" Benjamini Netanyahu aapa kulala nao kiulaloulalo magaidi wa Hamas baada ya kuwaua watoto ariel na kafri Bibas na mwili wa mama yao kufichwa

" Benjamini Netanyahu aapa kulala nao kiulaloulalo magaidi wa Hamas baada ya kuwaua watoto ariel na kafri Bibas na mwili wa mama yao kufichwa

Echolima1

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2019
Posts
875
Reaction score
633
Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu ameapa kuwashughulikia magaidi wa Hamas kwa vitendo vya vya kinyama kuua watoto Kafri na Ariel Bibas watoto ambao waliwateka nyara Oct 07,2023 wakiwa na Mama yao Shiri Bibas na miili yao kurudishwa wakiwa wamekufa na Hamas kudai walikufa kutokana na mabomu ya Israel baada ya uchunguzi wa Forensic lab imejulikana wazi kuwa watoto hao waliuliwa kutumia mikono ya magaidi hao waliwanyonga na inahofiwa kuwa magaidi hao wameficha mwili wa Shiri Bibas kwa hofu ya kugundulika uovu waliomfanyia Mama huyo maana wakifanya vipimo vya Forensic wanaweza kujua kila kitu wanachotaka hicho ndicho magaidi hao wamehofia na kuleta mwili mwingine kabisa tofauti na mateka wa Israel.Waziri Mkuu huyo kasema atalala nao mbele kwa mbele mpaka kundli hilo liangamizwe
 

Attachments

  • IMG_9335.mp4
    32.7 MB
Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu ameapa kuwashughulikia magaidi wa Hamas kwa vitendo vya vya kinyama kuua watoto Kafri na Ariel Bibas watoto ambao waliwateka nyara Oct 07,2023 wakiwa na Mama yao Shiri Bibas na miili yao kurudishwa wakiwa wamekufa na Hamas kudai walikufa kutokana na mabomu ya Israel baada ya uchunguzi wa Forensic lab imejulikana wazi kuwa watoto hao waliuliwa kutumia mikono ya magaidi hao waliwanyonga na inahofiwa kuwa magaidi hao wameficha mwili wa Shiri Bibas kwa hofu ya kugundulika uovu waliomfanyia Mama huyo maana wakifanya vipimo vya Forensic wanaweza kujua kila kitu wanachotaka hicho ndicho magaidi hao wamehofia na kuleta mwili mwingine kabisa tofauti na mateka wa Israel.Waziri Mkuu huyo kasema atalala nao mbele kwa mbele mpaka kundli hilo liangamizwe
Thamani ya watoto hao inazidi thamani ya watoto 13,000 waliouawa Gaza?
 
Halafu pia sio mbaya ukawa unapitia na vyanzo vingine vya habari. Mwili wa Sheri Bibas ushakabidhiwa kwa red cross tangia saa 4 usiku kwa saa za East Africa.
Ujinga gani huo kukabidhi mwili saa 4 usiku wakati wao waliwateka mchana kweupe. Mpaka mwili huo upelekwe Forensic lab ndipo ijulikane sasa hivi haiwezekani maana mmezoea kuuza mbuzi kwenye Gunia!! Kwa hiyo wewe unawaaminije magaidi wa Hamas hawaaminiki hao uongo ndiyo silaha yao kubwa.
 
Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu ameapa kuwashughulikia magaidi wa Hamas kwa vitendo vya vya kinyama kuua watoto Kafri na Ariel Bibas watoto ambao waliwateka nyara Oct 07,2023 wakiwa na Mama yao Shiri Bibas na miili yao kurudishwa wakiwa wamekufa na Hamas kudai walikufa kutokana na mabomu ya Israel baada ya uchunguzi wa Forensic lab imejulikana wazi kuwa watoto hao waliuliwa kutumia mikono ya magaidi hao waliwanyonga na inahofiwa kuwa magaidi hao wameficha mwili wa Shiri Bibas kwa hofu ya kugundulika uovu waliomfanyia Mama huyo maana wakifanya vipimo vya Forensic wanaweza kujua kila kitu wanachotaka hicho ndicho magaidi hao wamehofia na kuleta mwili mwingine kabisa tofauti na mateka wa Israel.Waziri Mkuu huyo kasema atalala nao mbele kwa mbele mpaka kundli hilo liangamizwe
Hamas ni mashetani waliojificha kwenye kichaka cha udini wanaua watoto wadogo kwa makusidi halafu wanasingizia mabomu ya Israel
 
Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu ameapa kuwashughulikia magaidi wa Hamas kwa vitendo vya vya kinyama kuua watoto Kafri na Ariel Bibas watoto ambao waliwateka nyara Oct 07,2023 wakiwa na Mama yao Shiri Bibas na miili yao kurudishwa wakiwa wamekufa na Hamas kudai walikufa kutokana na mabomu ya Israel baada ya uchunguzi wa Forensic lab imejulikana wazi kuwa watoto hao waliuliwa kutumia mikono ya magaidi hao waliwanyonga na inahofiwa kuwa magaidi hao wameficha mwili wa Shiri Bibas kwa hofu ya kugundulika uovu waliomfanyia Mama huyo maana wakifanya vipimo vya Forensic wanaweza kujua kila kitu wanachotaka hicho ndicho magaidi hao wamehofia na kuleta mwili mwingine kabisa tofauti na mateka wa Israel.Waziri Mkuu huyo kasema atalala nao mbele kwa mbele mpaka kundli hilo liangamizwe
uwe mtulivu usikurupuke,huo mwili umepatikana na wameishapewa,hao watoto na mama yao waliuawa na mabomu ya natanyahu
 
Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu ameapa kuwashughulikia magaidi wa Hamas kwa vitendo vya vya kinyama kuua watoto Kafri na Ariel Bibas watoto ambao waliwateka nyara Oct 07,2023 wakiwa na Mama yao Shiri Bibas na miili yao kurudishwa wakiwa wamekufa na Hamas kudai walikufa kutokana na mabomu ya Israel baada ya uchunguzi wa Forensic lab imejulikana wazi kuwa watoto hao waliuliwa kutumia mikono ya magaidi hao waliwanyonga na inahofiwa kuwa magaidi hao wameficha mwili wa Shiri Bibas kwa hofu ya kugundulika uovu waliomfanyia Mama huyo maana wakifanya vipimo vya Forensic wanaweza kujua kila kitu wanachotaka hicho ndicho magaidi hao wamehofia na kuleta mwili mwingine kabisa tofauti na mateka wa Israel.Waziri Mkuu huyo kasema atalala nao mbele kwa mbele mpaka kundli hilo liangamizwe

View: https://x.com/Neccccy/status/1892972525732200542
 
Back
Top Bottom