Benjamin Netanyahu anakaribia kutangazwa mshindi wa Uchaguzi Mkuu Israel

Benjamin Netanyahu anakaribia kutangazwa mshindi wa Uchaguzi Mkuu Israel

Y
Kifupi Joshua ndie alisababisha hiyo shida yote

Mungu aliagiza amalize adui zake wote wa Israel yeye akapiga wote akabakiza watu wa Ashidod na Gathi

Ashidodi ndio walipora sanduku la Agano na kuweka kwao na kuliweka kwenye miungu yao Dagoni

Gathi ndiko Mfilisti Goliathi alitokea kusumbua Israeli

Aliwacha wafikisti hao wanaojiita wapalestina leo wanasumbua Israeli hadi leo hao wafilisti wa Palestina wajukuu wa Goliathi

Kosa la Kamanda Joshua waweza alisoma kitabu cha Biblia cha Joshua 11:21 -22

Akawaacha watu wa Ashidodi na Gathi
Hizi story zingine unakaa unajuliza hivi kuna Miungu wangapi? maana ni kama sisi wengine hatuna Mungu sasa amwagizie Joshua wa nini si angewamaliza yeye tu. Mambo mengine yaacheni tu sio kila unalosoma basi unalibeba.
 
Jiwe alikua dikteta na shetan unaona Israel uchaguzi ni wa huru na haki mawakala wa vyama vya upinzani hawajazuiliwa kuingia vituoni jiwe alikua shetani
Kwa vile alikubutua?

Kwani ulimazimishwa umpelekee hiyo nanihii?

[emoji23][emoji23][emoji23]We dada vipi?
 
Y

Hizi story zingine unakaa unajuliza hivi kuna Miungu wangapi? maana ni kama sisi wengine hatuna Mungu sasa amwagizie Joshua wa nini si angewamaliza yeye tu. Mambo mengine yaacheni tu sio kila unalosoma basi unalibeba.
Mungu hutumia binadamu kutekeleza mapenzi yake unashangaa nini?

Hata kukupa riziki wewe mfano hutumia.waajiri wakuajiri na kukupa mshahara mnono na marupurupu au kama una biashara hutumia binadamu wateja wakuletee riziki wanunue bidhaa au huduma kwako au wakupe tenda kubwa kubwa

Kila kitu kizuri Mungu kukupa hutumia wanadamu iwe gari nzuri unarndesha kwa mbwembwe binadamu wametengeneza ikufikie iwe nyumba nzuri Mungu hutumia binadamu mafundi wazuri wakujengee haki mwenyewe kujenga!! Nk
 
Safi Sana nampongeza netanyau kwa hatua hyo ni mm
Deo wa muleba kageraa tz
 
Hana tofauti na JPM mzalendo wa kweli. Kuwahi Kutokea katika Taifa letu

Waisraeli walitest mitambo wakamtoa wameonja Joto la jiwe

Wakasarenda wenyewe wakaona hakuna namna acha tumrudishe Mzalendo wa kweli aseee

Walestina watahama Jerusalemu Nawaambia siku si nyingi
Jiwe alikuwa na uzalendo???
 
Mungu hutumia binadamu kutekeleza mapenzi yake unashangaa nini?

Hata kukupa riziki wewe mfano hutumia.waajiri wakuajiri na kukupa mshahara mnono na marupurupu au kama una biashara hutumia binadamu wateja wakuletee riziki wanunue bidhaa au huduma kwako au wakupe tenda kubwa kubwa

Kila kitu kizuri Mungu kukupa hutumia wanadamu iwe gari nzuri unarndesha kwa mbwembwe binadamu wametengeneza ikufikie iwe nyumba nzuri Mungu hutumia binadamu mafundi wazuri wakujengee haki mwenyewe kujenga!! Nk
Wewe ndio unajichanganya mara Mungu kuna kundi analipendelea sasa nimeukuuliza sisi wengine tunaonewa na Mungu aliyetuumba? Hao mayahaudi mbona waliteseka miaka na miaka mpaka wa wazungu kuwapa sehemu wakae sio hawa walitaka kuletwa Uganda? Mungu hapendelei tabaka lolote ni Mungu wa wote na yeye wa kuabudiwa tu. Sasa story zako alichora mipaka sijui nini sasa baada ya kuchorewa mipaka walienda kuishi wapi? ulaya, Tunis, Moroco maana wako kila sehemu. acheni story za kuunga unga
 
Benett aliunda serikali kutokana na Muungano wa Vyama sasa Muungano huo umevunjika kabla ya miaka minne kwa Hyo Ni lazima uchaguzi mpya ufanyike ili Kuunda upya serikali...
Anhaa, kumb ndo ilivyokuwa! Shukrani....
 
