Benki ya Dunia imefichua ukweli kuwa lindi la umasikini linaongezeka kwa watanzania!

Peperusha benderaaaa Mkuu
 
Umasikini ndio mtaji mkuu kwa CCM, yaani bila umasikini kusingekuwa na CCM, na pia kumbuka hawako tiyali kuona umasikini unaisha.

Angalia maeneo yenye umasikini mkubwa CCM ilivyo na nguvu
Kwa nini Chadema isitumie umaskini wa Watanzania kama kete ya kupata kura? Au nyie mnategemea itakuaje labda? 😁😁

Wale ambao Huwa mnawasomba kwenye maandamano na mnapigwa na picha ni maskini au matajiri?
 
Yule jamaa juzi kasema tuko vizuri tumejaza Namba E za Magari

Yule jama hana PhD fake kweli?
Wewe hujamuelewa maana yake.

Namba E kwenye chakula ni msosi wa mwisho yaani ugali na mboga mboga au uji Na ndizi kiufupi Ni msosi wa shambani
 
Nchi ya Tanzania inajengwa na wenye moyo na kuliwa na wenye meno
 
Ukiona hayo hapo Juu ndio maendeleo yenyewe.

Inflation haikokotolewi Kwa bidhaa 1 Bali Kwa selected commodities na Kuna bass line.

Nilitegemea Machado muwe mnakuja na takwimu tofauti Sasa Kwa kuwa nyie ni mbumbumbu mnaleta blaa blaa.

Machadomo yamejaza wanasheria na mbulula wengine kujihami na kesi ila hakuna Wasomi na fani zingine 🤪🤪
 
Tutakapoacha kupokea misaada ndipo tutaanza kuendelea.
Misaada inawanufaisha wazungu zaidi kuliko waafrika.
Wanatupa misaada ili kuchukua baraka zetu,wao wakiendelea sisi tukiachiwa laana ya tuzidi kuwa masikini.
Wanajua wasipotusaidia tutaendelea tukiendelea watashindwa kutunyonya.
 
Lucas mwashambwa na ChoiceVariable watakuja hapa waseme wananchi wanabubujikwa machozi ya furaha kwa kazi nzuri ya sa100. Wakati watu wanashindia mlo mmoja, purchasing power iko chini, yaani ukienda sokoni unakuta mwanaume mzima ananunua nyanya za jero, vitunguu vya jero, hoho za jero, dagaa za buku..halafu unasema uchumi umekuwa.
Futseke zenu.!!
 
Ukweli usemwe kwamba GDP per capita na Purchasing power kwa Tanzania ndiyo vinavyotuangusha na ndo hasa maana ya uchumi kushuka..
Bado nauliza swali langu unaelewa maana ya uchumi kukua?

Ukitaja hizo parameters nitakwambia zimeongezeka na Sasa tuko kwenye wastani wa 2.8mln per year ambayo ni Juu ya wastani wa umaskini ndio maana tuko uchumi wa Kati wa Chini.

Swala liwe Je kiwango hicho kinatosha swali ni Bado hakitoshi more juhudi zinatakiwa.
 
Umasikini wa mtu,nchi ni matokeo ya fikra na sio mazingira
 
Watu wangapi hao wanaoshindia mlo mmja? Na wapi huko? Nitajie
 
Ufisadi wizi na upigaji ni asili ya mwafrika ni vile TU wewe haujapata nafasi hio ya kuiba
 
Watu wangapi hao wanaoshindia mlo mmja? Na wapi huko? Nitajie
Tema mate chini pana watu wanakula mara tatu kwa wiki unasema nini wewe yaani akila Leo kesho anapitisha kavu Hadi kesho kutwa angalau ili asife.
Ukishiba ni rahisi kuamini kila mtu anashiba
 
Tatizo watz wengi ni maskini ila lipo kundi la dogo la watu wenye vipato imara.
 
Nitolee takwimu zako uchwara hapa, purchasing power ya mtanzania iko chini sana, vipato vya watu havikidhi gharama za uendeshaji maisha.
Iko chini sana kulinganisha na wakati gani au na nani labda? Ingekuwa chini sana Uchumi unge collapse.

Nyie punguani wa chadomo mnachojua ni mambo ya sheria na kesi ,huku kwenye uchumi nyie nyumbu na mbumbumbu tuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…