Gidbang
JF-Expert Member
- Jun 1, 2014
- 4,482
- 3,999
Usijipe hofu ndgu Kasomea Kitabu kinachoitwa The power of now E Tole Hela zenyewe hatujawahi pataBaada ya benki kuishiwa Dola, Sasa benki nyingi zinaishiwa shilingi.
Nini maana yake?
Je, watu wanahamisha mitaji kwenda kuitafuta Dola?
Je, mzunguko wa shilingi umezuiwa na Dola?
Je, Wafanyabiashara hawauzi bidhaa na kupata shilingi?
Je, Wafanyabiashara Sasa wanapokea dola kutoka kwa wateja Ili waweze kuagiza mizigo, kwa sababu kuagiza mzigo China lazima uwe na Dola?