Benki ya Dunia yachelewesha tena kuipa Tanzania mkopo wa Dola 500M

Benki ya Dunia yachelewesha tena kuipa Tanzania mkopo wa Dola 500M

Ni bora kuachana na huo mkopo.. Huwezi idhinisha umalaya kwa wanafunzi kisa dola milioni mia tano.
Kutunga sheria ya kuidhinisha umalaya kwa wanafunzi kutaharibu mabinti zetu wanaojitunza.
Bye bye WB.. U can keep your money.
Sasa si muwaambie tu kuwa hatutaki pesa zenu?!! Na mkome kuwa mnatuweka kwenye list za nchi zinazotakiwa kupata mikopo, kwani hii sio mala ya kwanza. This is donor country bwana!! Dolar milioni 500,kitu gani bwana!!! "BAADA YA MUNGU NI MZUNGU"
 
Kama serikali inahitaji sana huu mkopo basi ikubali masharti kuwa watoto wakipata mimba na kuzaa warudi tena kwenye darasa lenye wanafunzi ambao hawajapata mimba na kuzaa kama ambavyo wanaharakati na baadhi ya wanasiasa kama Zitto wanavyotaka!

Yaani, msichana akijisikia kupata mimba anapata na kuzaa halafu baadaye anarudi tena kwenye darasa lake na kuendelea na masomo pamoja na wanafunzi wengine!

Hili suala sio rahisi kama ambavyo baadhi ya washabiki wa wanasiasa wanavyoshangilia ndio maana CHADEMA wameamua kukaa kimya kwa sababu wanajua ugumu wake kijamii na kiimani ya dini!
Bila kuitaja cdm hapo Lumumba buku7 haingii?
 
Nchi za magharibi kutoa mimba ruksa ndio maana mabinti wao hawazai ovyo mpaka wakitaka
 
GUSSIE,
Hili suala ni pana.kutamka hadharani kuwa binti mwenye mimba atafukuzwa shule ni kumnyanyasa mwana mke na kuonea watoto.

Hawa wanafunzi wanashurutishwa na waalimu kufanya ngono.Wengi ni wahanga wa umaskini.

Tupambane na wanaotia wanafunzi mimba kwanza.
 
Mtoto akipewa mimba kuwepo na special schools za wazazi ambazo ni private kama walivyofanya juvenile courts. Wasichanganyikane na wenzao ambao ni fresh.

Na kitendo cha mtoto kupata mimba kinafutia validity ya kuitwa mtoto. Ngumu ku exercise haki za mtoto maana keshakuwa mzazi. Apambane na hali yake maana alipovua chupi alijua kabisa kuwa madhara yake atavimba juu.Tusiendekeze ujinga.
Sio kila apataye mimba amejitakia. Hawa watoto mara nyingi wanakuwa wahanga wa manyanyaso ya kingono na ukatili wa kijinsia kwa sababu hawana nguvu ya kukataa na kujadiliana. Pia umaskini unachangia wai kulaghaika.
 
GUSSIE,
Mimi naona sheria kali zingewekwa kwa wale wanaowapa Mimba wanafunzi. hao watoto unajua ndio wanapevuka na wanakua na moto sana kwahiyo wanashawishika kirahisi.

We should fight the cause rather than the results
 
Hakimu Mfawidhi,
Kupata mimba shule ni sawa na kufukuzwa shule! Ikiwa yeyote aliyefukuzwa shule hasiruhusiwe kusoma shule nyingine basi kuna wengineo hata huo urais wangeusikiaga tu. Elimu ni haki ya kila raia tusibaguane! Siyo wote wenye ndoa halali huishi kwa raha na amani, wapo wanaoishi bila ndoa halali na wametengeneza familia bora.
 
Sio kila apataye mimba amejitakia. Hawa watoto mara nyingi wanakuwa wahanga wa manyanyaso ya kingono na ukatili wa kijinsia kwa sababa hawana nguvu ya kukataa na kujadiliana. Pia umaskini unachangia wai kulaghaika.
Kwa maana wanabakwa ama? Atakaebakwa awe na ushahidi ili handling ya case yake iwe tofauti.
 
Mkuu haki ya elimu haiwezi kufutwa kwa kushika mimba.Kushika Mimba hakumfanyi mtoto apoteze haki ya kupata elimu.Naamini kabisa kwamba sio tatizo iwapo mtoto huyu ataruhusiwa kusoma baada ya kuzaa.Jambo la muhimu ni kutoa elimu ya kutosha juu ya uzazi wa mpango,ngono na afya salama.Pili ni kuweka utaratibu wa namna ambayo watoto hawa wataweza kuendelea na masomo ikiwamo kwa mfumo wa aina tofauti ya elimu kama vile mfumo wa elimu ya watu wazima(QT) .Jambo la muhimu ni kuhakii=kisha kwamba mabinti zetu wanapata elimu come rain or sunshine
Ndio hasa nilichokisema kusoma wasome ila kwa mfumo wa pekeyao ambao sio sawa na ule wa watoto wengine waliofata kusoma shule. Mtoto anatakiwa aogope kufanya mapenzi kabla ya wakati sio kuendekeza umalaya af wakitiwa mimba wanakuja kuleta shida kwa wazazi na serikali.
 
Kama serikali inahitaji sana huu mkopo basi ikubali masharti kuwa watoto wakipata mimba na kuzaa warudi tena kwenye darasa lenye wanafunzi ambao hawajapata mimba na kuzaa kama ambavyo wanaharakati na baadhi ya wanasiasa kama Zitto wanavyotaka!

Yaani, msichana akijisikia kupata mimba anapata na kuzaa halafu baadaye anarudi tena kwenye darasa lake na kuendelea na masomo pamoja na wanafunzi wengine!

Hili suala sio rahisi kama ambavyo baadhi ya washabiki wa wanasiasa wanavyoshangilia ndio maana CHADEMA wameamua kukaa kimya kwa sababu wanajua ugumu wake kijamii na kiimani ya dini!
Mkia mtaufayata tu. Hahahaaaa aibuuuu
 
Ulimi unaponza kichwa....zamani mtoto alipokuwa anapata mimba akiwa shuleni tulikuwa hatauhangaiki naye..kwa kuwa haukuwa utamaduni wetu wa mtoto kubeba mimba kisa akaingia darasan basi mtoto huyo alikuwa anajiondoa mwenyewe shuleni bila hata kufukuzwa...na hata ingebainika akiwa shuleni basi alikuwa anaadhibiwa kimya kimya mambo yanaenda.....songombingo lilianzia pale amabapo Rais Magufuli aliutangazia ulimwengu kuwa yeye hasomeshi wajawazito..ulimi umeponza kichwa...leo wanaandamwa wapinzani kweli?

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahhaaaa Modomo umeuponza kichwa. Anapenda kuonge ongea sana
 
Na mtu aliyebakwa akiwa mwanafunzi akapta mimba je??na yeye utasema ni Malaya??
 
Mtoto akipewa mimba kuwepo na special schools za wazazi ambazo ni private kama walivyofanya juvenile courts. Wasichanganyikane na wenzao ambao ni fresh.

Na kitendo cha mtoto kupata mimba kinafutia validity ya kuitwa mtoto. Ngumu ku exercise haki za mtoto maana keshakuwa mzazi. Apambane na hali yake maana alipovua chupi alijua kabisa kuwa madhara yake atavimba juu.Tusiendekeze ujinga.

Unafikiria kwa kutumia ubongo kama sisi au unatumia “kinyeo” kufikiria?
 
Back
Top Bottom