Benjamin Netanyahu anakaribia kutangazwa mshindi wa Uchaguzi Mkuu Israel

Benjamin Netanyahu anakaribia kutangazwa mshindi wa Uchaguzi Mkuu Israel

Nature

JF-Expert Member
Joined
Nov 5, 2014
Posts
830
Reaction score
2,241
Waziri Mkuu wa zamani wa ISRAEL, Benjamin Netanyahu anaongoza kwa asilimia 62% ya idadi ya kura zilizohesabiwa mpaka sasa.

Pia tayari chama chake cha mrengo wa kulia cha Likud kimeshinda idadi ya Viti 69 kati ya 120 katika bunge la nchi hiyo Knesset na hivyo kujihakikishia kuunda serikali.

Kwa kawaida nchini Israel inahitajika upate angalau viti 61 au zaidi ili uweze kuunda serikali.

Tayari Bw Netanyahu amekwisha zungumza na wafuasi wake na kuahidi kuunda Serikali itakayoirejesha tena heshima ya Israel.

Uchaguzi huu Utaondoa mkwamo kisiasa wa karibu miaka minne nchini Israel

Screenshot_2022-11-02-11-58-01-67.jpg
Screenshot_2022-11-02-11-58-11-64.jpg
 
Hana tofauti na JPM mzalendo wa kweli
Kuwahi Kutokea katika Taifa letu

Waisraeli walitest mitambo wakamtoa wameonja Joto la jiwe

Wakasarenda wenyewe wakaona hakuna namna acha tumrudishe Mzalendo wa kweli aseee

Walestina watahama Jerusalemu Nawaambia siku si nyingi
Jiwe alikua kilaza mmoja na dikteta huku netanyau Hana sifa hata moja ya ujinga na udikteta
 
Kwani si mwaka jana tu walifanya uchaguzi, au?

Mnataka kuniambia miaka minne imepita tangu huyu benet aingie madarakani? Si kweli kabisa.
 
Back
Top Bottom