Brother Jero ,
Mkuu,
Banks zote huwa chini ya uangalizi wa BOT from stage zero (initial ) to their maturity stages though BOT keeps its wide eyes on monitoring and evaluating the financial cycling.
Ila sasa, majanga rasmi huja pale inapotangazwa kama hicho kilichotangazwa mbele za umma kuwa sasa rasmi bank fulani na fulani zitakuwa chini ya uangalizi na usimamizi wa BOT.
Kwa kifupi, hatua hiyo inapotangazwa ni kwamba asilimia za kufutwa na kufirisiwa huwa ni 90%.
Kupona kutoka kwenye hilo panga la BOT huwa ni 10% tu.
Vijana waongeze maombi sasa ili nao wasijeishi kama mapepo na mashetani baada ya kufutwa benk zao.