TANZIA Benjamin William Mkapa, Rais wa Tanzania wa Awamu ya Tatu afariki dunia

TANZIA Benjamin William Mkapa, Rais wa Tanzania wa Awamu ya Tatu afariki dunia

Status
Not open for further replies.
mods fungeni hii nyuzi za muda au muweke rangi nyeusi hapo kwenye tanzia yaan nimeshtuka hadi simu imedondoka chini MUNGU wa mbinguni epusha hili jambo na maombi mabaya juu ya Rais wetu Magufuli..
Umekosa watu wakuwaombe?
 
mods fungeni hii nyuzi za muda au muweke rangi nyeusi hapo kwenye tanzia yaan nimeshtuka hadi simu imedondoka chini MUNGU wa mbinguni epusha hili jambo na maombi mabaya juu ya Rais wetu Magufuli..
Heheheh mungu yupi?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom