Omnabuzegwe
Member
- Aug 16, 2018
- 95
- 73
Ndugu zangu wataalamu wa Sheria ninaombeni mnisaidie kunifafanulia suala hili;
Kuna jamaa yangu alichukua mkopo wa Tshs. 10m kwenye moja ya benki hapa nchini, ambapo aliweka nyumba yake anayoishi na familia. Mkataba ulikuwa ni wa mwaka mmoja. Miezi miwili baada ya kupata mkopo huo,jamaa alivamiwa na majambazi na alinyang'anywa fedha zote.(alikuwa na biashara ya M-Pesa).
Hivyo jamaa alikwama kurejesha kwa wakati. Benki iliamua kuuza nyumba yake hata bila notisi (kwa maelezo yake). Ile nyumba iliuzwa tshs 9.9m tu lakini ni nyumba kubwa sana. Yeye mwenyewe anadai wakati anakopa kwenye mkataba maafsa wa benki waliikadiria kwa tshs. 50m, na wakat wanauza deni lake la mkopo lilikuwa tshs. 7.8m na waliuza nyumba miezi 4 kabla ya mkataba kuisha. Baadaye walikuja kumtoa nje kwa fujo na uharibifu wa vyombo vyake vingi sana.
Je,kwa mazingira hayo huyu jamaa afanye nini au ndiyo nyumba imeondoka hivyo?
Msaada wenu tafadhali ndugu zangu.
Kuna jamaa yangu alichukua mkopo wa Tshs. 10m kwenye moja ya benki hapa nchini, ambapo aliweka nyumba yake anayoishi na familia. Mkataba ulikuwa ni wa mwaka mmoja. Miezi miwili baada ya kupata mkopo huo,jamaa alivamiwa na majambazi na alinyang'anywa fedha zote.(alikuwa na biashara ya M-Pesa).
Hivyo jamaa alikwama kurejesha kwa wakati. Benki iliamua kuuza nyumba yake hata bila notisi (kwa maelezo yake). Ile nyumba iliuzwa tshs 9.9m tu lakini ni nyumba kubwa sana. Yeye mwenyewe anadai wakati anakopa kwenye mkataba maafsa wa benki waliikadiria kwa tshs. 50m, na wakat wanauza deni lake la mkopo lilikuwa tshs. 7.8m na waliuza nyumba miezi 4 kabla ya mkataba kuisha. Baadaye walikuja kumtoa nje kwa fujo na uharibifu wa vyombo vyake vingi sana.
Je,kwa mazingira hayo huyu jamaa afanye nini au ndiyo nyumba imeondoka hivyo?
Msaada wenu tafadhali ndugu zangu.