezbollah jumla. Kipimo ni pale wananchi raia wa Israel waliohamishwa watakapoweza tena kurudi majumbani mwao kwa amani. Tofauti na hapo, kipondo kikali na cha nguvu kitaendelea.Kwa Hali ilivyo ni wazi Lebanon inaongozwa na Hizbullah huyo Wazir mkuu na serikali yake hawana nguvu mbele ya hao jamaa na siku sio nyingi Hizbullah itajitwika mazima Lebanon labda Israel afanye jambo.
Hizo haziombi. Zote zipo nfukunoni mwake na hawana la kufanya zaidi ya kukubali kumpa chochote anachotaka. Jionee:Halafu baada ya hapo ataiomba USA, UK, Germany Jordan, Saudi Arabia n.k zimlinde.
Ni nchi gani duniani haina upinzani wa raia kwa serikali yao?Israel ina hali mbaya ila Netanyahu wants to save his face.
Aisee mngekua mnatizama raia wanavyomlaumu Netanyahu na wanavyofikia hatua hadi ya kuandamana msingeongea haya.
Hizo haziombi. Zote zipo nfukunoni mwake na hawana la kufanya zaidi ya kukubali kumpa chochote anachotaka. Jionee:Halafu baada ya hapo ataiomba USA, UK, Germany Jordan, Saudi Arabia n.k zimlinde.
Hao wakristo anaowasema ni wale waliojiunga na sunni, na wao hupambana na Zionist sio wayahudi wote.Suala la wakristo kujiunga ndani ya Hizbollah 2006 dhidi ya Israeli halina shida-vita ni vita haina dini japokuwa Islam wanapigana kwa ahadi ya mabikra 72 na mito ya pombe.
Mkuu, siasa, SIASA ni mchezo mchafu. Kiongozi wa nchi kulaumiwa ni kawaida sana. Mbona juzi hapa Tz; Mh. Raisi wetu alilaumiwa sana na kusutwa mno hadi kwenye mitandao na hadi watu kutaka kuandamana? Hiyo ni Order of the day kwa kiongozi yeyote - hata nyumbani kwako ulimlaumu sana baba yako aliyekuzaa. Usishangae broo..Israel ina hali mbaya ila Netanyahu wants to save his face.
Aisee mngekua mnatizama raia wanavyomlaumu Netanyahu na wanavyofikia hatua hadi ya kuandamana msingeongea haya.
Nimejifunza kitu, ukiwa muislamu siku zako za furaha duniani zinakuwa chache sana, ndio maana wana imani na mito ya pombe na bikira 72 after death.Mazayuni ni waongo wa ajabu.
Mabwana zao USA, Uingereza na Ufaransa ndiyo waliotaka ceasefire.
Nasrallah kawagomea, kawaambia sababu yetu inajulikana, nayo ni mazayuni waache kuua wanawake na watoto Ghaza.
Hapana. Netanyahu ni Waziri mkuu wa Israeli. Ndiye msemaji/Mtendaji mkuu wa Taifa la Israeli. Anaiwakilisha nchi ya Israeli. Kwa hiyo itakuwa sahihi zaidi tukisema Israeli ndio jeuri kwani Neta hajisemei ya kwake yeye kama yeye mtu binafsi. Inaongea Israeli, inatenda Israeli na Itawajibika Israeli kama nchi sio kama Netanyahu.Netanyahu ndio jeuri sio Israel.
Mkuu acha zako umenifanya supu ya kuku inipalie😂😂😂🙌🙌.Ni nchi gani duniani haina upinzani wa raia kwa serikali yao?
Yawezekana hatuoni kwa vile tulisikia serikali imezua media house zisitoe taaria, ila wewe mwenzetu unaishi ndani ya Israeli kabisa ndio maana unajionea tusiyoyaona sisi.
Ni sahihi kusema kuwa Netanyahu jeuri badala ya Israel, kwasababu mara nyingi amekua akiyashinikiza matakwa yake binafsi yanayopingana na viongozi wenzake.Hapana. Netanyahu ni Waziri mkuu wa Israeli. Ndiye msemaji/Mtendaji mkuu wa Taifa la Israeli. Anaiwakilisha nchi ya Israeli. Kwa hiyo itakuwa sahihi zaidi tukisema Israeli ndio jeuri kwani Neta hajisemei ya kwake yeye kama yeye mtu binafsi. Inaongea Israeli, inatenda Israeli na Itawajibika Israeli kama nchi sio kama Netanyahu.
Hatukuja kucheka hapa duniani muujiza wa kwanza wa Yesu alibadili maji kuwa pombe Yesu alikua hacheki na hakua na mzaha kama nyinyi mnaojiita wakristo na nyinyi hamfanani nae hata kidogo kwa tabia zenu.Nimejifunza kitu, ukiwa muislamu siku zako za furaha duniani zinakuwa chache sana, ndio maana wana imani na mito ya pombe na bikira 72 after death.
Akili umepeleka wapi!?Nimejifunza kitu, ukiwa muislamu siku zako za furaha duniani zinakuwa chache sana, ndio maana wana imani na mito ya pombe na bikira 72 after death.
Wale hezbollah waliokatwa genitals na zile pagers wao watafaidika na nini after death ?Nimejifunza kitu, ukiwa muislamu siku zako za furaha duniani zinakuwa chache sana, ndio maana wana imani na mito ya pombe na bikira 72 after death.
Mkuu sio mpk uambiwe na bbc au marekani akuambie tumia akili yakoBBC ipi unaiongelea wewe?
BBC kila nikiifuatilia Hammas wanaitaja kama kikundi cha kigaidi
Hii inathibitisha hata wewe huna furaha.Akili umepeleka wapi!?
Ni umeamka na hangover ya chang'aa ama double kick!?
Wewe na Said Salim Bakhresa nani ana furaha!?
Wewe na raia wa Dubai nani ana furaha?
Wewe na raia wa Brunei nani ana furaha!??
Netanyahu namkubali sana yule mwamba, anajua kula sahani Moja na magaidi, Israel ndio italeta amani apo mashariki ya kati.
Watashangaa watakapofika huko wakute "ziiiiiiiii" Kuna ukame mkubwa ulipita, Mito ya pombe imekauka kwa kiangazi, mabikra hakuna kwani kule hakunaga kuoa wala kuolewa (kwa sababu miili yenye hizo "organs" zinazowezesha kuoa au kuolewa hubaki hapa duniani-makaburini kuoza)wote ni roho tupu kwa hiyo watasubiri hukumu sio mabikra 72.Nimejifunza kitu, ukiwa muislamu siku zako za furaha duniani zinakuwa chache sana, ndio maana wana imani na mito ya pombe na bikira 72 after death.
😂😂😂🙌🙌🙌🙌Unajua kwanini nimemtolea mfano wa hao wa mbali!?Hii inathibitisha hata wewe huna furaha.
Ndio maana umetaja wengine tena wa mbali na wewe.