Benki ya Dunia yachelewesha tena kuipa Tanzania mkopo wa Dola 500M

Benki ya Dunia yachelewesha tena kuipa Tanzania mkopo wa Dola 500M

Sahihi kabisa

Ulimi unaponza kichwa....zamani mtoto alipokuwa anapata mimba akiwa shuleni tulikuwa hatauhangaiki naye..kwa kuwa haukuwa utamaduni wetu wa mtoto kubeba mimba kisa akaingia darasan basi mtoto huyo alikuwa anajiondoa mwenyewe shuleni bila hata kufukuzwa...na hata ingebainika akiwa shuleni basi alikuwa anaadhibiwa kimya kimya mambo yanaenda.....songombingo lilianzia pale amabapo Rais Magufuli aliutangazia ulimwengu kuwa yeye hasomeshi wajawazito..ulimi umeponza kichwa...leo wanaandamwa wapinzani kweli?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hoja yako ni nini?

Kwani nchi ikinyimwa mkopo ndio maisha hayataendelea?

Tulinyimwa MCC mwaka 2016 na maisha yakaendelea!

Cha kushangaza mtu ambaye hakuomba mkopo anakuwa na wasiwasi zaidi ya mtu ambaye aliomba mkopo! Pilipili usiyoila yakuwashiani!
 
Hoja yako ni nini?

Kwani nchi ikinyimwa mkopo ndio maisha hayataendelea?

Tulinyimwa MCC mwaka 2016 na maisha yakaendelea!

Cha kushangaza mtu ambaye hakuomba mkopo anakuwa na wasiwasi zaidi ya mtu ambaye aliomba mkopo! Pilipili usiyoila yakuwashiani!
Mada ni fupi sana na iko very transparent lakini umeshindwa kuielewa...
Hakika CCM ni kiwanda cha mabwege

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa kama CCM ni kiwanda cha mabwege, kwa nini unapoteza muda wako kuwajadili mabwege?

Huoni kuwa wewe ni zaidi ya bwege kwa sababu unapoteza muda wako kuwajadili/kujadili mabwege!
Nawakumbusha mabwege kwamba waache tabia za kuomba omba mikopo kwa sababu World Bank ni NGO ya Beberu lililokamaa na nyie mabwege hamyapendi mabeberu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hata mimi nilinyimwa mkopo Wa elimu ya juu na Hesbl malipo ni hapa hapa duniani.Natania Tu
 
Kwani uliambiwa tukikosa huo mkopo nchi inakufa? Tanzania itaendelea kuwepo. Sisi ni matajiri

Sent using Jamii Forums mobile app
Hoja yako ni nini?

Kwani nchi ikinyimwa mkopo ndio maisha hayataendelea?

Tulinyimwa MCC mwaka 2016 na maisha yakaendelea!

Cha kushangaza mtu ambaye hakuomba mkopo anakuwa na wasiwasi zaidi ya mtu ambaye aliomba mkopo! Pilipili usiyoila yakuwashiani!
Sasa mbona mnatapatapa...
 
Hoja yako ni nini?

Kwani nchi ikinyimwa mkopo ndio maisha hayataendelea?

Tulinyimwa MCC mwaka 2016 na maisha yakaendelea!

Cha kushangaza mtu ambaye hakuomba mkopo anakuwa na wasiwasi zaidi ya mtu ambaye aliomba mkopo! Pilipili usiyoila yakuwashiani!
Huna akili unaonekana lilevi fulan hvi
 
Ukubali ukweli, jina la Zitto Kabwe was not meant to be published as a contributor to the letter from civil society. Wazungu sio wajinga, they didn't want to be put in the middle of local political shenanigans, they decided to leak the damn name matokeo yake is tons of damage control and soul searching.
 
tapatalk_1580210589499.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mtoto akipewa mimba kuwepo na special schools za wazazi ambazo ni private kama walivyofanya juvenile courts. Wasichanganyikane na wenzao ambao ni fresh.

Na kitendo cha mtoto kupata mimba kinafutia validity ya kuitwa mtoto. Ngumu ku exercise haki za mtoto maana keshakuwa mzazi. Apambane na hali yake maana alipovua chupi alijua kabisa kuwa madhara yake atavimba juu.Tusiendekeze ujinga.
Vipi wale mnaowabaka na kuwapa ujauzito? Kosa lake ni lipi Hadi aadhibiwe kwa kitendo ambacho hakukiamua kwa ridhaa yake? Waza nje ya box acha ufuasi njaa!
 
GUSSIE,
You have very little understanding, you cant think or even comprehend this issue, just shut up pls
 
Hakimu Mfawidhi,
Hongera sana banki ya dunia, lakini bora CCM ikope $500m, si Tanzania ni taifa lina utajiri mkubwa sana, tunanunua ndege, njenga reli na mengine hii ni hela kidogo sana, ccm itakoma
 
Back
Top Bottom