Benki ipi ina fixed term deposit interest rate kubwa?

Benki ipi ina fixed term deposit interest rate kubwa?

Salaam!

Kuna anayejua ni bank gani Tanzania ina interest rate kubwa kuliko zote kwa fixed term deposit? Nina kama million thelathini hivi na sina mpango wa kufanya biashara ila nataka niziweke kwenye fixed account kwa muda wa mwaka mmoja ama miezi sita. Nimejaribu kuangalia information mtandaoni bila mafanikio -nipo nje ya nchi kwa sasa.

Tafadhali toa ezoefu wako kwenye maswala ya fixed accounts Tanzania - vitu gani huwa ni mitego ya bank kwa wateja wa fixed accounts?

Kuna mwenye mawazo mbadala -yaani kwa mtu mwenye Tzs30,000,000 ambaye yupo nje ya nchi anaweza kuwekeza kwenye nini na akapata faida?
natanguliza shukrani

Huwa zinabadilika kila bank kwa bank tofauti.kama bank ikiwa na upungufu wa deposit inaamua kutoa rate kubwa .nakushaur jaribu kuzungukia bank tofauti ili kupata rate kubwa na uchukua uamuzi kwa wakati.
 
jaribu FNB 6% per month fixed deposit unaweza kutoa hadi 15% kwa mwezi minimum deposit1,000,000 waone
 
FNB ni benki ipi mkuu?
Jamaa kakosea, nina account FNB napata 8.75% per YEAR! hakuna benki inayoweza kukupa 6% per month, fikiria ukiweka million 100 unapata millioni 72 kwaa mwaka! Si tungeacha kazi wote.

FNB ni First National Bank ni banki ya South Africa makao makuu Ohio Street opposite Serena/Sheraton Hotel.
 
Jamaa kakosea, nina account FNB napata 8.75% per YEAR! hakuna benki inayoweza kukupa 6% per month, fikiria ukiweka million 100 unapata millioni 72 kwaa mwaka! Si tungeacha kazi wote.

FNB ni First National Bank ni banki ya South Africa makao makuu Ohio Street opposite Serena/Sheraton Hotel.

Asante kwa update mkuu! Naona business ya fixed account ukiwa na vijisenti hailipi, ngoja niingie kwenye kutafuta hata plot ama shamba.
 
Asante kwa update mkuu! Naona business ya fixed account ukiwa na vijisenti hailipi, ngoja niingie kwenye kutafuta hata plot ama shamba.

Always ni muhimu kuangalia risk / reward / effort. Fixed deposit ina very low risk, low au moderate returns na zero effort kwa upande wako.
 
Sorry me naomba kuuliza kama bank zetu Tz,wanaallow fixed account deposits or even saving account deposits za foreign currency,eg usd, Euro or GBP for the seek of securing value of currency.
 
The Art of Borrowing.
The rich people are serious borrowers. Borrowing money is their cup of tea and signature. If you have never borrowed money, you will never lend money and cant lend it if you don’t have it. A bank is a broker between the poor and the rich. The only place where the two meet is in a bank. The poor brings the money & the rich takes it. A poor person saves the money because they have more money than their thinking capacity. So they keep the money there so they can go and think what to do with it. Rich people come to pick that money because they have many ideas than the money they have. So they come to pick that money to go and implement those great ideas. Only poor people operate savings and fixed deposit accounts. (No disrespect). Fixed deposit accounts are for the living dead. People who undertake and commit that they will not think about any idea for that money until the expiry of that period of time, otherwise they will be penalized. Rich people operate current accounts. Therefore, a bank exists
purposely for 2 reasons:
A) For the poor to bring in the money
B) For the rich to come & take it away.
Banks make more money from borrowers than
savers. Hence they respect the former more. Be a borrower and not a saver.
How confusing!
Buh,.....-Contemplating.
 
Back
Top Bottom