CHAMA CHAMA
Member
- Aug 12, 2017
- 77
- 58
- Thread starter
-
- #21
Absolutely yes Idofi. Yaaani labda itakayosalimika ni Tanzania Women Bank , kwakuwa nimeona kwene makala Beno Ndulu anasema NMB itaisupport. So kama NMB wameweka mkono basi ndo pona yao kwa asilimia zisizozidi 40% kwakuwa kurudisha trust kwa wateja ni ngumu sanakwa kuziweka chini ya uangalizi watu wengi watatoa pesa zao na kuzifanya zikose sifa hivyo uwezakano mkubwa zitafungwa
Daaaahhhh nawaonea huruma waajiriwa. Janga la tatizo la ajira linazidi kuwa kubwa.Brother Jero ,
Mkuu,
Banks zote huwa chini ya uangalizi wa BOT from stage zero (initial ) to their maturity stages though BOT keeps its wide eyes on monitoring and evaluating the financial cycling.
Ila sasa, majanga rasmi huja pale inapotangazwa kama hicho kilichotangazwa mbele za umma kuwa sasa rasmi bank fulani na fulani zitakuwa chini ya uangalizi na usimamizi wa BOT.
Kwa kifupi, hatua hiyo inapotangazwa ni kwamba asilimia za kufutwa na kufirisiwa huwa ni 90%.
Kupona kutoka kwenye hilo panga la BOT huwa ni 10% tu.
Vijana waongeze maombi sasa ili nao wasijeishi kama mapepo na mashetani baada ya kufutwa benk zao.
Alafu tunaambiwa uchumi unakuwa. Labda unakuwa kwenda chini, kwakuwa hivyo navyo ni kukuaItakuwa ni vita vya kiuchumi mbona uchumi unakuwa au nao ni wapiga dili kama wale wakulima wa mbaazi.Kuucheza mpira ni rahisi sana ukiwa nje.
Kweli hii Kilimanjaro cooperative Bank ,pamoja na kuwekwa chino ya uangalizi,ninashauri vyombo vya usalama, kufuatilia hii bank, hali sio shwari hats kidogo,ikiwa Ni pamoha na kufuatilia watumishi WA hiyo bank,pamoja na meneja aliyeko na aliyestaafu. Ninakubaliana na mwendo WA serikali yangu,hakuna longo longo.Siku chache zilizipita , BOT imezifungia benki tano na kuziweka chini ya uangalizi benki nyingine tatu ambazo ni Kilimanjaro corperative Bank, Tanzania Women's Bank and Tandahimba Community Bank Limited.
Nimejaribu kutafakari nini maana ya kusema to the public kuwa unaziweka chini ya uangalizi. Hii ni kusema kuwa umezipa muda wa miezi sita tu then zifugwe. Naona bado hujanielewa, nina maana kuwa hakuna mtu ambaye mwenye deposit kule alafu akaacha hela zake kule zimekaa tu na wakati hapo hapo BOT imesema katika Benki zilizofungwa kiwango cha juu cha kurudishiwa hela kwa wale wenye deposit kule ni TZS 1,500,000/= tu.
Sasa sina uhakika kama watanzania wenye deposit kule au Benki nyingine zenye deposit zitaacha hela zao kule. Kwahiyo baada ya Miezi sita sina uhakika sana kama hizi benki zitaendelea kuwepo.
Unashauri BOT ingetumia ushauri gani katima bank hizi tatu. Toa maoni yako
Hizo ndio sehemu za wajanja kuvuna wasipopanda. Acha zifie mbaliMbona Tanzania Women's Bank tuliambiwa inafanya vzr?
Mungu atusaidieBrother Jero ,
Mkuu,
Banks zote huwa chini ya uangalizi wa BOT from stage zero (initial ) to their maturity stages though BOT keeps its wide eyes on monitoring and evaluating the financial cycling.
Ila sasa, majanga rasmi huja pale inapotangazwa kama hicho kilichotangazwa mbele za umma kuwa sasa rasmi bank fulani na fulani zitakuwa chini ya uangalizi na usimamizi wa BOT.
Kwa kifupi, hatua hiyo inapotangazwa ni kwamba asilimia za kufutwa na kufirisiwa huwa ni 90%.
Kupona kutoka kwenye hilo panga la BOT huwa ni 10% tu.
Vijana waongeze maombi sasa ili nao wasijeishi kama mapepo na mashetani baada ya kufutwa benk zao.
kama nadaiwa na Bank na imefilisika vipi marejesho ya mkopo wangu yatakuwsa je?Kwakweli inabidi maamuzi yanayochukulia na viongozi wetu lazima watafakari impact yake baadae. Ila labda uamuzi wao ni kuziondoa sokoni , so kama huo ndo uamuzi wao basi maamuzi waliyochukua yatafanikisha uamuzi wao, kama sivyo basi nadhani ni muda muafaka wa kujifunza impact itakayotokea
kama nradaiwa mkopo na bank iliyofilisiki vipi marejesho ya mkopo yatakuwa je?Absolutely yes Idofi. Yaaani labda itakayosalimika ni Tanzania Women Bank , kwakuwa nimeona kwene makala Beno Ndulu anasema NMB itaisupport. So kama NMB wameweka mkono basi ndo pona yao kwa asilimia zisizozidi 40% kwakuwa kurudisha trust kwa wateja ni ngumu sana
Tumegundua wakopaji sio women's BT ni men's...[HASHTAG]#tatizo[/HASHTAG]Mbona Tanzania Women's Bank tuliambiwa inafanya vzr?
Kila ukiamka unazipapasa unatulia[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kivyako umenichekesha sana. Huko si ndo balaa zaidi. Au bora uwe unaziona kila ukiamka
Au wao ndo wamechangia kuipiga down? Kama ni hivyo mmmmmmKweli hii Kilimanjaro cooperative Bank ,pamoja na kuwekwa chino ya uangalizi,ninashauri vyombo vya usalama, kufuatilia hii bank, hali sio shwari hats kidogo,ikiwa Ni pamoha na kufuatilia watumishi WA hiyo bank,pamoja na meneja aliyeko na aliyestaafu. Ninakubaliana na mwendo WA serikali yangu,hakuna longo longo.
Lini walipewa CRDB?Mbona tandahimba community bank iko chin ya uangalizi wa BOT na wamepewa crdb kuiendesha au nao crdb wamechemka???
Ninavyoelewa wanaifuatilia ila sasa wengi nadhani hawarudishi kwakuwa tayari unakuta Employeee washapepea. Kwahiyo kuifuatilia inakuwa kazi sana.kama nradaiwa mkopo na bank iliyofilisiki vipi marejesho ya mkopo yatakuwa je?
Tang 2006Lini walipewa CRDB?