ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Kwani Chadema hamuwezi kuwapa watu kanga,t-shirt kofia nk mkapafa kura?na CCM ndio wanafurahia make ndio mtaji wao, hapo ni kanga, tshirt na kofia kazi kwisha.
Hakuna tajiri anaye weza hongwa kofia,
Peperusha benderaaaa Mkuuupotoshaji ni hatua mbaya sana ya kukosa hoja,
lakini zaidi sana imani potofu kwa watu wa nje, eti wao ndio wanatathmini, kipima na kutuambia sisi ni maskini na jamaa mvivu anaamini na kuchukua jambo hilo eti ndio hoja 😀
Tanzania hatujafukia na wala hatutafukia liwango cha umaskini kama ambavyo kimepotoshwa na wapotoshaji wanao sapotiana apo juu...
that is useles and none sense...
Kwa nini Chadema isitumie umaskini wa Watanzania kama kete ya kupata kura? Au nyie mnategemea itakuaje labda? 😁😁Umasikini ndio mtaji mkuu kwa CCM, yaani bila umasikini kusingekuwa na CCM, na pia kumbuka hawako tiyali kuona umasikini unaisha.
Angalia maeneo yenye umasikini mkubwa CCM ilivyo na nguvu
Wewe hujamuelewa maana yake.Yule jamaa juzi kasema tuko vizuri tumejaza Namba E za Magari
Yule jama hana PhD fake kweli?
Ukweli usemwe kwamba GDP per capita na Purchasing power kwa Tanzania ndiyo vinavyotuangusha na ndo hasa maana ya uchumi kushuka..Hali halisi ikoje? Unaelewa maana ya uchumi kukua?
Nchi ya Tanzania inajengwa na wenye moyo na kuliwa na wenye menoTofauti na propaganda za serikali ya wanaccm za kila mwaka, kuwa uchumi wa watanzania unakuwa kwa asilimia kubwa kila mwaka, benki ya Dunia imewashushua waendesha propaganda hizo kwa kueleza ukweli kuwa hali ya maisha ya watanzania walio wengi, hususani wale wa hali ya chini, inazidi kudorora, jinsi miaka inavyokwenda mbele.
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa juzi na Benki ya Dunia, inaeleza kuwa watanzania waliokuwa wakiishi katika hali ya umasikini sana, chini ya dollar moja ya kimarekani, imeongezeka kutoka watanzania milioni 14 mwaka 2018 hadi kufikia zaidi ya watanzania milioni 17 mwishoni maa mwaka 2023.
Taarifa hiyo inapingana vikali na taarifa za (kupikwa) zinazotolewa kila mwaka na serikali hii ya CCM, kuwa hali ya maisha ya watanzania inazidi kuboreka kila mwaka!
Wakati watanzania kila mwaka wanaendelea kulalamika kuhusu gharama za maisha kupanda, serikali ya CCM, imeendelea kutupiga propaganda kuwa hali za maisha ya watanzania inazidi kuboreka kila mwaka.
Katika hali halisi, ingawa benki ya Dunia, imekiri kuwa kuna ongezeko la ukuaji wa uchumi nchini wa asilimia kama 5 hivi, lakini imetahadharisha kuwa ongezeko hilo linawafaidisha watanzania wachache ambao ni matajiri.
Kwa hiyo Benki ya Dunia imetutegulia kitendawili cha muda mrefu kilichokuwa kinawasunbua watanzania walio wengi kuwa maisha ya watanzania yanazidi kudorora jinsi siku zunavyozidi kusonga mbele.
Ukiona hayo hapo Juu ndio maendeleo yenyewe.Msosi ushakuwa anasa kwenye nchi hii
- ma LC300 kila kona ya nchi kwa kila kiongozi kuanzia level ya idara serikalini
- Discovery ni kwa wale wote walioibukia kipindi cha mama na Forester, CRV, Volvo TC, Highlander, Vanguard, Lexus, Harrier kalio la ngedere, ML, BMW X1, 3 na 5 n.k ikiwa ndo watumishi wenye mianya yao na wafanyabiashara wa kawaida!
- Dualis, Rumion, IST, n.k imekuwa ni kwa wale waliokosa namna ndani ya kizimkazi
Sasa hilo kundi hapo juu, halizidi watu milioni moja kwa Dar es salaam na milioni 5 kwa nchi nzima.
Watu zaidi ya milioni 50 wa hili pande la ardhi, ndio hao wanasubiri ruzuku na makombo yanayobakia mezani baada ya hao wezi kusaza.
Nimesikia kiongozi wao kasema, mihela yote inaelekezwa kuhonga wapiga kura kwenye hizi siku 731.5 sijazo.
Ukiingia kwenye data zao, inflation haijawahi kufika 5, ukiangalia bidhaa moja kubwa inayoadhiri kila kitu, ime-inflate kwa takribani mara mbili na kusababisha kila kitu kitikisike, bado wasomi wanasema inflation ni 3.5%....nadhani mwenzao aliposema kule wanakopewa hayo maarifa ni jalalani, alikuwa 99.99% sawia.
Bado nauliza swali langu unaelewa maana ya uchumi kukua?Ukweli usemwe kwamba GDP per capita na Purchasing power kwa Tanzania ndiyo vinavyotuangusha na ndo hasa maana ya uchumi kushuka..
Watu wangapi hao wanaoshindia mlo mmja? Na wapi huko? NitajieLucas mwashambwa na ChoiceVariable watakuja hapa waseme wananchi wanabubujikwa machozi ya furaha kwa kazi nzuri ya sa100. Wakati watu wanashindia mlo mmoja, purchasing power iko chini, yaani ukienda sokoni unakuta mwanaume mzima ananunua nyanya za jero, vitunguu vya jero, hoho za jero, dagaa za buku..halafu unasema uchumi umekuwa.
Futseke zenu.!!
Tema mate chini pana watu wanakula mara tatu kwa wiki unasema nini wewe yaani akila Leo kesho anapitisha kavu Hadi kesho kutwa angalau ili asife.Watu wangapi hao wanaoshindia mlo mmja? Na wapi huko? Nitajie
Nitolee upumbavu wako ewe mchumi uchwara, unataka nikutajie watu 5,000 wanashindoa mlo mmoja?Watu wangapi hao wanaoshindia mlo mmja? Na wapi huko? Nitajie
Kila kitu kinaenda Kwa takwimu acha upumbavu wako hapa 👇Nitolee upumbavu wako ewe mchumi uchwara, unataka nikutajie watu 5,000 wanashindoa mlo mmoja?
Nitolee takwimu zako uchwara hapa, purchasing power ya mtanzania iko chini sana, vipato vya watu havikidhi gharama za uendeshaji maisha.Kila kitu kinaenda Kwa takwimu acha upumbavu wako hapa 👇
View: https://www.instagram.com/reel/C3qFf3BN00u/?igsh=bW12ZWN5YWF6dXAw
Iko chini sana kulinganisha na wakati gani au na nani labda? Ingekuwa chini sana Uchumi unge collapse.Nitolee takwimu zako uchwara hapa, purchasing power ya mtanzania iko chini sana, vipato vya watu havikidhi gharama za uendeshaji maisha.