TANZIA Benjamin William Mkapa, Rais wa Tanzania wa Awamu ya Tatu afariki dunia

TANZIA Benjamin William Mkapa, Rais wa Tanzania wa Awamu ya Tatu afariki dunia

Status
Not open for further replies.
mods fungeni hii nyuzi za muda au muweke rangi nyeusi hapo kwenye tanzia yaan nimeshtuka hadi simu imedondoka chini MUNGU wa mbinguni epusha hili jambo na maombi mabaya juu ya Rais wetu Magufuli..
Hata mimi nimeshtuka hivyo hivyo! Duh! Nimeona neno “rais” nikashtuka sana! Ndipo macho yalipoona “Mkapa”, nikapata unafuu. Taarifa za kifo ni mbaya sana regardless. Mungu aepushe!
 
Hata nini nimeshtuka hivyo hivyo! Duh! Nimeona neno “rais” nikashtuka sana! Ndipo macho yalipoona “Mkapa”, nikapata unafuu. Taarifa za kifo ni mbaya sana regardless. Mungu aepushe!
Yaniii me too duuh
 
Dah kama vip huu uzi upumzishwe kidogo jaman mods....
 
Hata mimi nimeshtuka hivyo hivyo! Duh! Nimeona neno “rais” nikashtuka sana! Ndipo macho yalipoona “Mkapa”, nikapata unafuu. Taarifa za kifo ni mbaya sana regardless. Mungu aepushe!
Pole mkuu kwa kushtuka mkuu🤭
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom