Paschal qamara
JF-Expert Member
- Aug 17, 2022
- 2,218
- 3,958
Wewe umepatia wapi taarifa hizi na chanzo kipi ?Mazayuni ni waongo wa ajabu.
Mabwana zao USA, Uingereza na Ufaransa ndiyo waliotaka ceasefire.
Nasrallah kawagomea, kawaambia sababu yetu inajulikana, nayo ni mazayuni waache kuua wanawake na watoto Ghaza.