Kivipi kwani hakuwepo DunianiJamaa kafanyiwa cloning?[emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kivipi kwani hakuwepo DunianiJamaa kafanyiwa cloning?[emoji23]
Benett aliunda serikali kutokana na Muungano wa Vyama sasa Muungano huo umevunjika kabla ya miaka minne kwa Hyo Ni lazima uchaguzi mpya ufanyike ili Kuunda upya serikali...Kwani si mwaka jana tu walifanya uchaguzi, au?!!!!
Mnataka kuniambia miaka minne imepita tangu huyu benet aingie madarakani?!!!!!!! Si kwel8 kabisa
washwaaa na Asali unayolamba ,umelamba hadi inakureketa kukuletea muharoooJiwe alikua kilaza mmoja na dikteta huku netanyau Hana sifa hata moja ya ujinga na udikteta
Kwani si mwaka jana tu walifanya uchaguzi, au?!!!!
Mnataka kuniambia miaka minne imepita tangu huyu benet aingie madarakani?!!!!!!! Si kwel8 kabisa
Kipindi cha Netanyahu Iran haikupumuaNaftali ni mbabe na mkorofi kuliko Netanyahu ukimfuatilia sema tu Waarabu hawajaleta chokochoko akiwa madarakani na bado hakuungwa mkono sana kwenye uchaguzi mkali. Walirudia uchaguzi kama mara tatu hivi mshindi anakosa mpaka muungano wa vyama ambapo Naftali alikuwa awe Waziri Mkuu kwa nusu ya muhula na unaofuata Waziri Mkuu awe mwingine ambaye sasa ni wa Ulinzi. Hii serikali ilionekana ni ngumu kudumu ila walichoka chaguzi. Bibi mwenyewe kesi yake ya rushwa iliyokuwa inamuandamana haijafika popote kwahiyo ni msafi fulani hivi.
Headlines za Israel zitarudi
Afrika wakifanya hivyo wanaitwa madiktetaJamaa anarudi tena duh? Huwa anaenda kupumzika afu anarudi tena
Mid term itatoa muongozo kama Trump atarudi au hapanaDuh na 2024 upande ule Trump arudi. Itakuwa balaa. Maana hii pair ni balaa.
HazeekiKivipi kwani hakuwepo Duniani
Katengenezewa copyKivipi?
Jiwe alikua dikteta na shetan unaona Israel uchaguzi ni wa huru na haki mawakala wa vyama vya upinzani hawajazuiliwa kuingia vituoni jiwe alikua shetaniwashwaaa na Asali unayolamba ,umelamba hadi inakureketa kukuletea muharooo
Sio kweli mwaka 2010 Obama alipoteza midterm elections kwa kupoteza bunge la wawakilishi lakin alishinda uchaguzi wa mwaka 2012Mid term itatoa muongozo kama Trump atarudi au hapana
huko hakuna issue ya PhD nyingi ni uzalendo kwa taifa lako dhidi ya aduiKatiba yao, haiwaruhusu kustaafu?
Wengi hawajui ,Naftali ni kichwa kibovu sana.Naftali ni mbabe na mkorofi kuliko Netanyahu ukimfuatilia sema tu Waarabu hawajaleta chokochoko akiwa madarakani na bado hakuungwa mkono sana kwenye uchaguzi mkali. Walirudia uchaguzi kama mara tatu hivi mshindi anakosa mpaka muungano wa vyama ambapo Naftali alikuwa awe Waziri Mkuu kwa nusu ya muhula na unaofuata Waziri Mkuu awe mwingine ambaye sasa ni wa Ulinzi. Hii serikali ilionekana ni ngumu kudumu ila walichoka chaguzi. Bibi mwenyewe kesi yake ya rushwa iliyokuwa inamuandamana haijafika popote kwahiyo ni msafi fulani hivi.
Headlines za Israel zitarudi
Mwamba wa mashariki ya katiJamaa anarudi tena duh? Huwa anaenda kupumzika afu anarudi tena
IQ = 180Jamaa anarudi tena duh? Huwa anaenda kupumzika afu anarudi tena
Kwa hiyo ukimuona tu kyupi kinalowa mkuu?Huyu mbaba huwaga mzuri