Benki ya Dunia imefichua ukweli kuwa lindi la umasikini linaongezeka kwa watanzania!

Benki ya Dunia imefichua ukweli kuwa lindi la umasikini linaongezeka kwa watanzania!

Bado nauliza swali langu unaelewa maana ya uchumi kukua?

Ukitaja hizo parameters nitakwambia zimeongezeka na Sasa tuko kwenye wastani wa 2.8mln per year ambayo ni Juu ya wastani wa umaskini ndio maana tuko uchumi wa Kati wa Chini.

Swala liwe Je kiwango hicho kinatosha swali ni Bado hakitoshi more juhudi zinatakiwa.
Tanzania kwa Sasa ina GDP per capital ya USD 1116 kwa mwaka huu 2024..
Wakati mwaka 2022 ilikuwa na GDP per capita ya $1192
Tunarudi Nyuma na kupiga maktaimu mule mule..

Huku nchi inakumbwa na 3% inflation..

Tukumbuke juzi tu hapa 2022, purchasing power parity ya United Republic of Tanzania ilikuwa 886.1 LCU per international dollars.

Tukiwa na Human Development Index(HDI) Ya chini ya 0.6 points..
Bado.mnataka Tusiseme kuwa nchi inaelekea kwenye umaskini licha ya kuwa na GDP kubwa zaidi $Bilion 200
 
Uchumi utakuaje wakati kuna mashirika ya umma kama TTCL wanadai 3billion lakini hawajui wanamdai nani. (ripoti ya CAG, 2023)
 
Tanzania kwa Sasa ina GDP per capital ya USD 1116 kwa mwaka huu 2024..
Wakati mwaka 2022 ilikuwa na GDP per capita ya $1192
Tunarudi Nyuma na kupiga maktaimu mule mule..

Huku nchi inakumbwa na 3% inflation..

Tukumbuke juzi tu hapa 2022, purchasing power parity ya United Republic of Tanzania ilikuwa 886.1 LCU per international dollars.

Tukiwa na Human Development Index(HDI) Ya chini ya 0.6 points..
Bado.mnataka Tusiseme kuwa nchi inaelekea kwenye umaskini licha ya kuwa na GDP kubwa zaidi $Bilion 200
Hizi takwimu umezitoa wapi? Uwe unaiweka supporting evidence Mimi sio mwanasiasa au mbumbumbu wa Kushabikia Kila kinachosemwa.

Weka hapa evidence ndio nianze kutoa maelezo.
 
Temeke kwa sasa wananchi wengi wanakula mlo mmoja kwa siku, ugali mtupu kwenye familia unapikwa saa 10 jioni , kila mtu atafute mboga yake , hakuna Chai wala uji asubuhi

Nakulilia Tanzania
Ndio maana Deusdetit Soka kapigwa kibao kimoja tu yuko hoi, kumbe ni mlo mmoja Ndio Sababu 🐼🐼
 
Hizi takwimu umezitoa wapi? Uwe unaiweka supporting evidence Mimi sio mwanasiasa au mbumbumbu wa Kushabikia Kila kinachosemwa.

Weka hapa evidence ndio nianze kutoa maelezo.
Takwimu zote zinapatikana kwenye Tovuti ya World Bank na World Economics..
Screenshot_20240314_091802_Chrome.jpg

Ni nyingi zana ukienda huko utaziona..
 
Nitolee takwimu zako uchwara hapa, purchasing power ya mtanzania iko chini sana, vipato vya watu havikidhi gharama za uendeshaji maisha.
acha uvivu chapa kazi, maisha yanaendeshwa kwa kufanya kazi kwa maarifa na kwa bidii...
 
obvious wap bana wewe furahisha genge tu na amsha matuamaini ya wakosoaji....
Kwamba Mpaka WB waseme kuwa umasikin unaongezeka bas ndio utaamini lakin wewe huwez kuona kwa akil zako kuwa hali ya maisha inazid kudidimia kwa watanzani?.

Pole sana ndugu yangu.Niwape pole na waliokuzaa
 
Kwamba Mpaka WB waseme kuwa umasikin unaongezeka bas ndio utaamini lakin wewe huwez kuona kwa akil zako kuwa hali ya maisha inazid kudidimia kwa watanzani?.

Pole sana ndugu yangu.Niwape pole na waliokuzaa
huna haja ya kuhurumia waTanzania wenye bidii wanaoendelea kuchapa kaz zao halali za kijipatia kipato kwa Amani...

hakuna umaskini huo unao uhubiri Tanazani tuko vizuri, uelekeo wa kiuchumi ni mzuri zaidi....
 
Temeke kwa sasa wananchi wengi wanakula mlo mmoja kwa siku, ugali mtupu kwenye familia unapikwa saa 10 jioni , kila mtu atafute mboga yake , hakuna Chai wala uji asubuhi

Nakulilia Tanzania
Ukiupata huo ugali shukuru Mungu.Wapo ambao hata kuupata ni tabu.Kodi za chumba ni tabu kulipia.Hebu wasomi waelekezeni wananchi,wafanye miradi gani,ili wajikwamue kiuchumi.
 
Takwimu zote zinapatikana kwenye Tovuti ya World Bank na World Economics..
View attachment 2934101
Ni nyingi zana ukienda huko utaziona..
Population growth imeathiri pakubwa sana inatakiwa Ukuaji wa Uchumi uongezwe Kwa Serikali kuweka miundombinu ya uchumi Mikoani kama umeme,maji na Barabara.

