Benjamin Netanyahu anakaribia kutangazwa mshindi wa Uchaguzi Mkuu Israel

Benjamin Netanyahu anakaribia kutangazwa mshindi wa Uchaguzi Mkuu Israel

Naona Brazil ,Lula da Silva anaongoza mbio za urais , anaenda kumng'oa Bosonaro
Tusubiri USA labda Trump naye anaweza rudi
Labda huna habari; mbio za urais wa Brazil zimeshaisha, na mshindi ameshatangazwa.
 
Sio kuwa Mungu ana upendeleo la hasha

Baba yao wa wayahudi Ibrahim ndio alikuwa mtu mwenye Imani kwa Mungu peke yake wakati dunia yote ilikuwa imeacha kuamini Mungu wakiwemo mababu na mabibi zako wewe wakageukia kuabudu mizimu

Mzee yule na kizazi chake walisimama na Mungu Miaka mingi kuliko ukoo wenu wa waabudu mizimu mliojua dino juzijuzi tu iwe uislamu au Ukristo

Mlikuwa wapagani tu hadi Miaka ya karibuni hamjui cha Mungu wala shetani naishi kama wanyapori wasio na dini wala kistaarabu

Wayahudi wamekuwa consistent kwenye imani for centuries ndio maana Mungu baadaye alifikia agano nao la urafiki wa yeye na wao forever. Sharti likiwa wakimheshimu atawageshimu wakivunja agano warakiona cha mtema kuni watapigwa na kuuawa na kukimbizwa nchini kwao na kusambaa dunia nzima ila wakitubu atawakusanya toka kila pembe ya dunia warudi kwao ndicho kilitokea 1948 wayahudi kurudi nchi yao ya asili.ambayo walipoondoka ilikaliwa na wafilisti ambao leo wanajiiita wapalestina
Acha ujuaji wakati hakuna ulijualo.

Ibrahim hakuwa myahudi bali alikuwa mkurudi.
 
Acha ujuaji wakati hakuna ulijualo.

Ibrahim hakuwa myahudi bali alikuwa mkurudi.
Mkurudi wapi wewe

Ulkizaliwa mara ya pili na kuwa na uhusiano mpya na Mungu unabadilishwa na Mungu kuanzia jina kama Ibrahim na kabila na taifa

Ndio maana kwenye Biblia wote waumini Mungu ni wana wa Ibrahim ni wayahudi kwa Imani na sio raia wa Dunia hii wako tu hapa kimwili lakini wenyeji wao mbinguni
Ndio Maana Yesu aliagiza chochote wakihitaji wasali baba yetu uliye mbinguni utupe riziki yetu hapa duniani atawaonyesha riziki iko wapi na kuwapa
Sababu yeye ndio source .ambaye Fedha na dhahabu na vyote vijazavyo Ulimwengu ni vyake

Balozi wa Marekani mfano Tanzania Pesa yake na Riziki zake hutoka Marekani kwao sio Tanzania.Tanzania hata iwe na hali ngumu vipi haiwezi athiri maisha ya balozi wa Marekani!!

Vivyo kwa wakristo waamini Mungu si wenyeji wa hii dunia ni mabalozi wa Yesu tu duniani wenyeji wao uko Mbinguni wana prrivellege zote za ubalozi kama kama Balozi wa Marekani na kumzidi riziki zao hazitegemei uchumi.wa Tanzania ukoje hata Ukauke vipi Mungu atawatuma kunguru wawaletee mkate kipindi cha ukame.ambacho hata wakilima kwa bidii vipi hawawezi pata riziki zao !!
 
Mkurudi wapi wewe

Ulkizaliwa mara ya pili na kuwa na uhusiano mpya na Mungu unabadilishwa na Mungu kuanzia jina kama Ibrahim na kabila na taifa

Ndio maana kwenye Biblia wote waumini Mungu ni wana wa Ibrahim ni wayahudi kwa Imani na sio raia wa Dunia hii wako tu hapa kimwili lakini wenyeji wao mbinguni
Ndio Maana Yesu aliagiza chochote wakihitaji wasali baba yetu uliye mbinguni utupe riziki yetu hapa duniani atawaonyesha riziki iko wapi na kuwapa
Sababu yeye ndio source .ambaye Fedha na dhahabu na vyote vijazavyo Ulimwengu ni vyake

Balozi wa Marekani mfano Tanzania Pesa yake na Riziki zake hutoka Marekani kwao sio Tanzania.Tanzania hata iwe na hali ngumu vipi haiwezi athiri maisha ya balozi wa Marekani!!

