Benki ya CRDB yafanya kufuru, yatoa mikopo hadi mil 50 bila riba

Benki ya CRDB yafanya kufuru, yatoa mikopo hadi mil 50 bila riba

Benki ya CRDB inatoa mikopo ya kuanzia Sh. Laki 5 hadi Sh. Milioni 50 isiyo na riba ndani ya siku 50 za kwanza, kwa wateja wenye kadi zake mpya za kutolea fedha za Mastercard Gold Credit na Master Card World Reward

Huduma hiyo ilianza kutolewa rasmi Februari 21, mikopo hiyoitaanza kutozwa riba ya asilimia 5 baada ya siku 50 za mwanzo kupita

View attachment 716970

Such as Lie!
 
Back
Top Bottom