Benki ya CRDB inatoa mikopo ya kuanzia Sh. Laki 5 hadi Sh. Milioni 50 isiyo na riba ndani ya siku 50 za kwanza, kwa wateja wenye kadi zake mpya za kutolea fedha za Mastercard Gold Credit na Master Card World Reward
Huduma hiyo ilianza kutolewa rasmi Februari 21, mikopo hiyoitaanza kutozwa riba ya asilimia 5 baada ya siku 50 za mwanzo kupita
View attachment 716970