Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaaa.. umesahau kukosa hamu ya tendo la ndoa!Yafuatayo ni madhara ya kukopa:
1.kukonda
2.kukosa usingizi
3.trauma wakati wa kulala
4.kuwa na hasira muda wrote
5.kuvunja ndoa/uhusiano
6.kuhamisha watoto shule medium to kayumba
7.kulala njaa
8.kuchukia kila Bank/ATM unayoiona
9.kuuza vyombo au vitu vya ndani
10.kifikiria kuacha kazi au kuhama eneo unaloishi
11.kukosa hamu ya kazi
12.Presha isiyo tulia
13.kuchukia kila unapofika mwisho wa mwezi kwa sababu unajua Bank huna chako
14. Kuchukia watu/marafiki
15.kuongeza idadi ya maadui/wachawi
16.Kufa kihoro
17.nguo kupwaya
18.Kusingizia unahama nyumba kumbe kodi imekushinda
19.Kusahau sahau tarehe
20.Nyingine elezea kwa experience yako
Yafuatayo ni madhara ya kukopa:
1.kukonda
2.kukosa usingizi
3.trauma wakati wa kulala
4.kuwa na hasira muda wrote
5.kuvunja ndoa/uhusiano
6.kuhamisha watoto shule medium to kayumba
7.kulala njaa
8.kuchukia kila Bank/ATM unayoiona
9.kuuza vyombo au vitu vya ndani
10.kifikiria kuacha kazi au kuhama eneo unaloishi
11.kukosa hamu ya kazi
12.Presha isiyo tulia
13.kuchukia kila unapofika mwisho wa mwezi kwa sababu unajua Bank huna chako
14. Kuchukia watu/marafiki
15.kuongeza idadi ya maadui/wachawi
16.Kufa kihoro
17.nguo kupwaya
18.Kusingizia unahama nyumba kumbe kodi imekushinda
19.Kusahau sahau tarehe
20.Nyingine elezea kwa experience yako
Mkuu unataka kukopa pesa! Kama unakigari au kijumba ni bora uvisukume tu! Uongezee mtaji lakini sikushauri ukope manake unaweza kuvushwa barabara na mtoto mdogo.
True[emoji23] [emoji23] [emoji23]Yafuatayo ni madhara ya kukopa:
1.kukonda
2.kukosa usingizi
3.trauma wakati wa kulala
4.kuwa na hasira muda wrote
5.kuvunja ndoa/uhusiano
6.kuhamisha watoto shule medium to kayumba
7.kulala njaa
8.kuchukia kila Bank/ATM unayoiona
9.kuuza vyombo au vitu vya ndani
10.kifikiria kuacha kazi au kuhama eneo unaloishi
11.kukosa hamu ya kazi
12.Presha isiyo tulia
13.kuchukia kila unapofika mwisho wa mwezi kwa sababu unajua Bank huna chako
14. Kuchukia watu/marafiki
15.kuongeza idadi ya maadui/wachawi
16.Kufa kihoro
17.nguo kupwaya
18.Kusingizia unahama nyumba kumbe kodi imekushinda
19.Kusahau sahau tarehe
20.Nyingine elezea kwa experience yako
21. uhakika wa kuigia Jehhnam ni mkubwa sana maana unakua umetangaza ugovi na Mungu wako.Yafuatayo ni madhara ya kukopa:
1.kukonda
2.kukosa usingizi
3.trauma wakati wa kulala
4.kuwa na hasira muda wrote
5.kuvunja ndoa/uhusiano
6.kuhamisha watoto shule medium to kayumba
7.kulala njaa
8.kuchukia kila Bank/ATM unayoiona
9.kuuza vyombo au vitu vya ndani
10.kifikiria kuacha kazi au kuhama eneo unaloishi
11.kukosa hamu ya kazi
12.Presha isiyo tulia
13.kuchukia kila unapofika mwisho wa mwezi kwa sababu unajua Bank huna chako
14. Kuchukia watu/marafiki
15.kuongeza idadi ya maadui/wachawi
16.Kufa kihoro
17.nguo kupwaya
18.Kusingizia unahama nyumba kumbe kodi imekushinda
19.Kusahau sahau tarehe
20.Nyingine elezea kwa experience yako
Hii benk watanikopesha hata mimi mkristo? au wakiona jina langu tu wataninyima mkopo?Benki ya Waislam
Uislam hawabagui KAFIRI na asiye KAFIRI mkuuHii benk watanikopesha hata mimi mkristo? au wakiona jina langu tu wataninyima mkopo?
Kukosa hamu ya Kufanya MapenziYafuatayo ni madhara ya kukopa:
1.kukonda
2.kukosa usingizi
3.trauma wakati wa kulala
4.kuwa na hasira muda wrote
5.kuvunja ndoa/uhusiano
6.kuhamisha watoto shule medium to kayumba
7.kulala njaa
8.kuchukia kila Bank/ATM unayoiona
9.kuuza vyombo au vitu vya ndani
10.kifikiria kuacha kazi au kuhama eneo unaloishi
11.kukosa hamu ya kazi
12.Presha isiyo tulia
13.kuchukia kila unapofika mwisho wa mwezi kwa sababu unajua Bank huna chako
14. Kuchukia watu/marafiki
15.kuongeza idadi ya maadui/wachawi
16.Kufa kihoro
17.nguo kupwaya
18.Kusingizia unahama nyumba kumbe kodi imekushinda
19.Kusahau sahau tarehe
20.Nyingine elezea kwa experience yako
Kama ni hivyo baaas sitaki mkopo!Yafuatayo ni madhara ya kukopa:
1.kukonda
2.kukosa usingizi
3.trauma wakati wa kulala
4.kuwa na hasira muda wrote
5.kuvunja ndoa/uhusiano
6.kuhamisha watoto shule medium to kayumba
7.kulala njaa
8.kuchukia kila Bank/ATM unayoiona
9.kuuza vyombo au vitu vya ndani
10.kifikiria kuacha kazi au kuhama eneo unaloishi
11.kukosa hamu ya kazi
12.Presha isiyo tulia
13.kuchukia kila unapofika mwisho wa mwezi kwa sababu unajua Bank huna chako
14. Kuchukia watu/marafiki
15.kuongeza idadi ya maadui/wachawi
16.Kufa kihoro
17.nguo kupwaya
18.Kusingizia unahama nyumba kumbe kodi imekushinda
19.Kusahau sahau tarehe
20.Nyingine elezea kwa experience yako