Benki ipi nzuri ya kukopa

Benki ipi nzuri ya kukopa

mimi mwenyewe nazitafuta noti nizivute kwa wingi sittak kukopa kidogo nataka pesa nyingi tu
 
Yafuatayo ni madhara ya kukopa:
1.kukonda
2.kukosa usingizi
3.trauma wakati wa kulala
4.kuwa na hasira muda wrote
5.kuvunja ndoa/uhusiano
6.kuhamisha watoto shule medium to kayumba
7.kulala njaa
8.kuchukia kila Bank/ATM unayoiona
9.kuuza vyombo au vitu vya ndani
10.kifikiria kuacha kazi au kuhama eneo unaloishi
11.kukosa hamu ya kazi
12.Presha isiyo tulia
13.kuchukia kila unapofika mwisho wa mwezi kwa sababu unajua Bank huna chako
14. Kuchukia watu/marafiki
15.kuongeza idadi ya maadui/wachawi
16.Kufa kihoro
17.nguo kupwaya
18.Kusingizia unahama nyumba kumbe kodi imekushinda
19.Kusahau sahau tarehe
20.Nyingine elezea kwa experience yako
Kha, kama umeniandikia mimi. Ila umesahau maumivu ya kichwa yasiyosikia dawa! kula mlo mmoja kwa siku-
 
Yafuatayo ni madhara ya kukopa:
1.kukonda
2.kukosa usingizi
3.trauma wakati wa kulala
4.kuwa na hasira muda wrote
5.kuvunja ndoa/uhusiano
6.kuhamisha watoto shule medium to kayumba
7.kulala njaa
8.kuchukia kila Bank/ATM unayoiona
9.kuuza vyombo au vitu vya ndani
10.kifikiria kuacha kazi au kuhama eneo unaloishi
11.kukosa hamu ya kazi
12.Presha isiyo tulia
13.kuchukia kila unapofika mwisho wa mwezi kwa sababu unajua Bank huna chako
14. Kuchukia watu/marafiki
15.kuongeza idadi ya maadui/wachawi
16.Kufa kihoro
17.nguo kupwaya
18.Kusingizia unahama nyumba kumbe kodi imekushinda
19.Kusahau sahau tarehe
20.Nyingine elezea kwa experience yako
Matajiri wengi waliofanikiwa kiuchumi ni kwa sababu ya kuchukua mkopo,swala hapa ni elimu juu ya mikopo,hayo magonjwa yote tajwa hapo juu ni kwasababu mchukua mkopo hakuwa na elimu nzuri,mikakati thabiti na tahadhri juu ya mkopo anaochukua,mikopo inawatoa watu makini from nothing to something...... Wewe baki na hiyo dhana.....
 
Yafuatayo ni madhara ya kukopa:
1.kukonda
2.kukosa usingizi
3.trauma wakati wa kulala
4.kuwa na hasira muda wrote
5.kuvunja ndoa/uhusiano
6.kuhamisha watoto shule medium to kayumba
7.kulala njaa
8.kuchukia kila Bank/ATM unayoiona
9.kuuza vyombo au vitu vya ndani
10.kifikiria kuacha kazi au kuhama eneo unaloishi
11.kukosa hamu ya kazi
12.Presha isiyo tulia
13.kuchukia kila unapofika mwisho wa mwezi kwa sababu unajua Bank huna chako
14. Kuchukia watu/marafiki
15.kuongeza idadi ya maadui/wachawi
16.Kufa kihoro
17.nguo kupwaya
18.Kusingizia unahama nyumba kumbe kodi imekushinda
19.Kusahau sahau tarehe
20.Nyingine elezea kwa experience yako
 
1461043741668.jpg
hizi bank vipii ni kukosa umakini ama,
 
CRDB ila uandae kama 100,000/= ya kwenda na kurudi nyumbani maana kwa kalenda hawajambo. Meneja wa bank tawi husika akipata msiba basi hadi atakaporudi ndo unashughulikiwa. Access Bank wao hata siku tatu ni nyingi unakuwa ushaweka pesa kwenye biashara. Tatizo la Access Bank ukichelewesha rejesho hata siku moja wako tayari kukutangaza TBC ama Aljazeera na riba yao iko juu.
Hahahaha ati wanatangaza TBC
 
Ukikopa Tanzania Postal Bank hutojutia uamuzi wako Kamwe in terms of riba Na muda Wa kupata mkopo
 
Benk ya kukopa hapa tz ni crdb.. Zingine sawa kukopa ila kuuziwa nako ni fasta kama mkopo ulivo fasta
 
Back
Top Bottom