Vivyo kwa wakristo waamini Mungu si wenyeji wa hii dunia ni mabalozi wa Yesu tu duniani wenyeji wao uko Mbinguni wana prrivellege zote za ubalozi kama kama Balozi wa Marekani na kumzidi riziki zao hazitegemei uchumi.wa Tanzania ukoje hata Ukauke vipi Mungu atawatuma kunguru wawaletee mkate kipindi cha ukame.ambacho hata wakilima kwa bidii vipi hawawezi pata riziki zao !!
Unawafahamu waumini walio kaa pale kwenye garden ya airport terminal 2 mwakaule.
Ambao walisema wanasubiri ndege kwennda Israel ama Iraq kamasjakosea, alafu walipoulizwa passport wakasema biblia ndio passport zao.

Ivi walipata usafiri?.

I'm Kristian as well.
 
Mkurudi wapi wewe

Ulkizaliwa mara ya pili na kuwa na uhusiano mpya na Mungu unabadilishwa na Mungu kuanzia jina kama Ibrahim na kabila na taifa

Ndio maana kwenye Biblia wote waumini Mungu ni wana wa Ibrahim ni wayahudi kwa Imani na sio raia wa Dunia hii wako tu hapa kimwili lakini wenyeji wao mbinguni
Ndio Maana Yesu aliagiza chochote wakihitaji wasali baba yetu uliye mbinguni utupe riziki yetu hapa duniani atawaonyesha riziki iko wapi na kuwapa
Sababu yeye ndio source .ambaye Fedha na dhahabu na vyote vijazavyo Ulimwengu ni vyake

Balozi wa Marekani mfano Tanzania Pesa yake na Riziki zake hutoka Marekani kwao sio Tanzania.Tanzania hata iwe na hali ngumu vipi haiwezi athiri maisha ya balozi wa Marekani!!

Vivyo kwa wakristo waamini Mungu si wenyeji wa hii dunia ni mabalozi wa Yesu tu duniani wenyeji wao uko Mbinguni wana prrivellege zote za ubalozi kama kama Balozi wa Marekani na kumzidi riziki zao hazitegemei uchumi.wa Tanzania ukoje hata Ukauke vipi Mungu atawatuma kunguru wawaletee mkate kipindi cha ukame.ambacho hata wakilima kwa bidii vipi hawawezi pata riziki zao !!
Ukurudi ni kabila pia ni asili na siku zote asili ya mtu huwa haibadiliki hata akihamia sehemu nyingine.
 
What a comeback

Tutegemee Trump kuongoza senate na house?
much possible,
watu wamechoka na maisha magumu, visanga vya liberal visivyoeleweka na ofcoz vita vya ukraine vimechangia........
 
Nami niwe mkweli,nikiishika hii nchi siji iachilia mpaka kifo.
 
Hakuna nchi inaitwa Palestine kwenye historia

Wale ni Philistines yaani wafilisti kwa kiswahili

Nchi ya Israel no kwa ajili ya wayahudu sio kwa ajili ya wafilisti yaani Philistines

Wawe tu walpole kwa wayahudi

Mipaka ya uyahudi ilichorwa na Mungu mwenyewe

Nchi pekee duniani ambayo.Mungu alisema mipaka yake inaanza wapi na Kuishia wapi ni Israel tu

Biblia shahidi na Joshua shahidi

Mipaka mingine yote binadamu ndio alichora kupitia Berlin Conference kwa Africa kwa nchi nyingine whatever lakini Mungu hakuwa involved kuchora hiyo mipaka

Alichora ya Israel tu
Wewe ni mvivu wa kusoma vitabu mbalimbali
 
What a comeback

Tutegemee Trump kuongoza senate na house?
Trump anafanyiwa figisu sidhani kama atarudi WH. Watu wenye roho mbaya wako bize wanataka nyaraka zake za Kodi ziwekwe wazi
 
