Omnabuzegwe
Member
- Aug 16, 2018
- 95
- 73
- Thread starter
-
- #21
Eeh mr,so kwako wewe hiyo nyumba ishaenda aiache tu etii. Kwa mtazamo wako kitu kinaitwa sheria hakipo ni porojo tu?Mshauri aendelee na maisha yake, maana aliye nje ndio mwenye makosa, life goes on maana alie ndani ata endelea ku apeal tu!
Vipesa kiduchu alivyo baki navyo heri atafute cha kufanya maana asipo kuwa mwangalifu mawakili watazimaliza zote walahi!View attachment 897969
It depends walahiEeh mr,so kwako wewe hiyo nyumba ishaenda aiache tu etii. Kwa mtazamo wako kitu kinaitwa sheria hakipo ni porojo tu?
Karibu sana mkuu, nakutakia kila la heri.Ndiyo maana najivunia kuwa member wa JF kwani kimsingi kuna watu makini wenye majibu sahihi kwenye maswali magumu kwa wakati sahihi.
Niwashukuruni saana wataalamu wangu,ktk hili mmenikidhia haja yangu na huyu ndugu yangu. Ni kesho tu namwandamanisha kwa wanasheria tuianze safari ya kuitafuta haki,maana kuna mijitu(MUNGU anisamehe) imekuwa michovu ya kutafuta mali kwa njia halali na badala yake imebaki kusubir watu waliopata matatizo tu ili yaweke dhuluma..!
Nimekubali,hili ni jukwaa sahihi kuliishi!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mkuu hicho kicheko cha pesa au cha furaha?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hivi hawa wanalipa Consultancy Fee ?Mkuu hicho kicheko cha pesa au cha furaha?
Hahahaaaa...Hivi hawa wanalipa Consultancy Fee ?
Hahahaaaa...jamaa yangu sometime toa bure na MUNGU atakulipa zaidi tuuHivi hawa wanalipa Consultancy Fee ?
Ndugu zangu wataalamu wa Sheria ninaombeni mnisaidie kunifafanulia suala hili;
Kuna jamaa yangu alichukua mkopo wa Tshs. 10m kwenye moja ya benki hapa nchini,ambapo aliweka nyumba yake anayoishi na familia. Mkataba ulikuwa ni wa mwaka mmoja. Miezi miwili baada ya kupata mkopo huo,jamaa alivamiwa na majambazi na alinyang'anywa fedha zote.(alikuwa na biashara ya M-Pesa). Hivyo jamaa alikwama kurejesha kwa wakati. Benki iliamua kuuza nyumba yake hata bila notisi (kwa maelezo yake). Ile nyumba iliuzwa tshs 9.9m tu lkn ni nyumba kubwa sana. Yeye mwenyewe anadai wakati anakopa kwenye mkataba maafsa wa benki waliikadiria kwa tshs. 50m,na wakat wanauza deni lake la mkopo lilikuwa tshs. 7.8m na waliuza nyumba miezi 4 kabla ya mkataba kuisha. Baadaye walikuja kumtoa nje kwa fujo na uharibifu wa vyombo vyake vingi sana.
Je,kwa mazingira hayo huyu jamaa afanye nini au ndiyo nyumba imeondoka hivyo?
Msaada wenu tafadhali ndg zangu
Mkuu principle uliyoiandika hapo ina-aply pale tu mtu atakapomaliza mkopo wake benki inapaswa kumrudishia nyumba na si vinginevyo.“Once a Mortgage, Always a Mortgage” Haya mabenki wanapata wapi nguvu na ujasiri wa kuuza nyumba za watu kirahisi, sheria ya ardhi inayohusiana na mortagage iliishia wapi?
Kwa kuwa huku unapewa ushauri bila ya kuchajiwa,unamlostisha mwenzako mpeleke kwa Mwanasheria suala lake lishughulikiwe haraka,sio unakuja huku unadesa then unaenda kumjibu jamaa yakoBoss ndiyo sababu nimeanzia kwa wataalamu tulionao humu ndani ili nipate picha ya kile tunaweza tufanye..ahsante!
Yaani inatisha bro,na hapo ni mtaa fulani jijini Mwz. Na nikutishe zaidi,jamaa yeye kiwanja alikinunua 7m tshs!Du hata kama ni Deni sio kwa bei hiyo ya KUTUPA.
Biashara inao msukumo wa asili kukupeleka kukopa. Labda km huishi kwa kazi ya ujasiriamalikama uliweza kujenga nyumba ya milioni 50 kwa nini ulikopa.swali huwa lina nifanya nijipinde tu kama nilivo jenga ili nipate pesa
Ni ngumu mahakama kubatilisha hayo mauzo maana Mnunuzi anachukuliwa kama Bonafide purchaser kwahiyo remedy rahisi ni kulipwa fidia na bankMahakama ikibatilisha tu uuzwaji ananyang'anywa inarudi kwenye possession bank cuz ya mkopo but ownership inabaki kwa huyo ndugu/frnd wako. Alieuziwa ata-deal na bank baada ya kunyang'anywa na mahakama.
Chief kama proper procedure hazikufatwa then mnada unakuwa VOID AB INITIO.Ni ngumu mahakama kubatilisha hayo mauzo maana Mnunuzi anachukuliwa kama Bonafide purchaser kwahiyo remedy rahisi ni kulipwa fidia na bank
Talking ov experience, tumelamba kichwa cha mtu na CRDB kulikuwa na scenario kama hiiNi ngumu mahakama kubatilisha hayo mauzo maana Mnunuzi anachukuliwa kama Bonafide purchaser kwahiyo remedy rahisi ni kulipwa fidia na bank