Benki ya Dunia yachelewesha tena kuipa Tanzania mkopo wa Dola 500M

Benki ya Dunia yachelewesha tena kuipa Tanzania mkopo wa Dola 500M

Imegoma ai imechelewesha (delays) upigaji kura?

Ndiyo maana Mkapa huwa anawapakia nyie makanjanja.

Mkisema ukweli itakuwa nini?
Wanasheria husema a delayed justice is a denied justice.

Kwa nini unadhanj wamechelewesha?
 
Imegoma ai imechelewesha (delays) upigaji kura?

Ndiyo maana Mkapa huwa anawapakia nyie makanjanja.

Mkisema ukweli itakuwa nini?
Sababu za kuchelewesha ni nini? Jee ni kuchunguza madai ya kuwa bagua watoto yana ukweli?
Delays katika mipango iliyokwisha wekwa ni hasara pia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mambo makubwa gani mzee unajuwa kama CCM washakaa madarakani huu ni mwaka wa 60 ni lipi la maana walilofanya Zaidi ya kuzalisha wajinga hivi mtoto anamaliza darasa la saba atafanya nini huyu mitaani kama hakuwa jambazi?
sasa jamaa yangu ulitakaje, CCM iondoke waje NCCR au CUF?
Hicho chama cha Nchi ya Kaskazini ya kina Nassari viongozi wake wanaosubiri kwenda Jela ndio wangeweza kukamata Dola hata mwezi mmoja?
sijaona siasa za kushangilia upuuzi km Vyama vya TZ tunashangilia kupigwa BAN kutembeea USA km kweli tunaenda huko, leo misaada inakwama kwa ajili ya watoto na mimba bado Makanikia
 
Kwanza kichwa cha mada yako kinapotosha kwa sababu Benki ya Dunia hawajagoma bali wameamua kuchelewesha zoezi la kupiga kura!

Pili, Kama serikali inahitaji sana huu mkopo basi ikubali watoto wakipata mimba na kuzaa warudi tena kwenye darasa lenye wanafunzi ambao hawajapata mimba na kuzaa kama ambavyo wanaharakati na baadhi ya wanasiasa kama Zitto wanavyotaka!

Yaani, msichana akijisikia kupata mimba anapata na kuzaa halafu baadaye anarudi tena kwenye darasa lake na kuendelea na masomo pamoja na wanafunzi wengine!
Tupe sababu kwanini wb wameamua kuchelewesha?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Heading yako na ulichoandika ni tofauti! Bank ya dunia imegoma kutoa hela au imeairisha kupiga kura?(Hivi ni vitu viwili tofauti kabisa)
 
Usizungumze kama mtoto, mazingira ya upataji mimba mbona yamezungumzwa sana katika forums mbalimbali? Nani atawatetea hawa watoto kama kila mtu anataka kumtetea Magufuli na tamko lake?
Kabla ya tamko lake mbona CCM ilikuwa na Sera nzuri tuu za kumlinda Huyo mtoto? Au Magufuli ni mkubwa kuliko ccm?
Watoto hawa wengi wao wanabakwa, hawana elimu ya uzazi dhidi ya maumbile yao, umasikini unawaponza na yote hayo ni wajibu wetu wazazi kuwalinda nayo badala kuwaachia ili yatokee na kuwaadhibu maisha yao yote

Sent using Jamii Forums mobile app
Unachoandika wala hakieleweki kwa sababu unapinga hoja zangu lakini maelezo yako unakubali hoja zangu.

Lazima uelewe kuwa kujibu hoja siyo muhimu kama hujui mantiki ya kile unachokijibu otherwise utakuwa unajaza saver tu za Jamiiforums with garbage and hocus pocus!

Samahani kama nitakukwaza!
 
GUSSIE,
Kuna ubaya mtu kuishi atakavyo? Analipa kodi, anachangia maendeleo?

Huku Afrika hatuendelei kwa sababu ya roho mbaya, ubinafsi, kuoangiana jinsi ya kuishi na mambo mengine ya hovyo.