U
Mkurudi wapi wewe

Ulkizaliwa mara ya pili na kuwa na uhusiano mpya na Mungu unabadilishwa na Mungu kuanzia jina kama Ibrahim na kabila na taifa

Ndio maana kwenye Biblia wote waumini Mungu ni wana wa Ibrahim ni wayahudi kwa Imani na sio raia wa Dunia hii wako tu hapa kimwili lakini wenyeji wao mbinguni
Ndio Maana Yesu aliagiza chochote wakihitaji wasali baba yetu uliye mbinguni utupe riziki yetu hapa duniani atawaonyesha riziki iko wapi na kuwapa
Sababu yeye ndio source .ambaye Fedha na dhahabu na vyote vijazavyo Ulimwengu ni vyake

Balozi wa Marekani mfano Tanzania Pesa yake na Riziki zake hutoka Marekani kwao sio Tanzania.Tanzania hata iwe na hali ngumu vipi haiwezi athiri maisha ya balozi wa Marekani!!

Vivyo kwa wakristo waamini Mungu si wenyeji wa hii dunia ni mabalozi wa Yesu tu duniani wenyeji wao uko Mbinguni wana prrivellege zote za ubalozi kama kama Balozi wa Marekani na kumzidi riziki zao hazitegemei uchumi.wa Tanzania ukoje hata Ukauke vipi Mungu atawatuma kunguru wawaletee mkate kipindi cha ukame.ambacho hata wakilima kwa bidii vipi hawawezi pata riziki zao !!
Umeandika upuuzi Tu 😀
 
Hakuna nchi inaitwa Palestine kwenye historia

Wale ni Philistines yaani wafilisti kwa kiswahili

Nchi ya Israel no kwa ajili ya wayahudu sio kwa ajili ya wafilisti yaani Philistines

Wawe tu walpole kwa wayahudi

Mipaka ya uyahudi ilichorwa na Mungu mwenyewe

Nchi pekee duniani ambayo.Mungu alisema mipaka yake inaanza wapi na Kuishia wapi ni Israel tu

Biblia shahidi na Joshua shahidi

Mipaka mingine yote binadamu ndio alichora kupitia Berlin Conference kwa Africa kwa nchi nyingine whatever lakini Mungu hakuwa involved kuchora hiyo mipaka

Alichora ya Israel tu
Mkuu uko sahihi ,ila mambo ya kiroho ukiyaleta Huku kwenye kwenye siasa hautaeleweka,
Ukiangalia Israel kwa jicho la kisiasa huwezi kuilewa Wala huwezi kumwelewa Mungu,

Maana kiukweli hiyo nchi Mungu aliwapa Waisraeli kwa sharti la kuwaangamiza wenyeji wake wote then watii na kumwabudu Mungu huko,
Na hiyo nchi kiroho ni Mali ya Mungu wa Israel , So aliwapa WA Israel baada uovu wa wenyeji wa nchi hiyo kutimia ,
So hukumu Yao ilikuwa ni kuwaangamiz wote kwa kutumia waisrael then wamiliki hiyo nchi but
ukiangalia kwa jicho la kisiasa utaona uonevu mkubwa kwa palestina
kwa upande wangu naona is the best kuunda taifa moja na nchi moja hata kama serikali mbili tofauti then maisha yaendelee
 
Naftali ni mbabe na mkorofi kuliko Netanyahu ukimfuatilia sema tu Waarabu hawajaleta chokochoko akiwa madarakani na bado hakuungwa mkono sana kwenye uchaguzi mkali. Walirudia uchaguzi kama mara tatu hivi mshindi anakosa mpaka muungano wa vyama ambapo Naftali alikuwa awe Waziri Mkuu kwa nusu ya muhula na unaofuata Waziri Mkuu awe mwingine ambaye sasa ni wa Ulinzi. Hii serikali ilionekana ni ngumu kudumu ila walichoka chaguzi. Bibi mwenyewe kesi yake ya rushwa iliyokuwa inamuandamana haijafika popote kwahiyo ni msafi fulani hivi.

Headlines za Israel zitarudi
Kagame wa israel karejea kidemokrasia.
 
Back
Top Bottom