Benjamin Netanyahu akataa maridhiano ya kusitisha vita Lebanon

Benjamin Netanyahu akataa maridhiano ya kusitisha vita Lebanon

Unajua tofauti ya mifano hai na mfu?!..huu wako mfano mfu
Mfu kivipi?

Wale wanaohukumiwa mahakamani vifungo au kutozwa faini wakitokea magerezani wakafanikiwa kulipa hizo faini on the spot hela wanakuwa wametoa wapi?kama siyo hisani ya ndugu gerezani kuna kulipwa mshahara useme alikuwa na hela zake mfukoni?
 
Hao hamas wameshindikana kivipi wakati mpk muda huu wanaishi kwenye vichuguu? Jipe muda kidogo utasikia milio na huko Lebanon
Hamas wameshindikana.
Kwasababu Hamas bado ina authority Gaza kila kitu bado wana operate wao pale Gaza.
 
Wewe Bibi kizee Ebu Acha Uwongo Wako na Udini Wako huwo Usiokuwa na Maana
Hajadanganya yuko sahihi.
Hapo kuna ukinzani,waziri wa mambo ya nje wa Lebanon alikubali ceasefire iliyopendekezwa na USA juzi na waziri wa mambo ya nje wa Israel aliikubali.
Ila Hizbollah kakataa ceasefire na Netanyahu kakataa ceasefire.
Inamaana hapo kuna conflicts of interests.
 
Netanyahu namkubali sana yule mwamba, anajua kula sahani Moja na magaidi, Israel ndio italeta amani apo mashariki ya kati.
Huo ndo ukweli. Hapo mashariki ya kati kama hao vichwa-maji wataachwa kuendelea kuwepo hapo, hakutakaa kamwe kuwepo na amani. Hao Kobaz wakiona wanamiliki bunduki na makombora wanadhani Ulimwengu wote uko chini yao. Wasipoona mtu anayewachokoza basi huamua kuanzisha chokochoko na kutishia kutumia silaha wanazomiliki. Ila safari hii hakika wameyatimba. Hakuna rangi wataacha kuona.
 
Huo ndo ukweli. Hapo mashariki ya kati kama hao vichwa-maji wataachwa kuendelea kuwepo hapo, hakutakaa kamwe kuwepo na amani. Hao Kobaz wakiona wanamiliki bunduki na makombora wanadhani Ulimwengu wote uko chini yao. Wasipoona mtu anayewachokoza basi huamua kuanzisha chokochoko na kutishia kutumia silaha wanazomiliki. Ila safari hii hakika wameyatimba. Hakuna rangi wataacha kuona.
Machafuko yote hapo mashariki ya kati yalikuja baada ya ujio wa Westerners na kuundwa kwa Israel zionism regime.
Sema ninyi wafinyu wa historia.
 
Mazayuni ni waongo wa ajabu.

Mabwana zao USA, Uingereza na Ufaransa ndiyo waliotaka ceasefire.

Nasrallah kawagomea, kawaambia sababu yetu inajulikana, nayo ni mazayuni waache kuua wanawake na watoto Ghaza.
Unazo picha za Rafah
 
Usiite watu wanaopigania ardhi zao magaidi.
Gaidi ni USA na Israel wanaoendekeza agenda zao za machafuko hapo Middle east.
Dunia inaitambua Hizbollah kama political organisation sio terror group.
Wewe ni nani mbaka uwaite magaidi!??
Dunia ipi hiyo inayoitambua Hezbollah kama political organization? Hezbollah, Hamas, houthi hao ni wasumbufu tu hapo mashariki ya kati
 
Yupo sahihi. Hakuna maridhiano. Mlipoanzisha uchokozi na kuua wa israel hamkutaka maridhiano hali imekua mbaya mnataka kuridhiana na nani. Piga piga hao wawahishwe kupata bikra 72
Hakuna cha maana uliwahi kuongea wewe.
 
Dunia ipi hiyo inayoitambua Hezbollah kama political organization? Hezbollah, Hamas, houthi hao ni wasumbufu tu hapo mashariki ya kati
Mkuu kama hauna uhakika wa taarifa NYAMAZA.
Mwaka jana USA iliitaka dunia nzima iitambue Hamas na Hizbollah kama terror organization ila dunia ilikataa.
Tena ilikua katika vikao vya UN.
Hadi BBC walilazimishwa kuitangaza Hamas kuwa ni kundi la kigaidi ila waligoma
Embu muwe mnafuatilia mambo aisee.
 
Mkuu kama hauna uhakika wa taarifa NYAMAZA.
Mwaka jana USA iliitaka dunia nzima iitambue Hamas na Hizbollah kama terror organization ila dunia ilikataa.
Tena ilikua katika vikao vya UN.
Hadi BBC walilazimishwa kuitangaza Hamas kuwa ni kundi la kigaidi ila waligoma
Embu muwe mnafuatilia mambo aisee.
BBC ipi unaiongelea wewe?

BBC kila nikiifuatilia Hammas wanaitaja kama kikundi cha kigaidi
 
Huwa wanaokota vihabari na kujiandikia wakati mwingine hata wanachokiandika hawakielewi
Kabisa, US kutaka suruhu haimaanishi Israel ana hali mbaya.
Anajaribu kurudisha imani kwa wengine na kulinda masoko yake.
 
Mkuu kama hauna uhakika wa taarifa NYAMAZA.
Mwaka jana USA iliitaka dunia nzima iitambue Hamas na Hizbollah kama terror organization ila dunia ilikataa.
Tena ilikua katika vikao vya UN.
Hadi BBC walilazimishwa kuitangaza Hamas kuwa ni kundi la kigaidi ila waligoma
Embu muwe mnafuatilia mambo aisee.
Marekani ndio dunia yenyewe au unaongelea dunia ipi? Ndio nchi yenye ushawishi zaidi duniani, anauwezo wa kuiwekea nchi yoyote vikwazo, marekani ikishatambua kundi kuwa la kigaidi inatosha haijalishi sijui Russia au Iran itapinga, Lebanon ni nchi ina jeshi lake hakuwezi kuwa na majeshi mawili ndani ya nchi moja ni magaidi hayo usiyafiche mkuu, habari sijui za BBC kulazimishwa ni uongo mtupu.
 
Usiite watu wanaopigania ardhi zao magaidi.
Gaidi ni USA na Israel wanaoendekeza agenda zao za machafuko hapo Middle east.
Dunia inaitambua Hizbollah kama political organisation sio terror group.
Wewe ni nani mbaka uwaite magaidi!??
Aaaah mzee Mkubwa; Wewe hujiulizi katika hali ya kawaida inakuwaje
"Hezbollah is a Lebanese Shia Islamist political party and paramilitary group, led since 1992 by its Secretary-General Hassan Nasrallah." i.e. hiki ni Kikundi ndani ya nchi, halafu sasa kinajipa madaraka makubwa ya kuanzisha vita au kuiingiza nchi nzima kwenye machafuko makubwa kiasi hicho? Yan kwa maneno mepesi ni kwamba kundi la Hezbollah "limeiteka Lebanon" na linafanya kama linavyoona inafaa kufanya. Kwani Lebanese Armed Forces wako wapi?
Je, kuna makubaliano baina ya Hezbollah na LAF?
 
Back
Top Bottom