Hao tunaosema wanaishi watakavyo ndio hao tunawalilia watukopeshe, ndio wanaotujengea hai vyoo. Hao tunaosema wana maisha ya ajabu ndio wanaotufadhili bajeti, huku tunaponda maisha yao huku hayo maisha ndio yanatulisha, huu ni unafiki mkubwa

Hatutaki life style yao tukatae na hela zao.
 
Nyie waislam huko Mtwara na lindi plus Pwani ya Bagamoyo ni viongozi wa watoto wenu wa darasa la saba kupata mimba

Huo pesa za kusomesha mnapata wapi?

Imegoma ai imechelewesha (delays) upigaji kura?

Ndiyo maana Mkapa huwa anawapakia nyie makanjanja.

Mkisema ukweli itakuwa nini?
 
Siuseme boya mmoja Zito Kabwe aliandika ili wananchi wakiwemo wa Kigoma wakose kunufaika na hizo pesa.

macson
 
Kwanza kichwa cha mada yako kinapotosha kwa sababu Benki ya Dunia hawajagoma bali wameamua kuchelewesha zoezi la kupiga kura!

Pili, Kama serikali inahitaji sana huu mkopo basi ikubali watoto wakipata mimba na kuzaa warudi tena kwenye darasa lenye wanafunzi ambao hawajapata mimba na kuzaa kama ambavyo wanaharakati na baadhi ya wanasiasa kama Zitto wanavyotaka!

Yaani, msichana akijisikia kupata mimba anapata na kuzaa halafu baadaye anarudi tena kwenye darasa lake na kuendelea na masomo pamoja na wanafunzi wengine!
"Mind set" ya mwafrika mweusi, nakusudia Waafrika tunaoishi chini ya Jangwa la Sahara ni ya ovyo kabisa..

Kumuazibu Msichana aliepata mimba kwa kutomrudisha asirudi darasani baada ya kujifungua, hamuoni kwamba mnatengeneza Taifa la Wajinga?

Msichana anaetokea katika familia ya kimasikini, hana Elimu, kujifungua mtoto ambae atamlea katika mazingira ya kimasikini, mazingira ya tabu, moja wapo ikiwa ni mama kukosa Elimu, unaikiri huyo mtoto aliezaliwa ataendelea vipi katika maisha yake?

Kama Taifa litapata mama kama hao wafikao 20 kwa kila Mkoa, basi ujue tayari litakuwa limeshatengeza tabaka katika Jamii

Kule India kuna Jamii inaitwa "untouchable", hawa watu kazi zao ni kazi zisizotakiwa na wengine, Je Tanzania tunataka kutengeneza Jamii kama hizo

Nimaumbile ya wasichana kujisikia kupata mtoto anapofikia umri wa miaka 15-18, "teenager",hiyo ni nature yao,hakuna anaeweza kushindwa a nayo..

Serikali itafute adhabu nyengine sio hii ya kuwanyima wasichana wanaojifungua wakiwa wako Shuke HAKI yao ya msingi !!

Kinachohitajika ni ELIMU, ELIMU, ELIMU
 
Kwanza kichwa cha mada yako kinapotosha kwa sababu Benki ya Dunia hawajagoma bali wameamua kuchelewesha zoezi la kupiga kura!

Pili, Kama serikali inahitaji sana huu mkopo basi ikubali watoto wakipata mimba na kuzaa warudi tena kwenye darasa lenye wanafunzi ambao hawajapata mimba na kuzaa kama ambavyo wanaharakati na baadhi ya wanasiasa kama Zitto wanavyotaka!

Yaani, msichana akijisikia kupata mimba anapata na kuzaa halafu baadaye anarudi tena kwenye darasa lake na kuendelea na masomo pamoja na wanafunzi wengine!
Umepotosha hapo mwshoni case za ujauzito zina sababu nyingi sio wasichana WOTE wanabeba ujauzto kwa kutaka .
 
Ninahisi kuna chama fulani kinawapa mimba kwa makusudi hawa watoto wetu😂. Mbona tunaishia kulaumiana, watu hatutoi solution?
 
Ujue mambo mengine ya kijinga sana.
Mimi sioni sababu ya kuwakataza kurudi shule. Maana mimba inakaa miezi tisa alafu anajifungua.lakini kumkataza asirudi shule ina maanisha unamnyima haki yake ya kupata elimu..


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom