Benjamin Netanyahu anakaribia kutangazwa mshindi wa Uchaguzi Mkuu Israel

Benjamin Netanyahu anakaribia kutangazwa mshindi wa Uchaguzi Mkuu Israel

Jiwe alikua dikteta na shetan unaona Israel uchaguzi ni wa huru na haki mawakala wa vyama vya upinzani hawajazuiliwa kuingia vituoni jiwe alikua shetani
Kila nchi inautaratibu wake

Na hata hao unawaita wa uchaguzi wa uhuru na haki wana mambo yao kibao.

Lete ushaidi uchaguzi uliibiwa

Acha kusikiliza maneno ya watuu
 
Kama kuna makatili duniani basi huyu ni ndiyo mwenyekiti wao jamaa kwenye kumwaga damu yupo vizuri sana huwa hacheki na MTU wala Hana chembe ya huruma
 
Sema Palestine ndio wanyonge wenu wanaotumia katyusha missile Hezbollah mziki mwengne brother
Hakuna nchi inaitwa Palestine kwenye historia

Wale ni Philistines yaani wafilisti kwa kiswahili

Nchi ya Israel no kwa ajili ya wayahudu sio kwa ajili ya wafilisti yaani Philistines

Wawe tu walpole kwa wayahudi

Mipaka ya uyahudi ilichorwa na Mungu mwenyewe

Nchi pekee duniani ambayo.Mungu alisema mipaka yake inaanza wapi na Kuishia wapi ni Israel tu

Biblia shahidi na Joshua shahidi

Mipaka mingine yote binadamu ndio alichora kupitia Berlin Conference kwa Africa kwa nchi nyingine whatever lakini Mungu hakuwa involved kuchora hiyo mipaka

Alichora ya Israel tu
 
Muungano wake Netanyahu una viti vya Nisset ( Bunge la Israel) 62, Bungee la Israel lina Jumla ya viti 120. Ili uchukue serikali na uongoze inabidi chama au muungano wa vyama upate Jumla ya viti 61 vya kuunda serikali. Siasa za Israel vyama vimegawanyika katika Milengo ya dini, Milengo ya julia, ya Kati na Kushoto.
 
Jiwe alikua dikteta na shetan unaona Israel uchaguzi ni wa huru na haki mawakala wa vyama vya upinzani hawajazuiliwa kuingia vituoni jiwe alikua shetani
Umesha lipwa 5% ya mshahara wako uliochangia kwenye mafao?.
 
Afrika wakifanya hivyo wanaitwa madikteta
Wenzetu wanachagua chama zaidi ila sisi shida yetu unaweka jina lako halafu unashinda 95% hawa wenzetu wanakuwa wanachuana sana ila nakubaliana na wewe ikiwa tunataka mfumo kama wa UK, Germany au hata Israel au India ni chama kinachaguliwa ndio kinaunda serikali nadhani linawezekana hata huku shida yetu tunabadilisha sheria katikati ya mchezo ila kama ndio katiba ya nchi na baada ya hapo haiguswi sawa tu inakuwa fair kwa wote sheria za mchezo zinajulikana mapema.
 
Hakuna nchi inaitwa Palestine kwenye historia

Wale ni Philistines yaani wafilisti kwa kiswahili

Nchi ya Israel no kwa ajili ya wayahudu sio kwa ajili ya wafilisti yaani Philistines

Wawe tu walpole kwa wayahudi

Mipaka ya uyahudi ilichorwa na Mungu mwenyewe

Nchi pekee duniani ambayo.Mungu alisema mipaka yake inaanza wapi na Kuishia wapi ni Israel tu

Biblia shahidi na Joshua shahidi

Mipaka mingine yote binadamu ndio alichora kupitia Berlin Conference kwa Africa kwa nchi nyingine whatever lakini Mungu hakuwa involved kuchora hiyo mipaka

Alichora ya Israel tu
Tutumie paper tuone mwandiko basi
 
Waziri Mkuu wa zamani wa ISRAEL, Benjamin Netanyahu anaongoza kwa asilimia 62% ya idadi ya kura zilizohesabiwa mpaka sasa.

Pia tayari chama chake cha mrengo wa kulia cha Likud kimeshinda idadi ya Viti 69 kati ya 120 katika bunge la nchi hiyo Knesset na hivyo kujihakikishia kuunda serikali.

Kwa kawaida nchini Israel inahitajika upate angalau viti 61 au zaidi ili uweze kuunda serikali.

Tayari Bw Netanyahu amekwisha zungumza na wafuasi wake na kuahidi kuunda Serikali itakayoirejesha tena heshima ya Israel.

Uchaguzi huu Utaondoa mkwamo kisiasa wa karibu miaka minne nchini Israel

View attachment 2404846View attachment 2404847

Kila raheli
 
Naa Sikh nyingi hatujaskia mambo ya Hawa jamaa toka atoke

Lkn ngoja asee

Tuwasikue waarabu sasa wanavyopewa dawa
Halafu utasikia mtu anasema dunia iungane kumlaani Russia kwa kumnyuka Ukraine.
Kama unaishi hapa duniani just wewe upo ktk mateso tu ie Vita,magonjwa,maudhi ,kinachowakuta Palestine the same happening now Ukraine, the same to worldwide corona etc
 
Tutumie paper tuone mwandiko basi
Kifupi Joshua ndie alisababisha hiyo shida yote

Mungu aliagiza amalize adui zake wote wa Israel yeye akapiga wote akabakiza watu wa Ashidod na Gathi

Ashidodi ndio walipora sanduku la Agano na kuweka kwao na kuliweka kwenye miungu yao Dagoni

Gathi ndiko Mfilisti Goliathi alitokea kusumbua Israeli

Aliwacha wafikisti hao wanaojiita wapalestina leo wanasumbua Israeli hadi leo hao wafilisti wa Palestina wajukuu wa Goliathi

Kosa la Kamanda Joshua waweza alisoma kitabu cha Biblia cha Joshua 11:21 -22

Akawaacha watu wa Ashidodi na Gathi
 
Back
Top Bottom