boyfriendy
JF-Expert Member
- Sep 9, 2012
- 1,988
- 1,033
Yup inawezekana sana hiyo siyo Issue,tuna Huduma ya Simbanking,Internet Banking,na Debit Card yetu ni VISA..
So hii itakurahisishia kila kitu.na ikienda kufungua akaunti unaomba uunganishwe kwenye Huduma hizi zote ili ufurahie maisha ndani ya barclays bank.
Simbanking mwisho wa matatizo utaweza Fanya mihamala tote kwensa kwenye tigopesa,mpesa,Airtel, Z Pesa na hata kwa banks.
Barclays ukishafungua akaunti ambayo inafunguliwa free of charge..then ukishaanza kufanya deposit mabayo inaanzia 20,000+ unaprintiwa kadi..maana huweI pata kadi Kama hujaanza deposit.
Mimi nafanya kazi barclays so najibu kwa hakika na ninahudumia customers.
heshima yenu wana jf naomba kujuzwa benk kwa hapa tanzania ambayo naweza kufungua akaunt na kupata kadi ya atm hapohapo
natanguliza shurani............
Acha uzushi wewe. tangu lini NMB, CRDB ukifungua akaunti unapata kadi ndani ya siku moja. hakuna kitu kama hicho. ni Barclays pekee
uko nyuma ya muda wewe, Crdbbank wanafanya fast account opening unapata kadi papo hapo na Nmb pia wana chap chap account kadi ni papo hapo. chagua Crdbbank benki inayomsikiliza mteja
ndio hzo benk tajwa hapo juu kama Crdb bt àtm kard yako haitakuwa na picha .hyo huduma inaitwa voda fàster
Heshima yenu wanaJF,
Naomba kujuzwa benk kwa hapa Tanzania ambayo naweza kufungua akaunti na kupata kadi ya ATM hapo hapo.
Natanguliza shukrani...
TPB walinambia ni after three weeksTPB siku hiyo hiyo
TPB walinambia ni after three weeks
Mkuu acha uongo. NMB mimi ndo benk ninayo tumia, ukifungua a/c leo lazima usubiri wiki tatu hadi nne ndo ATM card unapata, sababu matawi hayatengenezi zinatengenezwa sehem moja kwa benk husika halafu zinatumwa.
Nenda CRDB kjana unaondoka na cad yko muda huo huo
Nenda CRDB kjana unaondoka na cad yko muda huo huo