CHAMA CHAMA
Member
- Aug 12, 2017
- 77
- 58
Siku chache zilizipita , BOT imezifungia benki tano na kuziweka chini ya uangalizi benki nyingine tatu ambazo ni Kilimanjaro corperative Bank, Tanzania Women's Bank and Tandahimba Community Bank Limited.
Nimejaribu kutafakari nini maana ya kusema to the public kuwa unaziweka chini ya uangalizi. Hii ni kusema kuwa umezipa muda wa miezi sita tu then zifugwe. Naona bado hujanielewa, nina maana kuwa hakuna mtu ambaye mwenye deposit kule alafu akaacha hela zake kule zimekaa tu na wakati hapo hapo BOT imesema katika Benki zilizofungwa kiwango cha juu cha kurudishiwa hela kwa wale wenye deposit kule ni TZS 1,500,000/= tu.
Sasa sina uhakika kama watanzania wenye deposit kule au Benki nyingine zenye deposit zitaacha hela zao kule. Kwahiyo baada ya Miezi sita sina uhakika sana kama hizi benki zitaendelea kuwepo.
Unashauri BOT ingetumia ushauri gani katima bank hizi tatu. Toa maoni yako
Nimejaribu kutafakari nini maana ya kusema to the public kuwa unaziweka chini ya uangalizi. Hii ni kusema kuwa umezipa muda wa miezi sita tu then zifugwe. Naona bado hujanielewa, nina maana kuwa hakuna mtu ambaye mwenye deposit kule alafu akaacha hela zake kule zimekaa tu na wakati hapo hapo BOT imesema katika Benki zilizofungwa kiwango cha juu cha kurudishiwa hela kwa wale wenye deposit kule ni TZS 1,500,000/= tu.
Sasa sina uhakika kama watanzania wenye deposit kule au Benki nyingine zenye deposit zitaacha hela zao kule. Kwahiyo baada ya Miezi sita sina uhakika sana kama hizi benki zitaendelea kuwepo.
Unashauri BOT ingetumia ushauri gani katima bank hizi tatu. Toa maoni yako