Ahsante!
 
Huyu Jamaa ni Israel kindaki ndaki huyu!! anaijua Israel na Israel inamjua hasa! ni km Nyarusare anavoijua Africa Mashariki ndani nje!! halafu hajivungi kugombea!!!!

Ben ni mjeda yuko imara muda wowote ule kutumikia Dunia/Israel km mkimtaka!

angekuwa mwingine Oooh! bana unajuaaaa!! mimi ..........kule Uganda walinitoa Baru sirudii tena.........Mkae mkijua EA yenu hii yooote! Lift valley of EA, kuelekea mpaka Masri ni sehemu ya Israel ya kale/leo inatakiwa mnooo!!

Uganda /kenya/s.sudani/Misri walisha lainika kitambo sana, bado nyie Bongo Lugumya, na Ethiopia vichwa ngumu lazima mlainike tu! muachieee!
 
Wewe ndio unajichanganya mara Mungu kuna kundi analipendelea sasa nimeukuuliza sisi wengine tunaonewa na Mungu aliyetuumba? Hao mayahaudi mbona waliteseka miaka na miaka mpaka wa wazungu kuwapa sehemu wakae sio hawa walitaka kuletwa Uganda? Mungu hapendelei tabaka lolote ni Mungu wa wote na yeye wa kuabudiwa tu. Sasa story zako alichora mipaka sijui nini sasa baada ya kuchorewa mipaka walienda kuishi wapi? ulaya, Tunis, Moroco maana wako kila sehemu. acheni story za kuunga unga
Sio kuwa Mungu ana upendeleo la hasha

Baba yao wa wayahudi Ibrahim ndio alikuwa mtu mwenye Imani kwa Mungu peke yake wakati dunia yote ilikuwa imeacha kuamini Mungu wakiwemo mababu na mabibi zako wewe wakageukia kuabudu mizimu

Mzee yule na kizazi chake walisimama na Mungu Miaka mingi kuliko ukoo wenu wa waabudu mizimu mliojua dino juzijuzi tu iwe uislamu au Ukristo

Mlikuwa wapagani tu hadi Miaka ya karibuni hamjui cha Mungu wala shetani naishi kama wanyapori wasio na dini wala kistaarabu

Wayahudi wamekuwa consistent kwenye imani for centuries ndio maana Mungu baadaye alifikia agano nao la urafiki wa yeye na wao forever. Sharti likiwa wakimheshimu atawageshimu wakivunja agano warakiona cha mtema kuni watapigwa na kuuawa na kukimbizwa nchini kwao na kusambaa dunia nzima ila wakitubu atawakusanya toka kila pembe ya dunia warudi kwao ndicho kilitokea 1948 wayahudi kurudi nchi yao ya asili.ambayo walipoondoka ilikaliwa na wafilisti ambao leo wanajiiita wapalestina
 
Waziri Mkuu wa zamani wa ISRAEL, Benjamin Netanyahu anaongoza kwa asilimia 62% ya idadi ya kura zilizohesabiwa mpaka sasa.

Pia tayari chama chake cha mrengo wa kulia cha Likud kimeshinda idadi ya Viti 69 kati ya 120 katika bunge la nchi hiyo Knesset na hivyo kujihakikishia kuunda serikali.

Kwa kawaida nchini Israel inahitajika upate angalau viti 61 au zaidi ili uweze kuunda serikali.

Tayari Bw Netanyahu amekwisha zungumza na wafuasi wake na kuahidi kuunda Serikali itakayoirejesha tena heshima ya Israel.

Uchaguzi huu Utaondoa mkwamo kisiasa wa karibu miaka minne nchini Israel

View attachment 2404846View attachment 2404847

Naona Brazil ,Lula da Silva anaongoza mbio za urais , anaenda kumng'oa Bosonaro
Tusubiri USA labda Trump naye anaweza rudi
 
Back
Top Bottom