boyfriendy
JF-Expert Member
- Sep 9, 2012
- 1,988
- 1,033
Yup inawezekana sana hiyo siyo Issue,tuna Huduma ya Simbanking,Internet Banking,na Debit Card yetu ni VISA..
So hii itakurahisishia kila kitu.na ikienda kufungua akaunti unaomba uunganishwe kwenye Huduma hizi zote ili ufurahie maisha ndani ya barclays bank.
Simbanking mwisho wa matatizo utaweza Fanya mihamala tote kwensa kwenye tigopesa,mpesa,Airtel, Z Pesa na hata kwa banks.
Nipe utaratibu nafanyaje sasa