Benki sasa zinaishiwa shilingi, hii tunaitaje kiuchumi?

Mwande na Mndewa

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2021
Posts
1,117
Reaction score
3,153
Baada ya benki kuishiwa Dola, Sasa benki nyingi zinaishiwa shilingi.

Nini maana yake?

Je, watu wanahamisha mitaji kwenda kuitafuta Dola?

Je, mzunguko wa shilingi umezuiwa na Dola?

Je, Wafanyabiashara hawauzi bidhaa na kupata shilingi?

Je, Wafanyabiashara Sasa wanapokea dola kutoka kwa wateja Ili waweze kuagiza mizigo, kwa sababu kuagiza mzigo China lazima uwe na Dola?
 
Mara ya mwisho nilienda bank nikaambiwa USD hamna! Sasa hivi mpaka TZS nazo hamna?
 
Bank gani hyo hakuna Tsh?
 
Bila uthibitisho uzi huu ufutwe
 
Dola impacts 🤣🤣

Anyway uzushi sio Dili mtoa mada
 
Ili kufanya huduma za benki kuna mambo mengi yanaangaliwa ikiwemo mtaji ambao chini kabisa ni bn 5.Wataalamu wa fedha.Ukaguzi wa mara kwa mara nk.
Mtoa mada hakuna kitu kama hicho labda kama benki husika inataka kufunga huduma zake kwenye eneo husika
 
Msipike data kumchafua mama. Mama anaupiga mwingi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…