jiwe angavu
JF-Expert Member
- Aug 28, 2015
- 20,419
- 39,217
Watu weusi tuna changamoto sana kwenye Dunia hii.Ni bora kuachana na huo mkopo.. Huwezi idhinisha umalaya kwa wanafunzi kisa dola milioni mia tano.
Kutunga sheria ya kuidhinisha umalaya kwa wanafunzi kutaharibu mabinti zetu wanaojitunza.
Bye bye WB.. U can keep your money.
😝😝😝😝😝😝 Sio mabeberu Tena?
We ongea kirahisi rahisi tu.Nchi itakufanye kwa mfano?
Natamani Mhe. Rais atangaze hadharani kwamba kuanzia leo hatutaki msaada wa aina yoyote kutoka kwa mabeberu.
Sent using Cash Money Wings
Na usisahau.Tupo kwenye rait trakt..sisi ni dona kantri..mabeberu wanatuonea wivu..mana tunapaaa kama mwewe..tembeeni vifua mbele...bogaz kabisa.
#MaendeleoHayanaChama
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani baada ya kukosa pesa za MCC unaionaje mirafi ya REA. Kwetu REA. III ilikuwa ikamilike 2017 April. Leo hata alama za nguzo zilishaliwa na mchwa na hakuna kiongozi yeyote anathibutu kuzungumzia kilichotokea.Hoja yako ni nini?
Kwani nchi ikinyimwa17 mkopo ndio maisha hayataendelea?
Tulinyimwa MCC mwaka 2016 na maisha yakaendelea!
Cha kushangaza mtu ambaye hakuomba mkopo anakuwa na wasiwasi zaidi ya mtu ambaye aliomba mkopo! Pilipili usiyoila yakuwashiani!
JF bhana! You made my day!!
Matajiri wa mdomoniKwani uliambiwa tukikosa huo mkopo nchi inakufa? Tanzania itaendelea kuwepo. Sisi ni matajiri
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahah eti bado wanawatukana mabepari mkuu.JF bhana! You made my day!!
Wewe ni falaaaPiga kelele kwa sauti, jipige pige kifuani ukisema "MIMI NI FALAAAAAAA"
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa mbona umepaniki bibie...Imegoma ai imechelewesha (delays) upigaji kura?
Ndiyo maana Mkapa huwa anawapakia nyie makanjanja.
Mkisema ukweli itakuwa nini?
Unafahamu maana ya neno" postponed"?Sasa mbona umepaniki bibie...
Soma hapa
"(CNN)The World Bank has postponed its decision on granting Tanzania a $500 million loan, following pressure from activists who oppose the country's policy of banning pregnant girls and young mothers from attending state school."
Hujanielewa nang'ata na kupuliza.
Sent using Cash Money Wings
Ni kweli kabisa, maana akienda shule za waliopo fresh sidhani kama atakubali achapwe viboko wakati naye ni mzaziMtoto akipewa mimba kuwepo na special schools za wazazi ambazo ni private kama walivyofanya juvenile courts. Wasichanganyikane na wenzao ambao ni fresh.
Na kitendo cha mtoto kupata mimba kinafutia validity ya kuitwa mtoto. Ngumu ku exercise haki za mtoto maana keshakuwa mzazi. Apambane na hali yake maana alipovua chupi alijua kabisa kuwa madhara yake atavimba juu.Tusiendekeze ujinga.