Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umekosa watu wakuwaombe?mods fungeni hii nyuzi za muda au muweke rangi nyeusi hapo kwenye tanzia yaan nimeshtuka hadi simu imedondoka chini MUNGU wa mbinguni epusha hili jambo na maombi mabaya juu ya Rais wetu Magufuli..
Acha kabisa.Hahahaaa halafu inaanza na neno Rais. Kama nakuona ulivyokimbia ndani hapo
Hilo ulikuwa hujaligundua .Dah mods mnatumika na mabeberu [emoji41][emoji41]
R.I.P mh! Raisi
Mbona ni mtu wa Mungu sana, labda aanza kutuheshimu sisi wananchi na aache kauli za dhihaka na dharau. Namuombea apone kama anaumwa na awe muungwana sasa.Wangari Maathai
ila huyu mwamba kama kweli anaumwa,na yu hai akiyaepuka madhira haya,amrudie Mungu!
staki natakaKuna watu wanaciment -ve kumbe moyon wanafikiria +ve.....yaan hawatamani wanatamani
Heheheh mungu yupi?mods fungeni hii nyuzi za muda au muweke rangi nyeusi hapo kwenye tanzia yaan nimeshtuka hadi simu imedondoka chini MUNGU wa mbinguni epusha hili jambo na maombi mabaya juu ya Rais wetu Magufuli..
Jamaa ana jeuri mno tena akirudi ndo tutakomaWangari Maathai
ila huyu mwamba kama kweli anaumwa,na yu hai akiyaepuka madhira haya,amrudie Mungu!