tongelao
JF-Expert Member
- Nov 5, 2018
- 780
- 2,161
Kila siku meko anatamba yeye Ni tajiri inakuwaje tenaaa analilia mkopo,
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wacha kujitoa ufahamuMkuu;
Hoja na maswali yako yamejibiwa kwenye bandiko la kwanza!
Kasome vizuri na uelewe vizuri!
Na aliyefeli mtihani hana haki ya kupata elimu??Mkuu haki ya elimu haiwezi kufutwa kwa kushika mimba.Kushika Mimba hakumfanyi mtoto apoteze haki ya kupata elimu.Naamini kabisa kwamba sio tatizo iwapo mtoto huyu ataruhusiwa kusoma baada ya kuzaa.Jambo la muhimu ni kutoa elimu ya kutosha juu ya uzazi wa mpango,ngono na afya salama.Pili ni kuweka utaratibu wa namna ambayo watoto hawa wataweza kuendelea na masomo ikiwamo kwa mfumo wa aina tofauti ya elimu kama vile mfumo wa elimu ya watu wazima(QT) .Jambo la muhimu ni kuhakii=kisha kwamba mabinti zetu wanapata elimu come rain or sunshine
Hapo umenena! Tatizo ni huyu kiongozi wetu ni mropokaji sana. Tangu enzi za Nyerere wanafunzi waliopata mimba walifukuzwa ama wao wenyewe walijitoa kimya kimya. Mataifa yote na mashirika ya kimataifa yalifahamu hilo lakini hayakutilia maanani kwani ilionekana kama siyo sera ya nchi! Sasa baada ya kiongozi wetu mkuu kutangaza rasmi wakaona isiwe shida wakachukua hatua. Matokea yake tumebaki kulaumiana na kulialia hovyo! Wacha tule jeuri yetu!Ulimi unaponza kichwa....zamani mtoto alipokuwa anapata mimba akiwa shuleni tulikuwa hatauhangaiki naye..kwa kuwa haukuwa utamaduni wetu wa mtoto kubeba mimba kisa akaingia darasan basi mtoto huyo alikuwa anajiondoa mwenyewe shuleni bila hata kufukuzwa...na hata ingebainika akiwa shuleni basi alikuwa anaadhibiwa kimya kimya mambo yanaenda.....songombingo lilianzia pale amabapo Rais Magufuli aliutangazia ulimwengu kuwa yeye hasomeshi wajawazito..ulimi umeponza kichwa...leo wanaandamwa wapinzani kweli?
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo amefeli na siyo kwamba amefukuzwa. Na huyo aliyefeli elimu ya darasani (nadharia) anaweza akajifunza elimu nyingine kama ufundi(vitendo zaidi).
Tuko vzr mkuu.Yaani hata sielewi si juzi tu Mzee alisema anahela nyingi za kuendesha nchi miezi zaidi ya sita bila tatizo sasa mikopo ya nn tena? Kama hawataki basi tuachane nao sisi ni matajiri sana
Mkuu hapo umenigusa. Mazingira ya watoto wetu ktk kupata elimu siyo rafiki. Hapo nazungumzia umbali wa shule zetu za sekondari za Kata. Umbali ule unachangia sana watoto wetu kujikuta wakikumbana na vishawishi kwani wanapotoka shuleni hadi nyumbani huwachukua hadi saa tatu hadi nne kufika.Hili Tatizo sio dogo wala la kisiasa. Kabla hatujawazuia watoto kusoma shule kwa mimba tuangalieni vyanzo vya mimba utotoni. Tumekuwa na jamii ambayo ni wepisi kulaumu watoto bila kulaumu mila za kizamani na zisizo na maendeleo sehemu nyingine.
Kuna jamii wanaruhusu watoto waolewe wakiwa wadogo sasa serikali hiyo hiyo inasema lazima mtoto asome na serikali hiyo hiyo inasema huwezi kusoma na mimba. Hatutaweza kutatua matatizo kama serikali inafumbua macho mila zetu hasa vijijini. Pili hili Tatizo Vilevile ni la nafasi watoto wa masikini tu ndiyo wataahidwa kusoma.
Ni lazima tuweke sheria ngumu lakini mila zingine nazo tusiziache tu. Hebu tuonyesheni wangapi walio jela kwasababu ya mimba za utotoni!
Natumia kinyeo mkuuUnafikiria kwa kutumia ubongo kama sisi au unatumia “kinyeo” kufikiria?
hakuna kitu kibaya kama kutokua na msimamo katika maisha, tukirusu wanafunzi wenye mimba kuendelea na masomo maana yake tukakua tunarusu uasherati kwa wanafunzi. sijui kama watu wanaangalia madhara ya hii kitu kwa mda mrefu ujao.. tukikosa msimamo tukakubali tutaletewa na ushenzi mwingine wa viongozi wawe mashoga ndo tupate misaada. lazima ifike wakati tuwe na mipaka kwenye maisha yetu