" Benjamini Netanyahu aapa kulala nao kiulaloulalo magaidi wa Hamas baada ya kuwaua watoto ariel na kafri Bibas na mwili wa mama yao kufichwa

" Benjamini Netanyahu aapa kulala nao kiulaloulalo magaidi wa Hamas baada ya kuwaua watoto ariel na kafri Bibas na mwili wa mama yao kufichwa

uwe mtulivu usikurupuke,huo mwili umepatikana na wameishapewa,hao watoto na mama yao waliuawa na mabomu ya natanyahu
Waarabu wote wanajua kidume huko Mashariki ya kati ni Benjamin Netanyahu jana kabwatuka kidogo waarabu wote wakaufyata mkia na kuurudisha mwili!!
 
Hao watoto wadogo ndiyo wa kutosha? Hizo propaganda Uchwara wewe unaziamini vipi?
Watoto wa kipalestina Gaza wamekuwa maelfu Netanyahu aache violence atafute peace and dialogue ila kama ni vita sawa aendelee atachuma maumivu kama hayo
 
Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu ameapa kuwashughulikia magaidi wa Hamas kwa vitendo vya vya kinyama kuua watoto Kafri na Ariel Bibas watoto ambao waliwateka nyara Oct 07,2023 wakiwa na Mama yao Shiri Bibas na miili yao kurudishwa wakiwa wamekufa na Hamas kudai walikufa kutokana na mabomu ya Israel baada ya uchunguzi wa Forensic lab imejulikana wazi kuwa watoto hao waliuliwa kutumia mikono ya magaidi hao waliwanyonga na inahofiwa kuwa magaidi hao wameficha mwili wa Shiri Bibas kwa hofu ya kugundulika uovu waliomfanyia Mama huyo maana wakifanya vipimo vya Forensic wanaweza kujua kila kitu wanachotaka hicho ndicho magaidi hao wamehofia na kuleta mwili mwingine kabisa tofauti na mateka wa Israel.Waziri Mkuu huyo kasema atalala nao mbele kwa mbele mpaka kundli hilo liangamizwe
Hamas sio M23
 
Thamani ya watoto hao inazidi thamani ya watoto 13,000 waliouawa Gaza?
Mi natamani kwanza kujua kigezo kilichotumika kuachia maelfu ya wafungwa wa kipalestina kwa wisrael wanne tu siku ya kwanza, hii hesabu hamas walimaanisha thamani yao haina hadhi sawa na waisarael, nilijua watakua wanabadilishana mmoja kwa mmoja lakin wao wakademand wapalestina maelf kwa waisrael wanne, hii inathibitisha kuwa hata wao akili zao zinawatuma kuwa thamani na muisrael ni kubwa kwa elfu ukilinganisha na muisrael mmoja
 
Mi natamani kwanza kujua kigezo kilichotumika kuachia maelfu ya wafungwa wa kipalestina kwa wisrael wanne tu siku ya kwanza, hii hesabu hamas walimaanisha thamani yao haina hadhi sawa na waisarael, nilijua watakua wanabadilishana mmoja kwa mmoja lakin wao wakademand wapalestina maelf kwa waisrael wanne, hii inathibitisha kuwa hata wao akili zao zinawatuma kuwa thamani na muisrael ni kubwa kwa elfu ukilinganisha na muisrael mmoja
We mlokole Kwaiyo SHOGA anasamani mbele ya Mpalestine!!! Kwa vigezo vipi Mpalestine Apigani ili Alipwe pesa kama Mashoga wa Israel!!!

Ukiwa na Hamas w3 Wanakulinda afu uwe na Waisrael 20 Wanakulinda amini chini ya awa w3 wewe upo Salama!!

Sasa Samani ya muisrael unaitoa wapi WANAJESH w ISRAELI wapo kwenye kambi zao 4 HAMAS wameenda kuwapa kichapo umo umo kwenye KAMBI zao na WANAJESH Wakafa wengine wakanyoosha mikono juuu!!!

ndio mmoja wapo kaachiwa leo!!!! Samani ipi mbele ya Mpalestine Shujaaa
Sikia mlokole HAMAS Ilichukua mateka waisrael 250 tu!! Wakati uwo Wapalestina Waiiokamatwa mateka na MAGAID wa ISRAEL ni 10000+

wapi wengi kwa akili yko iyo iyo kwaiyo HAMAS awakutaka nawao wawabebe waisrael 10000+!!!!!!

Kwakuwa ISRAEL inaelewa somo awa tu 250 Wengine wamekufia GAZA je wangekuwa 10000!!!!

ndio mana ISRAEL ktk kubadilishana Mateka inawabidi ISRAEL isishupaze shingo kutaka m1 kwa m1 manake ilo HAMAS watawajibu kwa kuwateka Waisrael wengi zaid!!!!

kwendana Watakacho ISRAEL!!!! Israel wanaakili zaid kukudhidi wewe ndio mana Awapingi 1 kwa 50 wanajua wao wamewakamata Wapalestina wengi zaid

ivo lazima iwe ivo!!! Sio kuusu Samani SHOGA linasamani gani kwa akili yako!!!
 
Fala huyo zee kwa
Waarabu wote wanajua kidume huko Mashariki ya kati ni Benjamin Netanyahu jana kabwatuka kidogo waarabu wote wakaufyata mkia na kuurudisha mwili!!
Yemen na Hamas wanamuona mchumba tu Houth wanatia madole wanavyotaka
 
Kwa nini wameuwawa hao watoto 13,000? Yaani mazingira ya vifo vyao plz nisaidie kuelewa
Kilichowaua ni mabomu ya Israel waliokuwa wanafanya zoezi la ethnic cleansing. Hapo sijajumuisha na wengine tangia miaka ya 1940s wakati wa utekelezaji wa Balfour declaration ulipoanza rasmi kufanyiwa kazi. Kuna mmoja alisema umtag endapo nitakujibu. naomba ufanye hivyo Chief
 
Nini maana ya setensi "alijua...." na aliwahi tamka?
Ndio hilo swali langu kwako, wewe ulijuaje kama "alijua" kawamaliza? Hajawahi kutamka hivo popote hadi mambo ya cease fire yalipo anza kushinikizwa, unawezaje kutekeleza suala la cease fire kama umewamaliza maadui zako? Ukiwamaliza wote cease fire si inatokea automatic? Au?
 
Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu ameapa kuwashughulikia magaidi wa Hamas kwa vitendo vya vya kinyama kuua watoto Kafri na Ariel Bibas watoto ambao waliwateka nyara Oct 07,2023 wakiwa na Mama yao Shiri Bibas na miili yao kurudishwa wakiwa wamekufa na Hamas kudai walikufa kutokana na mabomu ya Israel baada ya uchunguzi wa Forensic lab imejulikana wazi kuwa watoto hao waliuliwa kutumia mikono ya magaidi hao waliwanyonga na inahofiwa kuwa magaidi hao wameficha mwili wa Shiri Bibas kwa hofu ya kugundulika uovu waliomfanyia Mama huyo maana wakifanya vipimo vya Forensic wanaweza kujua kila kitu wanachotaka hicho ndicho magaidi hao wamehofia na kuleta mwili mwingine kabisa tofauti na mateka wa Israel.Waziri Mkuu huyo kasema atalala nao mbele kwa mbele mpaka kundli hilo liangamizwe
mpuuzi mmoja anayejitutumua wakati mambo yashamshinda
 
Back
Top Bottom