" Benjamini Netanyahu aapa kulala nao kiulaloulalo magaidi wa Hamas baada ya kuwaua watoto ariel na kafri Bibas na mwili wa mama yao kufichwa

Mtanyooka tu acha afanye kazi yake vizuri!! Mtalalamika sana maana tulishawazoea kulalama ni jadi yenu.
amka wewe kilaza israeli haiwezi kupigana na Hamas hata wasaidiwe na dunia nzima,kwani we hujionei tangu oct7 2023 mpk leo wamba bado wapo
 
amka wewe kilaza israeli haiwezi kupigana na Hamas hata wasaidiwe na dunia nzima,kwani we hujionei tangu oct7 2023 mpk leo wamba bado wapo
Wewe ndiye kilaza ambaye huoni Gaza ilivyo sasa hivi!! Kama huwezi kutofautisha Gaza ya kabla ya Oct 07,2023 na ya sasa basi ni wewe ni kilaza hasa!!
 
Magaidi in question
 

Attachments

  • Screenshot_20250223_194355.jpg
    363.7 KB · Views: 1


HATUKUSHANGAI KWANI HAO WAYAHUDI WAMESHAWAONA NYINYI WAKRISTO MKO BRAINLESS , MSIKILIZE HUYU


View: https://youtu.be/pMECi3OLac0?t=10
 
Hao wengi wanaochiwa hao magaidi wanajua nusu yao wataenda kujiunga nao na Israel Bado sidhani kama wamemaliza kazi huko Gaza na trump kaingia naona pale kutabaki magofu
 
HATUKUSHANGAI KWANI HAO WAYAHUDI WAMESHAWAONA NYINYI WAKRISTO MKO BRAINLESS , MSIKILIZE HUYU


View: https://youtu.be/pMECi3OLac0?t=10
Wakristo hapo wameingiaje? Je umesoma hiyo Mada inahusikaje na Wakristo? Nawahurumia sana waislamu kwa kutwa kuchwa mnahangaika na kueneza chuki dhidi ya Wakristo na Wayahudi tuseme wakristo wakiwachukia wayahudi ninyi waislamu mnapata Gaidi gani?? Nipende tu kukujulisha kuwa haiwezekani kuwatenganisha wayahudi na Wakristo maana wameunganishwa na Divine connection. Wakristo tumejengwa kwenye UPENDO na ndiyo maana hata hapa kwetu waislamu mna Houma makanisa yetu wala hatusemi kitu tunawasamehe tu, Mnatusema vibaya kwenye Mihadhara yenu wala hatuoni ubaya tunawasamehe tu. Kwa hiyo hizo video zako unajichosha bure tu habadiriki mtu hapa na video za michongo. Labda wewe hujui kuwa huwezi kusema Ukristo bila kuwataja wayahudi harafu wapuuzi nyie mnaleta uchonganishi wa kijinga. Kingine msifikiri wakristo hatuna akili tunazo sana tena nyingi kuwazidi wapuuzi kama ninyi!!!
 

Attachments

  • IMG_1105.png
    646.5 KB · Views: 1
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…