Benki ipi haina makato makubwa sana?

Makato yake yakoje ukilinganisha na mabenk mengne
Nimetumia benki za wanainchi posta, nmb, crdb. hii ya mwisho usijaribu kama una ishu za kuunga unga unaweza Kuta balansi negativu. Ila kesho nitakutafutia makato Yao utanisamehe nafukuzana na kamseleleko, kuna mwana ana Bday sasa Bia zinakuja kwa Kasi napoteza pointi kwa kutaipu.
 
Hyo bank uloisema hapo n ya kishenz sana. Kuna kipindi walikujaga skuli wakajinasibu eti wanafungua account bure, heee cku nmeweka hela wakakata 30k duuuh nlinyoosha mikono
 
Hahahaha, dah uwezi amini mi nimesoma ni bank gani ambayo matako yake si makubwa. Nimesoma mara ya pili ndo nikaelewa

Stress ni mbaya asee
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji51]
 
Asnte sana mkuu
 
Kibubu bank hakina makato hata 0.00% unavyoweka ndo utakuta hivyo mkuu achana na hizo zenye makato pesa yako alafu wakate hamia kibubu bank utakuja nishukuru^
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…