habari ndugu zangu. Mimi ninamiliki nyumba mbili mabibo dar. Eneo ni zuri na barabarani kabisa, nahitaji kubomoa hizi ili nijenge ghorofa Moja floor tatu kwaajili ya apartments. kwakua eneo ni kubwa eneo litakalo baki ntafanya parking ya biashara. I am sure this is a good businesses.. Je Kuna anaejua kama hii itakubalika kwa bank?