Pablo
JF-Expert Member
- Apr 2, 2017
- 2,441
- 2,545
Anakudharau huyu na baada ya kicheko atakutema mate ptuuu..Mkuu hicho kicheko cha pesa au cha furaha?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anakudharau huyu na baada ya kicheko atakutema mate ptuuu..Mkuu hicho kicheko cha pesa au cha furaha?
Kakutuma?Anakudharau huyu na baada ya kicheko atakutema mate ptuuu..
Msamehe bure huyo bwana mdogo.
Saul GodmanMshauri aendelee na maisha yake, maana aliye nje ndio mwenye makosa, life goes on maana alie ndani ata endelea ku apeal tu!
Vipesa kiduchu alivyo baki navyo heri atafute cha kufanya maana asipo kuwa mwangalifu mawakili watazimaliza zote walahi!View attachment 897969
Una mawazo ya kimaskini kabisa mkuu ungejua hao unaowaona matajiri ndo wakopaji wakuu,,kama uliweza kujenga nyumba ya milioni 50 kwa nini ulikopa.swali huwa lina nifanya nijipinde tu kama nilivo jenga ili nipate pesa
Kuna wakati mtu anatoa kauli ambayo inakupa kusimama kuendelea kujadiliana naye lolote,kwan mtu kudhania kwenda kukopa benki ni umasikini wa fikra inatosha umjue kuwa anachokisema hakijui. Angalau umejikaza wewe umemjibu bro...!Una mawazo ya kimaskini kabisa mkuu ungejua hao unaowaona matajiri ndo wakopaji wakuu,,
Sent using Jamii Forums mobile app
AiseeSina shaka hao watakuwa ni access bank,hao jamaa 2011 walimfanyia hivi ndugu yangu mmoja mpaka sasa hana ramani alirudi kijiji anapiga gongo tu.
Sent from my Redmi Note 5 using Tapatalk
Na hapa ndipo shida ilipo - Watu hukopa benki bila kutafakari kwa kina uwezo wao wa kilihudumia deni mpaka mwisho.kama uliweza kujenga nyumba ya milioni 50 kwa nini ulikopa.swali huwa lina nifanya nijipinde tu kama nilivo jenga ili nipate pesa
Mashariti yao ni rahic sana ila ukienda kinyume kidogo wanakuumiza kweli,, ...kabla ya kuchukua mkopo ni vyema kwenda kwa mwanw sheria kupata ushauliSina shaka hao watakuwa ni access bank,hao jamaa 2011 walimfanyia hivi ndugu yangu mmoja mpaka sasa hana ramani alirudi kijiji anapiga gongo tu.
Sent from my Redmi Note 5 using Tapatalk