Utafiti uko wazi kwamba growth rate ya 7%-10% at least Kwa miaka 10 mfululizo ndio unaweza kuwa na trickle down effects kubwa kuliko huu wa 5-6%

This is not enough 👇👇

View: https://twitter.com/AnnaSarungi/status/1768184030560649572?t=NBHK8uG4DGMmVUqyZSM24A&s=19
 
Temeke kwa sasa wananchi wengi wanakula mlo mmoja kwa siku, ugali mtupu kwenye familia unapikwa saa 10 jioni , kila mtu atafute mboga yake , hakuna Chai wala uji asubuhi

Nakulilia Tanzania
hayo ni maisha yako siyo ya wengi tatizo umekalia umbea hapa jf hutaki kufanya kazi wenzio wanakula milo mi3 kwa siku
 
Tofauti na propaganda za serikali ya wanaccm za kila mwaka, kuwa uchumi wa watanzania unakuwa kwa asilimia kubwa kila mwaka, benki ya Dunia imewashushua waendesha propaganda hizo kwa kueleza ukweli kuwa hali ya maisha ya watanzania walio wengi, hususani wale wa hali ya chini, inazidi kudorora, jinsi miaka inavyokwenda mbele.

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa juzi na Benki ya Dunia, inaeleza kuwa watanzania waliokuwa wakiishi katika hali ya umasikini sana, chini ya dollar moja ya kimarekani, imeongezeka kutoka watanzania milioni 14 mwaka 2018 hadi kufikia zaidi ya watanzania milioni 17 mwishoni maa mwaka 2023.

Taarifa hiyo inapingana vikali na taarifa za (kupikwa) zinazotolewa kila mwaka na serikali hii ya CCM, kuwa hali ya maisha ya watanzania inazidi kuboreka kila mwaka!

Wakati watanzania kila mwaka wanaendelea kulalamika kuhusu gharama za maisha kupanda, serikali ya CCM, imeendelea kutupiga propaganda kuwa hali za maisha ya watanzania inazidi kuboreka kila mwaka.

Katika hali halisi, ingawa benki ya Dunia, imekiri kuwa kuna ongezeko la ukuaji wa uchumi nchini wa asilimia kama 5 hivi, lakini imetahadharisha kuwa ongezeko hilo linawafaidisha watanzania wachache ambao ni matajiri.

Kwa hiyo Benki ya Dunia imetutegulia kitendawili cha muda mrefu kilichokuwa kinawasunbua watanzania walio wengi kuwa maisha ya watanzania yanazidi kudorora jinsi siku zunavyozidi kusonga mbele.
umeandika kishabiki na ki chuki sana dhidi ya ccm, kwa taarifa yako hiyo ripoti siyo ya kweli kwanza lete sorce yake imetoka wapi? licha ya hivyo haohao wanaosema hivyo ndiyo wanaoletaga hizo taarifa sasa wanasema na kujipinga wenuyewe? wewe utakuwa na matatizo ya akili hakuna kitu kama hicho pia ukiona idadi inaongezeka ya maskini ujue pia idadi ya watu sasa hivi ni kubwa sana
 
Temeke kwa sasa wananchi wengi wanakula mlo mmoja kwa siku, ugali mtupu kwenye familia unapikwa saa 10 jioni , kila mtu atafute mboga yake , hakuna Chai wala uji asubuhi

Nakulilia Tanzania
Ugali mtupu kwenye familia unapikwa saa 10 jioni , kila mtu atafute mboga yake .
🤣🤣🤣🤣🤣
 
Mbona Benki ya Dunia ikitoa taarifa za Uchumi kukua Huwa mnapinga? Ila ilisema umaskini inaongezeka basi mnafurahi si ndio? 🤪🤪

Pili hakuna hakuna mahala WB imesema umaskini unaongezeka ila hizi ni stori zako za kutunga.

WB imesema madhara ya uviko 19 yaliwasukuma watu mil.3 kuingia kwenye umaskini Sasa how comes uviko ulisababishwa na Serikali?

Mwisho WB Imetoa hadhari kwenye mambo 3 Ili kuharakisha ustawi wa watu.
1.Kupunguza Kasi ya kuzaana
2.Kuongeza Kasi ya uwekezaji hasa kwenye sekta ambazo zinahusisha watu wengi
3.Imeipongeza Serikali Kwa sera nzuri za Uchumi.

My Take
Maelfu Kwa maelfu ya majumba yanayojengwa Kila mwaka mjini nanVijijini ni ya matajiri wachache? Punguza upumbavu kichwani mwako kisa chuki.
Acha kuwatetea chief. Kiuhalisia hali ni mbaya sana mitaani,gharama za maisha zipo juu sana. Uchumi wetu ungekuwa juu Hali isingekuwa hivi ilivyo chief
 
Population growth imeathiri pakubwa sana inatakiwa Ukuaji wa Uchumi uongezwe Kwa Serikali kuweka miundombinu ya uchumi Mikoani kama umeme,maji na Barabara.

Utafiti uko wazi kwamba growth rate ya 7%-10% at least Kwa miaka 10 mfululizo ndio unaweza kuwa na trickle down effects kubwa kuliko huu wa 5-6%

This is not enough 👇👇

View: https://twitter.com/AnnaSarungi/status/1768184030560649572?t=NBHK8uG4DGMmVUqyZSM24A&s=19

Yeah na huo ndo ukweli shida kubwa ya Viongozi wetu hawausemi ukweli huo wanahofu sana na wananchi watawafikiaje..

ni Aibu kwa Daktari wa Uchumi kama Mwigulu Kusema kuwa Kuongezeka kwa magari number E ndo kipimo chake..
 
Back
Top Bottom